mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Maana si kwa kukomaa huko! Hivi mtu ukiwa blackmailed unafanyaje kujinasua? Tufanyeje tuweze kuwanasua? Maana kwa kweli naanza kuwaonea huruma na inabidi tuwaombee sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia, tunakupenda rais wetu na tunakuheshimu lakini huu mkataba siyo kabisa!! Maadui zako wamekuchomekea ili kukufarakanisha na watanzania!! Tunaukataa mkataba huo wa bandari na tunaulaani kwa nguvu zetu zote!! Historia itakuwa upande wetu!!Pia waachane na Huu mkataba..Mama Samia Achana na mkataba,, Sisi tunakupenda mkataba hatuupendi Please