Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

Duuuhhh!!!!!...............ANOTHER WEAKEST LINK!!

Mwanyika achia manyanga ndg yangu...............you are EXTREMELY WEAK to hold that position..............no wonder tunakuwa na mikataba ya ajabu ajabu..................kwanza umeonyesha kuwa wewe ni MVIVU kusoma na ni mtu wa kutupia lawama zisizo na msingi wenzako na unakimbia majukumu......tena majukumu ya kiapo chako ulipokuwa unaapishwa.

Binafsi nimeshiriki katika uandaaji wa mikataba mingi sana sana na makampuni makubwa........sijawahi kukutana na AG slack and weak kama huyu wetu


JK pleeeaasse...........hebu tuondolee huyu mtu.........he is weak hawezi kuwa mshauri wako mzuri......wako watu wengi tu ambao ni smart at your disposal Mr President

Kweli kabisa Ogah,

Ina maana katika nchi yoooote ya Tanzania, mtu mtupu kama Mwanyika ndiye tu anafaaa kuwa mwanasheria mkuu?..........

Hii richmonduli itaumbua wengi sana mwaka huu...........

tik tak tik tak tik tak.....................
 
Siamini macho yangu. Je huyu ndie mwanasheria mwenye hadhi ya juu kuliko wanasheria wote Tanzania? Kwa analysis yangu ya harakaharaka naona Mchungaji Mtikila anamshinda huyu mbabaishaji by far? Ingawa Mchungaji Mtikila ni mwanasiasa kuna nyakati ambazo huwa anazungumza sense especially anapozungumzia mambo ya kisheria. Ninafikiri hajui who he is... Attorney General is not a politician. Attorney General kazi yake ni kumshauri Rais kwenye mambo yanayohusu sheria. Sasa yeye AG anapoulizwa maswali ya moja kwa moja anakuwa hayajibu na anaishia kuzungusha maneno ama kuwatupia mpira watendaji wa ofisi yake... Shame upon you AG!!. Kama mpaka wakati unahojiwa na kamati ulikua hufahamu yanayotendeka ofisini kwako basi wewe hutufai kutuwakilisha sisi wananchi katika nafasi uliyo nayo sasa hivi.

Kikwete, tutolee uchafu huu.... Hajui afanyalo.
 
Nimechoka kabisa, Kila anachoulizwa sijui, sihusiki, wizara inahusika, nilipitiapitia. Sasa alienda kufanya nini pale. Kuna jambo hapa na nashawishika kuamini hata Muungwana anahusika.
 
Jamani mi naomba kama kuna mtu mwenye kile kitabu chenye VIAMBATANISHO vilivyokuwemo kwenye ripoti ya Dr. Mwakyembe vikiwa kwenye soft copy atuletee kwenye mtandao, nahitaji sana kuvisoma manake naamini kuna mambo mengi sana kwenye hivo viambatanisho.
 
Mhafidhina,

..Kwa kweli ni muhimu sana kusoma viambatanisho kuliko ripoti yenyewe. Mimi nataka nisome nitafune mwenyewe na siyo Tume inatafunie.

..Mahojiano kati ya Mwanasheria Mkuu na Tume ya Richmond yamenipa mwangaza mkubwa sana.
 
Inawezekana ikawa dhambi kusema lakini huyu jamaa hata kwa kumwangalia tu na akiongea mbele za watu anaonekana mtupu sijui ilikuwaje wakampa mambo haya makubwa ila najua ni kazi ya Chenge kufunika yote .

Ni priciple moja tu ya dunia hii!!! Kila penye vaccum lazima pajazwe!!!

Baada ya Chenge kuondoka huyu Mwanyika ndiye aliyekuwa chini yake!!!

Sasa mambo yenu ya Serikali ni kwamba mtu akiondoka wa nyuma yake anakaba row!!! kwi kwi kwi kwi
 
Duuuhhh!!!!!...............ANOTHER WEAKEST LINK!!

Mwanyika achia manyanga ndg yangu...............you are EXTREMELY WEAK to hold that position..............no wonder tunakuwa na mikataba ya ajabu ajabu..................kwanza umeonyesha kuwa wewe ni MVIVU kusoma na ni mtu wa kutupia lawama zisizo na msingi wenzako na unakimbia majukumu......tena majukumu ya kiapo chako ulipokuwa unaapishwa.

