Sakata la mawakala wa mizigo: "Mwanamfalme" amtishia kiongozi mwandamizi wa mawakala 'clearing'

Sakata la mawakala wa mizigo: "Mwanamfalme" amtishia kiongozi mwandamizi wa mawakala 'clearing'

Wewe Ritz hujui chochote kabisa bora ukae kimya. Its does not need you to be magician to clear any cargo, its simply the matter of principals and procedures.

HSC ni wezi wakubwa katika nchi hii. Tena majambazi, taratibu za clearing ukimaliza unampa mteja documents zote za mzigo wake( file zima) waulize hao wafanya biashara kama wana documents hasa zinazoonyesha TRA ushuru ulikuwaje. Na kama wangekuwa nazo wangedai in reference to those old documents.

Sasa kwa taarifa tuu hii ishu imeanzia IMF wakiilalamikia TZ hawakusanyi kodi na wakatoa moja ya reference.

Endeleeni kumwonea mmnyonge tuu ila ipo siku ukweli utadhiirika zaidi ya hapo.

Wewe kazi yako kubwa ni kutetea kitu chochote chenye element ya "uislam" hata kama ni upuuzi ukidhani ndio unausaidia huo "uislam" kumbe unawapeleka wenzio motoni kwa shetani. Wasaidie kwa kusema kweli ili wabadilike.

Ndugu yangu mambo ya Uislam yanatoka wapi tena au wewe ndiyo una chuki na hao Waislam.

Naomba nikuulize wewe umepakia mzigo wako CBM 2 unataka upewe documents za TRA? Mimi nijua kukuzidi wewe ambaye unaongozwa na chuki.

Kwa hiyo unataka kutuambia maclearing wanatoa mizigo isipokuwa HSC tu.

Wewe ndiyo hujui chochote wafanyabiashara wenyewe wanashirikiana na mawakala kuiibia serikali wataomba documents za nini.

Mfanyabiashara anafunga kontena yake ya kitenge kwenye paking list kaandika miamvuli hapa utamlaumu clearing. Halafu acha uongo na habari zako za vijiweni kuhusu IMF.
 
Hata wewe ni udaku huna unalolijua ni hadithi za paukwa pakawa hapo kwenye red peke inatosha kuthibitisha maneno yangu

Chama
Gongo la mboto DSM

Nyie makupe wanyonyaji wakubwa.
 
Mkuu chama,

Issue ni hivi hawa unaowaona wanalalamika na wale mawakala makanjanja ambao wameporwa wateja na HSC. Usikudanganye mtu hawa HSC wamewasaidia sana watu wenye mitaji midogo.

Ukifika China wana ofisi kubwa sana wear house wanapakia mizigo na bei zao zipo wazi hata box 1 la chupi wanakusafirishia mpaka Tanzania na mzigo wako ukifika unapigiwa simu ukalipie kisha ukachukue wear house kwao keko na wanakupa na usafiri mpaka dukani kwako kwa sh 20000.

Sasa hawa makanjanja wanalalamika wanakwepa ushuru TRA wakaanza kuzuia kila kontena kuangalia kilichomo kumbe wakwepaji wakubwa ni hawa makanjanja karibia wote walichopakia na walichandika ni tofauti.

Sasa HSC wakawaambia wateja wao kama kuna mtu anataka bill yake apeleke kwa clearing mwingine aje achukue kuna wengine wamechukuwa mpaka leo wameshindwa kutoa mizigo TRA wanasema wanafungua kila kontena.

Kitu kingine wafanyabiashara nao waongo hawasemi kweli walichopakia kukwepa ushuru.

Mkuu Ritz
Hawa jamaa Bavicha hawana jipya; walichobakisha ni udaku hawana jipya hapa kinachojadiliwa ni siasa za maji taka tu wote wanaingia humu na habari za vilinge vya kahawa tu.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ritz
Hawa jamaa Bavicha hawana jipya; walichobakisha ni udaku hawana jipya hapa kinachojadiliwa ni siasa za maji taka tu wote wanaingia humu na habari za vilinge vya kahawa tu.

Chama
Gongo la mboto DSM

wewe ni mriberali
 
Last edited by a moderator:
Tumemnyonya nani?

Chama
Gongo la mboto DSM

156565_178002748892675_100000488544093_599644_5694958_n.jpg


Hawa hapa, mnapenda mle cake ya Taifa peke yenu na wanenu
 
wewe ni mriberali

Mliberali mnaye Chadema lile babu la kitaliano lililofanya uasi kwa Mungu sio tu ana Ph.d ya kuchovya ya theology ana mambo ya ziada aliyojifunza na kufaulu kwa upeo mkubwa pale Milano hilo taliano cheza nalo mbali usione msalaba mkubwa kifuani ukajua kambeba Yesu!!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
156565_178002748892675_100000488544093_599644_5694958_n.jpg


Hawa hapa, mnapenda mle cake ya Taifa peke yenu na wanenu

Mkitoa picha kama hizi tuelezeni ni wapi ili chama makini kifuatilie kwa ukaribu utekelezaji wa ilani zake; hapa utakuta viongozi wa kijiji ni kutoka Chadema ambao kila siku wao ni kutaka kukwamisha mipango ya maendeleo.
Nawatumia viongozi wangu ili waondoe kero hizi naamini tukisimama kama taifa yote yanawezekana. Nikiwa kama mwanaccm ambaye nakiamini chama changu; hili ni tatizo dogo ambalo wananchi wakishiriki kikamilifu katika uchangiaji wa maendeleo yao tutafanikiwa

Chama
Gongo la mboto DSM
CC Mwigulu Nchemba; Nape Nnauye
 
Mkitoa picha kama hizi tuelezeni ni wapi ili chama makini kifuatilie kwa ukaribu kutekeleza ilani; hapa utakuta viongozi wa kijiji ni kutoka Chadema ambao kila siku wao ni kutaka kukwamisha mipango ya maendeleo.
Nawatumia viongozi wangu ili waondoe kero hizi naamini tukisimama kama taifa yote yanawezekana.

