Sakata la Kampuni ya Lugumi: IGP na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani watupiana mpira

Kwi kwi kwi kwi mie nilidhani nanihii haogopi kulamba moto kumbe eeh! ile kauli mbinu ya HAPA KAZI TU! ni usanii wa mwingine wa awamu ya tano kama ilivyo ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya pamoja na Maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana kwenye awamu ya nne.

..

....Mkuu BAK moto haulambwi
 
Ahsante sana Mkuu, nashukuru sana kwa hii taarifa, huwezi kumpa nchi mgombea aliyepigiwa debe na Mkapa na Kikwete na ambaye alikuwa katika Serikali za awamu ya pili mpaka ya nne ambako madudu chungu nzima yalitokea halafu ukategemea kuwepo na mabadiliko makubwa nchini. CCM bado ni ile ile ndiyo sababu hata baadhi ya wapokea rushwa na mafisadi hawana wasiwasi wanajua hakuna wa kuwagusa vinginevyo nchi itawaka moto.

 
Kuna kila dalili hapa hakukuwa na mkataba au kama ulikuwepo basi wajanja wameshauiba na kuuchana ili kupoteza ushahidi katika hili sakata la mabilioni chungu nzima.
wewee umerudi ulipotelea wapi?
 
Reactions: BAK
Kwa utaratibu Mkataba unatakiwa uwe wapi? Ulipo Mkataba mhusika ndiye aupeleke huo Mkataba.
Kwani Mkataba ulikuwa kati ya Wizara au Idara ya Police? Police department ndiyo iliyofanya malipo au Wizara?
Haki na isimame
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…