Binafsi nimeshiriki katika uandaaji wa mikataba mingi sana sana na makampuni makubwa........sijawahi kukutana na AG slack and weak kama huyu wetu


JK pleeeaasse...........hebu tuondolee huyu mtu.........he is weak hawezi kuwa mshauri wako mzuri......wako watu wengi tu ambao ni smart at your disposal Mr President

Unfortunately mtu WEAK anatabia ya KUTOJUA/TAMBUA WEAKNESS yake mwenzako anajua amepangua hoja zote za Kamati na nimesikia anaomba Mwenyezi Mungu Amlinde, Labda mama Lwakatare amuombee apata NGUVU ya kujua WEAKNESS zake at least kwa siku Moja!!!

Najua JK alimweka kiporo kwa kuwa ni mtu muhimu kikatiba wakati wa kuunda baraza la mawaziri...

Sasa tusubiri moto utamwakia muda si muda
 
Mwanyika ni another Bangusilo, the bigger picture here is alikuwa anapelekwa puta na akina EL,sakata hili linanikumbusha kisa cha msafara wa ng'ombe, anaesimamisha msafara ni yule ng'ombe wa mbele kabisa lakini mikwaju anapigwa ng'ombe wa mwisho nyuma kabisa...

I feel sorry for this guy to my best knowledge he is victim of circumstance...
 
Mwanyika ni another Bangusilo, the bigger picture here is alikuwa anapelekwa puta na akina EL,sakata hili linanikumbusha kisa cha msafara wa ng'ombe, anaesimamisha msafara ni yule ng'ombe wa mbele kabisa lakini mikwaju anapigwa ng'ombe wa mwisho nyuma kabisa...

I feel sorry for this guy to my best knowledge he is victim of circumstance...

Masatu kwa hili sikubaliani nawe kabisaaaaaaaaaaaaaa!!!

Mwanasheria mkuu, cheo kilichopo kwenye katiba,

Mtu wa Kwanza kabisa kuteuliwa na Rais anapoingia madarakani kabla ya kiongozi yeyote yule... ati atepekeshwe na Waziri Mkuu, kwani yeye anaripoti kwa ofisi ya waziri mkuu?

Tunaomba wanasheria watuambie competence yake... binafsi nina mashaka makubwa tu!!!
 
Huyu mwanasheria ndio ametoa picha kamili ya watendaji wa serikali jinsi wanavyofanya kazi kwa mazoea tu. watu wengi wamekuwa wakifanya kazi kwa mazoea bila kutumia taaluma zoa.kama tukiendelea kuvalia nyuga kila tatizo basi watu watabadilika, na wale wasio na uweza ktk utendaji itabidi wapishe kwa hiari yao.tunataka tufike mahali tujue kuwa kichwa sio mguu.
 
Masatu kwa hili sikubaliani nawe kabisaaaaaaaaaaaaaa!!!

Mwanasheria mkuu, cheo kilichopo kwenye katiba,

Mtu wa Kwanza kabisa kuteuliwa na Rais anapoingia madarakani kabla ya kiongozi yeyote yule... ati atepekeshwe na Waziri Mkuu, kwani yeye anaripoti kwa ofisi ya waziri mkuu?

Tunaomba wanasheria watuambie competence yake... binafsi nina mashaka makubwa tu!!!

Kasheshe,

On paper unayosema ni sahihi AG ni mteule wa Rais na wala haripoti kwa Waziri mkuu.

Lakini mkuu hebu tuache kwenda by the book kidogo, hapa tuna kitu kinaitwa mtandao ( hakijaandikwa popote si kwenye katibu wala kanuni) kinara JK, then RA, EL, Karamagi etc... ushahidi uliopo ( tangible na circumstantial)

Richmond ni watajwa wote hapo juu, sasa hebu niambie mkuu ndugu yangu Mwanyika ( mind u the guy ni mpya pale na si mdhoefu wa mikiki mikiki ) anafuatwa na say EL ambaye anataka mkataba usainiwe haraka iwezekanavyo halafu yeye alete mambo ooh unajua mzee kifungu gani sijui kinasema hivi sijui sijui hiki kiko hivi. Unafikiri yeye Mwanyika hawezi kuona kama anachezea shilingi kwenye shimo la choo, hiyo habari sijui mimi mteule wa Rais hata Mkuu wa wilaya nae ni mteule wa Rais je ana ubavu wa kusema NO mbele ya somebody like EL? mzee EL sio mchezo wanao mjua wanakwambia mara elfu upate kibano cha muungwana kuliko EL alikuwa anatisha kama Ngoma!
 