Chama
Gongo la mboto DSM
CC Mwigulu Nchemba; Nape Nnauye

ari_mpya_nguvu_mpya.jpg


Bado watanzania hatujasahau hili mlilo tuahidi kuwa Maisha bora kwa kila Mtanzania

IMG_7290.JPG


Wakati nyie mnaburudika kama hivi na kupata vitafunwa wengine njaa kali.
 
Tatizo watu wengi wanasumbuliwa na wivu kama wewe, usidanganye watu makampuni yote ya clearing hayatoi mizigo niambie kariakoo nani anatoa mizigo? Si mmeambiwa mkachukue bills kama mnaona wanaiba muwape wengine mmeshindwa wabongo bana.

Mkuu, tatizo lako unaendekeza ushabiki wa kitoto!. Mtu anayekwepa kodi kama HSC/Silent Haulage si wa kumtetea hata kidogo. Wivu wa nini sasa katika kusema ukweli???

Wewe ni mbulula sana aisee! Unatetea watu wanaokwepa kodi kwa ujinga wako wa mahaba na ushabiki wa kijinga. Wewe Riz ni mbumbumbu sana aisee! Nyambafu!
 
ari_mpya_nguvu_mpya.jpg


Bado watanzania hatujasahau hili mlilo tuahidi kuwa Maisha bora kwa kila Mtanzania

IMG_7290.JPG


Wakati nyie mnaburudika kama hivi na kupata vitafunwa wengine njaa kali.

Baada ya kazi ngumu ya ujenzi wa taifa kupumzika na burudani vimo kitu gani ambacho hukielewi katika hilo?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Baada ya kazi ngumu ya ujenzi wa taifa kupumzika na burudani vimo kitu gani ambacho hukielewi katika hilo?

Chama
Gongo la mboto DSM

Hivyo wanavyo tafuna na kunywa ni TAKRIMA/RUSHWA?
 
Udaku jazz band: hivi wewe Mikael P Aweda pale mlimani ulisomea umbea; porojo na udaku? siasa imekushinda naona umejikita kwenye majungu hata unachokiandika unakielewa mwenyewe hizi njaa mmekosa namna nyingine ya kuzitibia?

Chama
Gongo la mboto DSM
CC Ritz

huyu naye katokea wapi..mbona unakurupuka ndugu? Upo nchi gani wewe mbona hili swala lipo in public siku nyingi tuu..au wewe hata habari hot za mjini haunaza..umefungiwa limumba unajibu mashambulizi mtandaoni.
 
Last edited by a moderator:
Unauliza mwakyembe anajua haya wakati yeye ndio mfichua madudu namba moja bandari! We uko wapi hapa pongezi zote kwake kwa kusafisha bandari wengine wote walichemka!

We unadhan mtu aliyenusurika kufa anaogop kufa? Keep it up Mwakyembe!
 
Rushwa na ufisadi vimeota mizizi kiasi kwamba sijaona bado mwanasiasa Tanzania atakayeweza kuzitokomeza peke yake.

Wenye uwezo wa kutokomeza rushwa na ufisadi siyo wanasiasa bali ni wananchi peke yao. Mpaka hapo wananchi watakapoona na kuguswa na madhara ya rushwa na ufisadi ndipo watakapopata msukumo wa kupambana nayo. Kwa sasa wananchi wamewaachia hiyo kazi wanasiasa peke yao kwa vile wanasiasa kwa kutaka kupewa kura, wanajinadhibisha na kujipiga kifua juu ya majukwaa ya kisiasa kama wataweza kuyaondoa haya madudu nchini.

Wananchi wako HAPPY kabisa kulipa undervalued fees kwa import wanayoifanya au kulipa rushwa ili wapate huduma kwa haraka bila kujiuliza madhara yake kwa Taifa. Hii inatokana na fikra au mtazamo kwamba, swala la mapambano ya rushwa na ufisadi haliwahusu wao.

Ukisoma mabandiko hapa, utagundua kuwa, hizi kampuni watu walizijua muda mrefu kama zinaibia taifa pesa na wengine wameisha fanya nazo biashara ya kuliibia taifa pesa lakini hakuna hata mmoja aliyeweza kunyosha kidole.

Ukosefu wa investigative journalist Tanzania nako kunachangia sana kuendelea kuwepo rushwa na ufisadi wa waziwazi. Kwa habari za udaku tunaongoza.

Kwani kazi ya kupambana na ufisadi na ruswa bandarini niya Mh. Mwakyembe peke yake?.

Hukumbuki wakat fulan investigative journalists fulan waliandika habari hii kama mara mbili au tatu hivi,badae wakaandamwa sana ikabid wakaombe radhi na wao kunyoosha mikono,na hadith hadith yao ikaishia hapo! I stand to be corrected!
 
Mkuu Ritz
Hawa jamaa Bavicha hawana jipya; walichobakisha ni udaku hawana jipya hapa kinachojadiliwa ni siasa za maji taka tu wote wanaingia humu na habari za vilinge vya kahawa tu.

Chama
Gongo la mboto DSM

Ukweli unauma balaaa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom