William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Ili kuweza kuthibitisha tuhuma tajwa hapo juu, TAKURU iliamua kufanya uchunguzi ili kupata majibu ya hoja za ki-uchunguzi kama ifuatavyo:-
2.1 Kufahamu wamiliki wa kampuni ya Richmond.
2.2 Kufahamu iwapo utaratibu wa zabuni ulifuatwa.
2.3 Kufahamu iwapo kulikuwa na upendeleo wowote katika utoaji zabuni kwa kampuni hiyo ya Richmond.
2.4 Kiasi cha fedha kilicholipwa kwa kampuni hiyo mara baada ya kusainiwa mkataba.
2.5 Kufahamu kiasi cha fedha kilichokuwa kimelipwa kwa Richmond hadi tarehe kampuni hiyo ilipokabidhi shughuli zake kwa kampuni ya Dowans.
2.6 Kufahamu uhusiano uliopo kati ya kampiuni ya Richmond na Dowans.
2.7 Kufahamu sababu za Richmond kujiondoa na kuwapa Dowans shughuli zao.
2.8 Kufahamu iwapo kulikuwa na hasara yoyote ambayo serikali itakuwa imeipata kutokana na kampuni ya Richmond kushindwa kuzalisha umeme kwa mujibu wa mkataba wake, kisheria.
2.9 Kufahamu iwapo kulikuwa na uzembe wa upande wa serikali (kupitia timu ya wataalamu-GNT) katika kusimamia mchakato mzima na hasara iliyotokana na uzembe huo.
2.10 Kufahamu iwapo kulikuwa na kamisheni iliyokuwa imetolewa kwa watendaji wakuu wa serikali yetu.
2.11 Kufahamu iwapo kuna mabadiliko ya kiutekelezaji kiufanisi baada ya Dowans kuchukua shughuli hizo toka Richmond.
2.12 Kufahamu iwapo kulikuwepo na mapungufu yoyote katika mchakato mzima na upana wa athari zake.
3.0 Ushahidi uliopatikana..................coming up next......!
2.1 Kufahamu wamiliki wa kampuni ya Richmond.
2.2 Kufahamu iwapo utaratibu wa zabuni ulifuatwa.
2.3 Kufahamu iwapo kulikuwa na upendeleo wowote katika utoaji zabuni kwa kampuni hiyo ya Richmond.
2.4 Kiasi cha fedha kilicholipwa kwa kampuni hiyo mara baada ya kusainiwa mkataba.
2.5 Kufahamu kiasi cha fedha kilichokuwa kimelipwa kwa Richmond hadi tarehe kampuni hiyo ilipokabidhi shughuli zake kwa kampuni ya Dowans.
2.6 Kufahamu uhusiano uliopo kati ya kampiuni ya Richmond na Dowans.
2.7 Kufahamu sababu za Richmond kujiondoa na kuwapa Dowans shughuli zao.
2.8 Kufahamu iwapo kulikuwa na hasara yoyote ambayo serikali itakuwa imeipata kutokana na kampuni ya Richmond kushindwa kuzalisha umeme kwa mujibu wa mkataba wake, kisheria.
2.9 Kufahamu iwapo kulikuwa na uzembe wa upande wa serikali (kupitia timu ya wataalamu-GNT) katika kusimamia mchakato mzima na hasara iliyotokana na uzembe huo.
2.10 Kufahamu iwapo kulikuwa na kamisheni iliyokuwa imetolewa kwa watendaji wakuu wa serikali yetu.
2.11 Kufahamu iwapo kuna mabadiliko ya kiutekelezaji kiufanisi baada ya Dowans kuchukua shughuli hizo toka Richmond.
2.12 Kufahamu iwapo kulikuwepo na mapungufu yoyote katika mchakato mzima na upana wa athari zake.
3.0 Ushahidi uliopatikana..................coming up next......!