Yale mafaili ambayo huwa anapelekewa kuyasoma kila wiki; huwa anayasoma bila ya kuelewa anachosoma?

Granted, ni wafanyakazi wa chini yake ndio waliohusika na review ya mkataba; review ambayo ni mbovu - hayo yote yana-reflect ubovu wa utendaji wa ofisi yake yote, yeye akiwa ndie mkuu.

He should take full responsibility kwa makosa yote wanayoyafanya watu aliowakubali kuwa wana uwezo wa kumsaidia kazi kwa ufanisi.
 
Kasheshe,

On paper unayosema ni sahihi AG ni mteule wa Rais na wala haripoti kwa Waziri mkuu.

Lakini mkuu hebu tuache kwenda by the book kidogo, hapa tuna kitu kinaitwa mtandao ( hakijaandikwa popote si kwenye katibu wala kanuni) kinara JK, then RA, EL, Karamagi etc... ushahidi uliopo ( tangible na circumstantial)

Richmond ni watajwa wote hapo juu, sasa hebu niambie mkuu ndugu yangu Mwanyika ( mind u the guy ni mpya pale na si mdhoefu wa mikiki mikiki ) anafuatwa na say EL ambaye anataka mkataba usainiwe haraka iwezekanavyo halafu yeye alete mambo ooh unajua mzee kifungu gani sijui kinasema hivi sijui sijui hiki kiko hivi. Unafikiri yeye Mwanyika hawezi kuona kama anachezea shilingi kwenye shimo la choo, hiyo habari sijui mimi mteule wa Rais hata Mkuu wa wilaya nae ni mteule wa Rais je ana ubavu wa kusema NO mbele ya somebody like EL? mzee EL sio mchezo wanao mjua wanakwambia mara elfu upate kibano cha muungwana kuliko EL alikuwa anatisha kama Ngoma!

Ndo maana tunasema mtu kama huyu hafai. Mtu yeyote ambaye hawezi kusimamia misingi yake na kazi na taaluma yake kamwe hatufai.
 
Ndo maana tuasema mtu kama huyu hafai.Mtu yeyote ambaye hawezi kusimamia misingi yake na kazi na taaluma yake kamwe hatufai.

Mkuu Nyangumi,

Nakubaliana na wewe kabisa but hold on a minute... put urself ktk position yake na try to recall situation tuliokuwa nayo wakati (kama ulikuwa bongo) mgao wa umeme in over 20 hrs viwanda vinafungwa, wawekezaji wanapiga kelele nchi ipo ktk tension kubwa halafu wewe unaanza kuleta habari kutaka kujua tofauti ya definition ya Richmond na REDVCO, unaonekana kama huitakii mema nchi.

Kama nilivyosema awali kwenye mfano wa msafara wa ng'ombe hapa majeruhi wakuwa watakuwa akina Bashir Mrindoko, Chidowu, Mwakapugi, Mwanyika and the like na I cab bet hawa hawaramba hata senti tano ngoma imepigwa huko juu kwa juu tu nina wasiwasi hata mzee Bangusilo na Kazaura nao pia wameishia kunawa tu...
 
Kuna ripoti nyingine ambayo haijawekwa public bado ambayo inaangalia mikataba ya Tanesco kwa mtazamo wa kisheria. Ripoti hiyo iliagizwa na Kamati ya Mwakyembe kwa wanasheria wa Bunge ili kuweza kupata maoni kuhusu mapungufu ya kisheria ya mikataba sita ya Tanesco na makampuni ya nishati. Ripoti hiyo ikiwekwa hadharani ndipo mtajua jinsi gani ofisi ya Mwanasheria Mkuu haina uwezo wa kusimamia mikataba yetu.
 
