jiwe la majiwe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 2,537
- 1,586
Mbona mnaanza kujihami...??kama mnataka kutupoteza kwenye matukio ya chaguzi ndogo za madiwani zilizokuwa zikiendelea nchini Jana 26/11/2017Mkuu naungana nawe. Uzi wowote ukiudadavua ili watu wausome na wafuatilie ukweli jamaa hawachelewi kuuunganisha ama kuufuta. Hapa jf tushavamiwa jukwaa linapotea njia taratibu.
Upotezwe kiaje kwani humu inajadiliwa mada moja. Mtu mmoja kachangia kwenye siasa, mapenzi, hoja mchanganyiko na kwingineko.Mbona mnaanza kujihami...??kama mnataka kutupoteza kwenye matukio ya chaguzi ndogo za madiwani zilizokuwa zikiendelea nchini Jana 26/11/2017
I cry for Jamii forum, rejea Jamii forum halisi rejea sasa hakuna wakati muhimu kama huu.Umenikumbusha enzi za Jamboforums..
Enzi za watu kumwagika bila breki..
OK aksante kwa taarifa, tuambie na vile vichwa vya Terni vilikuwa vya nani? au taarifa zako zinabagua zisiwaumize unowapendaNimekuwa nasema kila siku hapa kwamba mali nyingi zinazopita ufukweni pale hazilipi kifuta jasho kama inavyopaswa,
Magari hayo ya Bwana Edigaran Masako wa ofisi ya makusanyo kifuta Jasho (OMKJ) samora , anajulikana hivyo kwasababu kashastaafu kitambo lakini, kuna na mashine nyingi zimepita maeneo yale kwa kukikwepa kifuta jasho,
Nimefanya kazi Ufukweni hapo kabla sijaipa kisogo Tanzania tokea mwaka 2003 hadi 2011 msisumbuke sana , yote hiyo mnaangaika kisa mmeimaliza meno jamii forums na kupandikiza mange vimambi wengi , Huwez amini kina mzee wa kudadavua, mchambuzi, BAK au bakili muluzi siku hizi ni kama wamebanwa hawana cha kusema kwa sababu ya uoga , Hayo ndo mambo ambayo Jf ilipaswa kuweka wazi, Muda huu mada ni nani anapaswa kutangulia kufika kati ya mama Samia au Makonda, mada ni flash ya gwajima anayo makonda , hatuwezi kufika kwa fikra za namna hii
Usiku mwema unajua Vodka ya Urusi imefanya nitoboe siri hii weekend hii inaleta mzuka
Britanicca
NB MODS HAWATACHELEWA KUONDOA UZI HUU, AU KUUNGANISHA BILA KUJUA KWAMBA HUU HAUFANANI NA UZI WOWOTE BADALA YA KUUACHA ULETE CLEAR PICTURE UOGA NI JAMBO BAYA SANA
Hapo sana sana utaulizia noah na makinikia, kunywa vodka mkuu utiririke!Ngoja nami ninywe balimi ya Tanzania tuone kama ntatoa siri
Nawewe umeamini mwenyewe hajulikani?Hakunaga kitu cha 'mtu asiyejulikana" yale magari hadi yanafika bandarini lazima yalikuwa yameandikwa mmiliki ni nani..basi tu ameamua kuficha.
Umenikumbusha enzi za Jamboforums..
Enzi za watu kumwagika bila breki..
dubwana katika ubora wakoUhuru upo instagram nenda basi huko ushushe nondoz..
Ukifungua akaunti tena iwe ya jina hili na ongeza TZ mwishoni tujue ni wewe.. unaonaje hili?
nchi ya kusadikikaa haya yote ni jamaa wa msoga na kukuna kichwani
Inakuwaje sasa ziara za awali zisiuone ila sasa?ni vigumu sana kumtenganisha kikwete na uozo huu
Na kamwe haitatokea waitake mpaka wananchi watakapoidai kwa nguvu.Ndiyo maana hawaitaki rasimu ya Warioba.