Tetesi: Sakata la magari 53 yaliyokutwa bandarini: Magari hayo ni ya EDIGALAN MASAKO

uko kuna warembo tu na IQ yao ndogo sana wao rais wao wa insta nadhani unamjua

Ha ha haaaaa
Wewe weka wachache wahe kusoma nondoz zako hao usiwafikirie asilimia kubwa ni wanafunzi tu wanaburudika na kudakia kila jambo na kushabikia..
 
Muache mzee wa watu apumzike na sasa anafanya kilimo
Mzee Masako lol
 
Kabisa mkuu wote tukiwa ma professor nani atahudumu bar?
lakini bar zinahitaji wasomi pia hata kama si kiwango cha kina lipumba, ila hata hao wa bar si ndo wakiwapeleka maprofesor chobisi wanawapa mambo mpaka wanasahau vyuo na kozi walizosoma , wana uphd wa maisha halisi
 
Mkuu naungana nawe. Uzi wowote ukiudadavua ili watu wausome na wafuatilie ukweli jamaa hawachelewi kuuunganisha ama kuufuta. Hapa jf tushavamiwa jukwaa linapotea njia taratibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…