Almeda University
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jump to: navigation, search
Almeda University is an unaccredited American institution that offers various academic degrees through distance education, including a "Life Experience Degree". Almeda was founded in 1997.[1]

Contents [hide]
1 Programs and courses
2 Accreditation and legality
3 Commentaries
4 References
5 See also
6 External links



[edit] Programs and courses
According to its website, Almeda has programs awarding Associate, Bachelor, and Master degrees using Prior Learning Assessment. There are also Master and Doctorate programs in the areas of Business and Theology that require completing a thesis or dissertation. Almeda University offers over 1000 technical and business courses and certification preparation programs by e-learning.[2]


[edit] Accreditation and legality
Legally, Almeda University is a corporation registered on the Caribbean island of Nevis. [3] Almeda claims accreditation by the Council for Distance Education Accreditation, Interfaith Education Ministries (IEM) and the Association for Online Academic Excellence (AOAEX); [4] none of these is recognized by the United States Department of Education or the Council for Higher Education Accreditation.[5] On its website, Almeda states that its claimed sources of accreditation are not recognized by the U.S. Department of Education, with the results that students cannot receive U.S. federal loans or assistance under the GI Bill and Almeda degrees may not be recognized by academia or employers.[4]

Connecticut: According to the Connecticut Department of Higher Education, Almeda was ordered to cease operating in Connecticut in October, 2001. After an investigation in 2002 indicated that Almeda was continuing to advertise its programs in Connecticut, the Department of Higher Education sent Almeda a second cease and desist letter and referred the issue to the Connecticut Attorney General for possible legal action.[6]
Florida: In 2003 the Florida Department of Education made an agreement with Almeda to cease operating in the state. Although Floridians can still get a degree from the online university, Almeda warns Floridians that its degrees may not be valid for public employment in Florida.[7]
Texas: Almeda is also on the Texas list of "Fraudulent or Substandard Institutions", making it illegal to use an Almeda degree in Texas in an advertisement; to get a job, promotion, raise, license, or to get admitted to an educational program or to gain many positions in government.[8]
Other states: Almeda's website also warns Almeda degrees may not be valid for public employment in Illinois, Oregon, New Jersey, North Dakota, Washington and Idaho.[3]

[edit] Commentaries
Almeda's academic standards have been criticized by a variety of education organizations. According to Bear's Guide to Earning Degrees by Distance Learning, Almeda College and University is a "nonwonderful" [9] web-only university that offers degrees based on an assessment of a candidate's "life experience". Bear notes that Almeda states that it is accredited by the Association for Online Academic Excellence, but that that association is itself unrecognized.[10][11]

In 2004 the CBS affiliate in Albany, New York, ran a report on Almeda that featured Peter Brancato, who had filled out an application for an associate degree on behalf of his dog, Wally. Part of the "life experience" listed on the application was "Plays with the kids every day ... teaches them to interact better with each other ... Teaches them responsibilities like feeding the dog." Almeda granted Wally an associate's degree in childhood development with a course list including European culture, college algebra, American history, and public speaking.[12] In reply, Almeda claims Brancato perjured himself by creating a false identity using a fabricated name and date of birth. They write, "He completed an application that included a background of the following: Eight-years tutoring pre-K children, curriculum design and development, teaching coping skills, and volunteer coaching."[13]

In 2005 Wired News included Almeda University in an article about educational accreditation and diploma mills.[14]

In 2006 a Naples, Florida, police officer was required to pay back a salary increase based on a degree from Almeda.[7] Two Naples police officers were also fired after investigation showed that they bought diplomas from Almeda University.[15] On October 28, 2006, both officers were given their jobs back with back pay but received 10-day suspensions and were required to take an ethics course before the end of the year.[16]

According to Better Business Bureau (BBB) records, the Boise, Idaho address listed for Almeda University is a UPS Store (private mail box). Almeda University offered to provide their physical location to the BBB provided the BBB would not make it public. While the Better Business Bureau provides reports on Almeda University, Almeda is not a paid member of the BBB, however, Almeda does have a satisfactory record of complaint resolution.[17]

According to the online shopping reliability tracking service, ePublicEye.com, since 2001 customers of Almeda have reported high levels of satisfaction in such categories as "Management Accessibility", "Customer Support", "On-time Delivery" and "Privacy Experience".[18]


