Hapa umenena mkuu
UOTE="Mpui Lyazumbi, post: 15914776, member: 25846"]Kwani tatizo ni nini sasa. Kupitia taarifa yake ya habari leo saa mbili usiku ITV tuwekeeni kipande cha jambo hili tangu mahojiano ya M/M/Kiti wa PAC na vyombo vya habari, tusomeeni tena hilo Gazeti na hili taarifa ya Bunge. Kesho Nipashe iombe msamaha ili mambo yaendelee. Nimemaliza.[/QUOTE]