Tetesi: Sakata la magari 53 yaliyokutwa bandarini: Magari hayo ni ya EDIGALAN MASAKO

Mkuu naungana nawe. Uzi wowote ukiudadavua ili watu wausome na wafuatilie ukweli jamaa hawachelewi kuuunganisha ama kuufuta. Hapa jf tushavamiwa jukwaa linapotea njia taratibu.
Mbona mnaanza kujihami...??kama mnataka kutupoteza kwenye matukio ya chaguzi ndogo za madiwani zilizokuwa zikiendelea nchini Jana 26/11/2017
 
Mbona mnaanza kujihami...??kama mnataka kutupoteza kwenye matukio ya chaguzi ndogo za madiwani zilizokuwa zikiendelea nchini Jana 26/11/2017
Upotezwe kiaje kwani humu inajadiliwa mada moja. Mtu mmoja kachangia kwenye siasa, mapenzi, hoja mchanganyiko na kwingineko.
Kwa hiyo kwa akili yako finyu unataka kwa kuwa kulikuwa na uchaguzi jana basi mengine yasipostiwe.
Nini maana ya jamiiforum yawezekana hujui that's why you ask these.
 
OK aksante kwa taarifa, tuambie na vile vichwa vya Terni vilikuwa vya nani? au taarifa zako zinabagua zisiwaumize unowapenda
 
Hakunaga kitu cha 'mtu asiyejulikana" yale magari hadi yanafika bandarini lazima yalikuwa yameandikwa mmiliki ni nani..basi tu ameamua kuficha.
Nawewe umeamini mwenyewe hajulikani?
 
Ndiyo maana hawaitaki rasimu ya Warioba.
Na kamwe haitatokea waitake mpaka wananchi watakapoidai kwa nguvu.
Ukiona hawataki mgombea binafsi, huku vyama pinzani wanavipiga vita huhitaji kuwa na phd. Kujua wanaficha nini migongoni kwao.
 
Duuh haya bana JPM kazi unayo umejipa majukumu mazito mnoo hayo majukumu yainataji muda sio zima moto ukilala ukiamka Tanzania yote ni safi hapana utajipa frustration Fanya kidogo mwachie anaye kuja na yeye arakebishe sehemu yake kwa kumuwekea mazingira mazuri ikiwemo katiba mpya ya kuwabana mafisadi hata kama wamestaafu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…