Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Adhana ya dakika tano mpaka kumi ya wapi hiyo .Ustaarabu wao ni nini?
Kuvaa suruali zisizofika chini? Au kutumia kiarabu kama lugha ya Mungu wao?
Adhana ni kero kubwa tu maana inasomwa zaidi ya dk 5-10 tena kwa lugha ya ajabu sana isiyoeleweka.
Hakuna walokole wanapiga mziki saa 10 usiku
Mmeanza kupata akili ? Sasa hutukai nae tumuone .Kaeni na huyo Mch muyaeke vzr, mbn kanisa lenyewe ni la muda tuu, mbn kesi ni rahisi tuu
Nani sasa hajasoma ? Huyo Hana degree , angekuwa na degree asingekuwa mpumbafu kiasi hicho , sio kila anayekosoa ni muislam . ( Inomino parte etfilio et spiritus saint amen ) in short hiyo lugha hata wewe mlokole uchwara huoni ndani , halafu unajidai umesoma theology ? .Kumbe wewe hujielewi kabisa, kwa taarifa yako wachungaji wengi wana-hold degree ya theology unadhani wameipata kilofa lofa?
Kagonoke huko
Afadhali serikali imechukua hatua , pamoja na kuchelewa lakini itaisaidia kuweka utulivu , amani watoto , wagonjwa , wazee watapumzika , wanafunzi wa Westland primary school na Itetemia shule ya Msingi watapata muda wa kujisomea .Upunguani ? haya majibu haya hapa nenda kanisani kwenu mlangoni ukaangalie Pimbi mkubwa .View attachment 1712316View attachment 1712317
Nionapo maandishi kama haya huwa najua yanaandikwa na mtu ambaye shule ni ndogo. Huwezi kulaani kabila zima. Kwani wewe ni kabila gani unalojivunia kwa staili hii kwamba umeenda shule? Mbona naona kama shule yako ni ndogo? Au una cheti? Siyo kila mwenye cheti ana elimu kichwani.SHIDA YENU KUBWA WANYAMWEZI NI KUKOSA ELIMU,MAJUNGU,HUSDA,FITINA NA CHUKI. HII NDO INAWAUMIZA SANA.
Mimi ni kabila la Taifa linalosifika kwa Elimu. Wanyamwezi asilimia 80 hampendi shule. Kwa nini tufiche maradhi?mnapenda sana Majungu na Mambo ya hovyo hovyo.Nionapo maandishi kama haya huwa najua yanaandikwa na mtu ambaye shule ni ndogo. Huwezi kulaani kabila zima. Kwani wewe ni kabila gani unalojivunia kwa staili hii kwamba umeenda shule? Mbona naona kama shule yako ni ndogo? Au una cheti? Siyo kila mwenye cheti ana elimu kichwani.
Wewe una matatizo. Makanisa hujengwa kwenye makazi ya watu maana ni huduma wanahitaji watu. Hivi humu ndani hamuonagi makanisa mengi tu yamepakana na nyumba za watu binafsi? Hivyo kanisa kuwa kwenye makazi ya watu si tatizo.Wiki iliyopita ililipotiwa hapa jukwaani kuhusu wakazi wa Kariakoo Tabora kata ya Kitete wakilalamikia kanisa lililojengwa katikati ya barabara na kupiga muziki mkubwa sana masaa 24
Sakata limeingia sura mpya baada mchungaji Jackson wa kanisa hilo kuonyesha jeuri na kuwaweka viongozi wote wa mkoa mfukoni, hasa afisa mipango miji na afisa utamaduni baada ya usiku wa leo kukesha usiku kucha akijenga kulimalizia kanisa hilo na nyumba ya mchungaji katikati ya barabara huku akitamba kuwa hawawezi kumfanya kitu chochote licha ya kujenga kwenye makazi ya watu, mchungaji huyu ameziba barabara kutoka shule ya msingi Westland kusini mwa shule kutoka magharibi kwenda mashariki
Kali kuliko Leo kanisani mchungaji na waumini wanamuombea mabaya aliyeleta taarifa hizi mtandaoni.
NB: Afisa mipango miji hebu lipeleke hilo kanisa eneo maalum lililotengwa kwa ajili ya makanisa. Halafu afisa mipango miji kwanini toka uagizwe na mkurugenzi kuangalia uhalali wa shughuli zinazoendeshwa na kanisa kama ni halali na zina vibali husika wewe na afisa utamaduni hujafanya hivyo toka November mwaka jana, tukisema mchungaji Jackson kakuweka mfukoni kama anavyosema tutakuwa tunakosea?
Anyway ibada inaendelea kama kazi muziki kama wote. Mnataka wananchi wafanye nini ndio mchukue hatua.View attachment 1709503View attachment 1709506