[edit] References
^ Almeda University. Netcheck.
^ Almeda University. Almeda University. Retrieved on 2007-10-15.
^ a b Almeda Policies and Procedures. Retrieved on 2006-10-04.
^ a b "Almeda University-Certifications and accreditations", Almeda University, 2006. Retrieved on 2006-08-18.
^ "Accreditation Database and Information", Council for Higher Education Accreditation. Retrieved on 2006-08-18.
^ Actions against unlicensed colleges and private occupational schools in Connecticut Fall 2001-Spring 2003 (pdf). Connecticut Department of Higher Education. Retrieved on 2007-01-17.
^ a b Simmons, Kathryn. "University not recognized by state of Florida", NBC2, 2006-07-17. Retrieved on 2006-08-18.
^ Fraudulent or Substandard Institutions with No Known Texas Connection. Texas Higher Education Coordinating Board. Retrieved on 2006-10-04.
^ Bear, John, Maria Bear (2003-01-01). Bear's Guide to Earning Degrees by Distance Learning. pp. 59 Ten Speed Press, 215. ISBN 1-58008-431-1.
^ Bear, John, Maria Bear (2003-01-01). Bear's Guide to Earning Degrees by Distance Learning'.' pp. 187 Ten Speed Press, 215. ISBN 1-58008-431-1.
^ "Accreditation Database and Information", Council for Higher Education Accreditation. Retrieved on 2006-08-18.
^ "Degrees for Sale", CBS6, February 19, 2004. Retrieved on 2006-08-18.
^ Perjury to prove a point. Almeda University. Retrieved on 2006-10-20.
^ Singel, Ryan. "Database Fights Diploma Mills", Wired News, Feb, 02, 2005. Retrieved on 2006-08-18.
^ Kara Kenney. "Police officers fired over fake degrees", NBC2, 2006-07-17. Retrieved on 2006-10-04.
^ Ryan Mills. "Officers fired for online degrees rehired", Naples Daily News, 2006-10-28.
^ "Better Business Bureau (BBB) Reliability Report for Almeda University", Better Business Bureau. Retrieved on 2006-10-14.
^ Customer Satisfaction Rating. ePublicEye. Retrieved on 2006-10-30.

[edit] See also
Diploma mill
List of unaccredited institutions of higher learning
List of unrecognized accreditation associations of higher learning
School accreditation

[edit] External links
Almeda University official website
Database for Accreditation in the United States
City manager hears arguments in ex-officers' firings 10/14/2006
Retrieved from "http://en.wikipedia.org/wiki/Almeda_University"
 
This is a direct copy from Wikipedia about Almeda University. Tulichojifunza kutokana na ripoti ya Mwakyembe ni kuwa serikali yetu ilipumbaa katika kufanya utafiti wa kutosha kujua uwepo na uhalali wa kampuni ya Richmond, wabia wake wa kibiashara na haikushtuka hata pale kampuni hii ilipokosa credit. Sasa tunajua kuwa kama serikali haitafiti, basi sisi wenyewe tuwe watafiti.

Simfahamu wala sina ubaya wowote na Mh. Mustafa Mkulo, waziri wetu mpya wa fedha. Lakini baada ya kuangalia wasifu wake ulioonyesha ana shahada ya pili ya uongozi wa biashara (MBA) kutoka Almeda University, nilipatwa na shauku nijue zaidi kuhusu hicho chuo. Cha kushangaza ni kuwa hiki chuo hakiko accredited huko Marekani na kimewekwa kwenye kundi moja na vyuo vyenye kutoa shahada zisizo za kweli (diploma mill).

One may call me a paranoid person but I think many will agree with me that it's only fair to question the credentials of a person leading our treasury and advising our president on fiscal matters after seeing what Richmond/RDC/RDEVCO did to our country.
 
Hapa je? ni kuwa watanzania wameamua kudai haki yao mapema ,kwani ukifuatilia utaona ya kuwa kuanzia kule kwa Balalli walianza kugawana shamba na kudai ni haki yao.

Hapa wameanza kushughulikia jina na kila chenye uhusiano wa kimantiki na Richmond je? nchi hii ndio wananchi wanaamua kuamka na kudai haki zao?


soma hapa .

Jina Richmond lazua balaa Dar




na Lucy Ngowi



KASHFA ya Richmond iliyosababisha kujiuzulu kwa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, wiki iliyopita, na hatimaye kuvunjwa kwa Baraza la Mawaziri, imeanza kuzua balaa katika viunga vya Jiji la Dar es Salaam.
Balaa hilo limeanza kuwakumba wamiliki wa majengo mawili tofauti ya Richmond Hill na Richmond Tower ambao sasa wanalazimika kuanza kazi ya kung'oa vibao vilivyoandikwa Richmond kwenye majengo yao hayo baada ya kuwapo kwa tishio la wazi dhidi ya biashara yao.

