Sakata la Kuahirishwa Yanga vs Simba,Mbona waandishi mashabiki wa Yanga wanaukosea Mpira?

Sakata la Kuahirishwa Yanga vs Simba,Mbona waandishi mashabiki wa Yanga wanaukosea Mpira?

Torra Siabba

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
243
Reaction score
287
Baada ya Bodi ya Ligi kuu Tanzania TPLB Kutangaza kuahirishwa kwa mechi ya watani wa Jadi Yanga vs Simba waandishi wa habari na wachambuzi wa maswala ya Kabumbu wameendelea kuukosea adabu mpira wa nchi hii kwa kuchambua kwa kutumia hisia zitokanazo na mapenzi yao juu ya Yanga badala ya kuwa weledi.

Mfano leo Wasafi FM kwenye kile kipindi, wakiongozwa na Mwanachqma wa Yanga Maulid Kitenge, Yusuph Mkule wanatoka hadharani wanasau weledi kwenye kazi yao wanakazana eti bodi ya Ligi Ifutwe?? Hii inaingia Akilini?

Yanga imetwaa Ubingwa wa Ligi kuu kwa misimu mitatu mfululixo kwa Bodi hiyo hiyo ikisimamia Ligi mbona hatukuwahi kuona maoni kama haya ya kipuuzi?

Nakumbuka mwaka 2021 Bodi hii hii ya Ligi iliusogeza mbele mchezo wa Simba vs Yanga kutoka saa 11 mpaka saa 1 jioni, Yanga wakagoma na wakapewa nafasi ya kucheza wakati mwingine wakati ule bodi ya Ligi ilikuwa tofauti na sasa? Kwahivyo wanachokofanya wachambuzi na waandishi wa habari wa habari za michezo akiwemo Maulid Kitenge na wenzake wa Yanga kutimiza majukumu yao bila kuwa weledi na kufanya Uchunguzi wa maswala haya ya michezo ili kuja na Mijadala ya kujenga ni USHABIKI MAANDAZI.
 
Baada ya Bodi ya Ligi kuu Tanzania TPLB Kutangaza kuahirishwa kwa mechi ya watani wa Jadi Yanga vs Simba waandishi wa habari na wachambuzi wa maswala ya Kabumbu wameendelea kuukosea adabu mpira wa nchi hii kwa kuchambua kwa kutumia hisia zitokanazo na mapenzi yao juu ya Yanga badala ya kuwa weledi.

Mfano leo Wasafi FM kwenye kile kipindi, wakiongozwa na Mwanachqma wa Yanga Maulid Kitenge, Yusuph Mkule wanatoka hadharani wanasau weledi kwenye kazi yao wanakazana eti bodi ya Ligi Ifutwe?? Hii inaingia Akilini?

Yanga imetwaa Ubingwa wa Ligi kuu kwa misimu mitatu mfululixo kwa Bodi hiyo hiyo ikisimamia Ligi mbona hatukuwahi kuona maoni kama haya ya kipuuzi?

Nakumbuka mwaka 2021 Bodi hii hii ya Ligi iliusogeza mbele mchezo wa Simba vs Yanga kutoka saa 11 mpaka saa 1 jioni, Yanga wakagoma na wakapewa nafasi ya kucheza wakati mwingine wakati ule bodi ya Ligi ilikuwa tofauti na sasa? Kwahivyo wanachokofanya wachambuzi na waandishi wa habari wa habari za michezo akiwemo Maulid Kitenge na wenzake wa Yanga kutimiza majukumu yao bila kuwa weledi na kufanya Uchunguzi wa maswala haya ya michezo ili kuja na Mijadala ya kujenga ni USHABIKI MAANDAZI.
Usihangaike na watu waliouza utu wao kwa vibahasha
 
Bod imejichanganya
Wanatakiwa kuchangia mijadala kwa kujenga hoja ili sisi mbumbumbu watufungue akili tujue, ila wanaposoma taarifa zilizotolewa na Yanga na kuzikoleza kwa wino mweusi inatupa taabu wengine
 
Baada ya Bodi ya Ligi kuu Tanzania TPLB Kutangaza kuahirishwa kwa mechi ya watani wa Jadi Yanga vs Simba waandishi wa habari na wachambuzi wa maswala ya Kabumbu wameendelea kuukosea adabu mpira wa nchi hii kwa kuchambua kwa kutumia hisia zitokanazo na mapenzi yao juu ya Yanga badala ya kuwa weledi.

Mfano leo Wasafi FM kwenye kile kipindi, wakiongozwa na Mwanachqma wa Yanga Maulid Kitenge, Yusuph Mkule wanatoka hadharani wanasau weledi kwenye kazi yao wanakazana eti bodi ya Ligi Ifutwe?? Hii inaingia Akilini?

Yanga imetwaa Ubingwa wa Ligi kuu kwa misimu mitatu mfululixo kwa Bodi hiyo hiyo ikisimamia Ligi mbona hatukuwahi kuona maoni kama haya ya kipuuzi?

Nakumbuka mwaka 2021 Bodi hii hii ya Ligi iliusogeza mbele mchezo wa Simba vs Yanga kutoka saa 11 mpaka saa 1 jioni, Yanga wakagoma na wakapewa nafasi ya kucheza wakati mwingine wakati ule bodi ya Ligi ilikuwa tofauti na sasa? Kwahivyo wanachokofanya wachambuzi na waandishi wa habari wa habari za michezo akiwemo Maulid Kitenge na wenzake wa Yanga kutimiza majukumu yao bila kuwa weledi na kufanya Uchunguzi wa maswala haya ya michezo ili kuja na Mijadala ya kujenga ni USHABIKI MAANDAZI.
Wachambuzi wote wanapewa bahasha za kaki
 
Back
Top Bottom