Sakata la Lugumi: Gazeti la Nipashe latakiwa kuliomba Bunge radhi kwa upotoshaji

Sakata la Lugumi: Gazeti la Nipashe latakiwa kuliomba Bunge radhi kwa upotoshaji

Mkuu wizi wa Lugumi ni kweli wamepiga pesa isipokuwa kilichotokea ni ile kamati ya Bunge kupewa Rushwa kupitia Kwa kibajaji ili waje na matokeo ya kushangaza na huenda Watanzania watazidharau kamati zote za Bunge kabsa, JIPU la Lugumi ni kubwa kuna List kubwa wametafuna pesa za Lugumi Hivi Sasa wapo busy kuhakikisha kuwa Lugumi anakuwa msiri mkubwa asiwataje wale alizowagawia pesa, kinachofanyika Sasa ni kuwaziba midomo waandishi na vyombo vya habari.
Weka akiba ya maneno ili baadae uwe na mamlaka ya kuzungumza,wengi hawana habari za undani.
 
Wote tulimsikia Mbunge/Mwenyekiti Aesh akiagiza mkataba lakini ajabu leo imekuwa maaelezo ? Nafikiri kuna jambo limepindishwa toka kwa katibu wa kamati ya PAC(mwandishi) kwenda kwa bwana Kashililaah AU bwana Kashilillah kwa makusudi ndie alipindisha ukweli huo
 
Aisee LUGUMI unajua wewe katika nchi hii umeshakuwa mtu maarufu kama jk magu balali sasa tulia kula mipango yako uliovuna eti lugumi kwani kwenye uchaguzi mkuu 2015 haya majamaa ya CCM hayakukupiga mzinga kwenye hela zako kama uliyagawia usihofu yatakulinda hayashindwagi jambo haya majamaa yanaujamaa wa kweli tatizo kama hukuyagawia utalisoma JIJI nakama umeshachomoka usirudi yatakufunga kama KASUSURA
 
mimi nilidhani Bunge ndio liombe msamaha kwa media maana tuliomuona mbunge wao akiwapa siku tatu police wawe wametoa mkataba kupitia ITV leo magazeti yanaripoti yaombe tena radhi yenyewe..
Wanasiasa ndio viongozi wa kidunia lakini baadhi yao si watu wema kabisa mm ningekuw mwenyekiti wa PAC ningejiuzulu haraka kabisa kwa ishu hii tofauti na kutojiuzulu siku nyingine hatutamwamini tena
 
Aisee LUGUMI unajua wewe katika nchi hii umeshakuwa mtu maarufu kama jk magu balali sasa tulia kula mipango yako uliovuna eti lugumi kwani kwenye uchaguzi mkuu 2015 haya majamaa ya CCM hayakukupiga mzinga kwenye hela zako kama uliyagawia usihofu yatakulinda hayashindwagi jambo haya majamaa yanaujamaa wa kweli tatizo kama hukuyagawia utalisoma JIJI nakama umeshachomoka usirudi yatakufunga kama KASUSURA
nasikia aliwakopesha bil nyingi tu ndio maana ana jeuri ya kusema sio kila majipu ni ya kutumbua
 
Bunge hili linazidi kujidhalilisha tu. Hayo "maelezo ya kina" watakuwa wanafanya reference kwenye nini kama sio huo Mkataba? Aibu kubwa sana hii.
 
....Hili bunge la Ndugai na Tulia Ackson sasa mbona linaanza kupoteza mwelekeo na public trust bado asubuhi tu, watamaliza miaka mitano kweli hawa??!!

Kuna mtu kakaa na remote mahali flani. Akibonyeza tu, watu wanadance na kuact accordingly.

Bila shaka Aeshi Hillary ( mwenyekiti wa Pieisii) nae atakuwa kapewa karipio kali asiongee tena hadharani kuhusu jambo hili.
 
Aisee LUGUMI unatufurahisha kama kweli uliwakopesha halafu wanataka kukutmbua si watajitumbua umesema kweli si kila majipu niyakutumbua. Eti mkuu LUGUMI majamaa umeyapiga mkwara nini mbona unapata utetezi kila kona ya mamlaka? LUGUMI wee nomaa ulipenyaje ukapata ile totos ya kamanda kabla hujapata hela au ulitumia mandagu ya kisukuma big up LUGUMI wee ninomaaaaaa mpaka kuwashinda book 7 na kipara wao. LUGUMIIIIIII we nomaa
 
Nina imani haki itatendeka mbele ya serikali ya awamu ya tano. Tuwe nasubila mambo hayatolewi maamuzi mtandaoni, mpaka sasa katika ofisi za wakuu serikalini mambo hayo yako mezani kwao wanatafakali. Hiyo basi wana mitandao tulieni serikali hiko kazini. Asanteni sana.
 
dah lugumi salut kwako,kweli huu mchezo hauhitaji hasira,tulijua safari hii haogopwi mtu kumbe wababe wa nchi mko biyeeeeeee bado
 
HI MEMBERS “POWER CORRUPTS, AND MONEY CORRUPTS MOST BUT POWER AND MONEY CORRUPTS ABSOLUTELY”
 
Wanasiasa ndio viongozi wa kidunia lakini baadhi yao si watu wema kabisa mm ningekuw mwenyekiti wa PAC ningejiuzulu haraka kabisa kwa ishu hii tofauti na kutojiuzulu siku nyingine hatutamwamini tena
Yaa mkuu imenishangaza iyo Taharifa anatoka mtu katika kundi lao anatoa taharifa media zinatangaza wanaambiwa waombe radhi sasa ili waende katika media ilitakiwa wawe na vibali vya bunge maana vikiripoti wao ndio wahanga na si wabunge...
 
Sema Bongo hatujitambui nakumbuka ishu ya Zuma kwa mara ya kwanza iliporipotiwa na magazeti yapo yaliyopigwa biti kama hilo na waligoma mpaka iyo ishu iende mahakamani maana wao ndio wanajua ukweli na kweli lile gazeti halikuomba msamaha ilivyojulikana baada ya constutional court serikali ndio iliyotoa tamko la kuomba msamaha media zoote..bongo mtu anatoka nyumbani na maamuzi yake yeye ndio mchinguzi na yeye ndio jaji
 
Hoja ya msingi imeanza kuwa diverted...as usual!

Kama enzi zile za makashfa mengi ambayo yalichomekewa "distrakta" ya babu wa Loliondo..ili kuondoa watu kwenye mstari wa hoja na kuwapeleka kwenye hearsay.

Najivunia kuwa mtz.[emoji22]
 
hii mihimili iachwe ifanye kazi yenyewe tutakuja kusikia mengi hili Na hili litapita kama mengine yalivyopita
 
Back
Top Bottom