Tanzania Daima jana ilishuhudia mafundi wakimalizia kung'oa maandishi yanayong'ara yaliyoandikwa Richmond Hill katika moja ya majengo hayo mawili, lililopo Mtaa wa Chake Chake, Masaki, Dar es Salaam.

Walipofika waandishi wa Tanzania Daima katika eneo hilo, mafundi hao waliacha kuendelea na kazi ya kumalizia kung'oa maandishi mengine yaliyokuwa kwenye jengo la pili ambalo nalo lilikuwa na maandishi hayo hayo.

Akizungumza na wanahabari, Mkurugenzi wa Kampuni ya OMIMS Ltd inayomiliki majengo hayo pacha ya Richmond Hill, Sultan Mitha, alisema walilazimika kuyang'oa maandishi hayo baada ya kubaini kwamba yamekuwa yakiwaletea matatizo yanayoathiri biashara tangu Kamati ya Teule ya Bunge iwasilishe ripoti yake bungeni wiki iliyopita.Akitoa mfano, Mitha alisema siku tatu zilizopita, mmoja wa wateja wao ambaye ni Mzungu alikabiliana na usumbufu wa kutupiwa mawe na wananchi wakati akiwa katika gari lililoandikwa Richmond.

"Tumeamua kufuta kwa sababu watu wanapiga mawe magari yetu wakati hawajui kuwa, hakuna uhusiano wowote kati ya Kampuni ya Richmond yenye kashfa na hii ya kwetu. Hili ni jina tu la kibiashara tunalitumia."Tumeamua kufuta maandishi haya kwenye majengo yetu na magari ya wateja wetu, kwa sababu watu wanayapiga mawe," alisema mkurugenzi huyo.

Katika kuonyesha tofauti kati ya kampuni yao na ile ya Richmond Development Ltd, ndugu wa Mitha aliyejitambulisha kwa jina la Jaffary Mohammed, alisema wao hawawafahamu kabisa wakurugenzi wa kampuni hiyo yenye kashfa.

"Kwa kweli tunasikitika kwa kuwa hatuna uhusiano wowote wa kibiashara, ila tunasoma tu kwenye vyombo vya habari," alisema Mohammed.

Alisema ujenzi wa majengo hayo ambayo ni makazi ya watu, ambayo hadi sasa zinaishi jumla ya familia 86, ulianza mwaka 2000 na ukakamilika mwaka 2004.

Kwa mujibu wa mkurugenzi huyo, jengo la Richmond Tower lililopo Mtaa wa Mindu, lina familia 62 wakati lile la Richmond Hill la Masaki lina familia 24.

Habari zaidi kutoka eneo la tukio zimeeleza kwamba, miongoni mwa watu wanaoishi katika majengo yanayomilikiwa na kampuni hiyo, ni watoto wa waliokuwa mawaziri wawili katika Baraza la Mawaziri lililovunjwa wiki iliyopita ambao hawakuteuliwa katika serikali iliyotangazwa majuzi.
 
Habari zaidi kutoka eneo la tukio zimeeleza kwamba, miongoni mwa watu wanaoishi katika majengo yanayomilikiwa na kampuni hiyo, ni watoto wa waliokuwa mawaziri wawili katika Baraza la Mawaziri lililovunjwa wiki iliyopita ambao hawakuteuliwa katika serikali iliyotangazwa majuzi.
 
Ameanza kwa kumpongeza WAziri Mkuu mpya pamoja na Mawaziri wote waliochaguliwa,na pia amepongeza Lowassa kwa kujiuzuru na pia Bwana Karamagi na Msabaha,

Ameleze michango iliyochangiwa ambayo ni 58,na anawashukuru kwa majina kwa sasa wale wote waliochangia

Hapo kabla Eng. Manayanya alitoa utangulizi na aksema maneno hawa…amesema kwa sasa watoto wanawakejeli kwa kusema maneno haya “wanafiki wanaoafiki waseme ndio?.
 
Back
Top Bottom