kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Hawa ndo watengenezaji wa Singida oil na Sunola ambazo zinatengenezwa kwa chemical na sio alizeti kama tunavyoaminishwa.
Nimeitoa huko twitter hii post naona inasambaa kwa kasi ya upepo.
ALERT [emoji599] [emoji599] [emoji599]
mount meru millers wana brand ya singida oil na sunola ambayo yote wanasema yanatokana na pure sunflower.
lakini ukweli ni kwamba Brand ya singida oil sio pure sunflower oil ,ni mafuta wanayotengeneza kutokana na mashudu/takataka ya alizeti ambayo inachakatwa pamoja na kemikali aina ya hexane .Baada ya kuchakatwa na hiyo kemikali ya hexane inapatikana mchanganyiko wa kimiminika ambacho ni crude oil pamoja na hexane.
Ambapo baada ya hapo inafanyiwa chemical process ya kutenganisha crude oil na hexane ,ili kuweza kuruhusu crude oil kwenda kusafishwa na kua salama kwenye process kama water demagation , saponification and colour removing... [emoji24][emoji24]
Lakini kwa bahati mbaya kiwandani hapo wanakuwa hawafanikiwi kuondoa kemikali yote ya hexane ambayo ni hatari kwa afya ya mtumiaji na wanapaki mafuta hivo hivo ikiwa na mchanganyiko wa kemikali hiyo [emoji22][emoji22]
Ndo maana ukitumia mafuta ya singida oil lazima ladha yake iwe chungu hapo ndipo unapoionja hexane
Tanzania Police Force na TBS tanzania hii kitu ni hatari kwa afya ya binadamu hatua za haraka zichukuliwe ili kulionoa taifa letu.
Nimeitoa huko twitter hii post naona inasambaa kwa kasi ya upepo.
ALERT [emoji599] [emoji599] [emoji599]
mount meru millers wana brand ya singida oil na sunola ambayo yote wanasema yanatokana na pure sunflower.
lakini ukweli ni kwamba Brand ya singida oil sio pure sunflower oil ,ni mafuta wanayotengeneza kutokana na mashudu/takataka ya alizeti ambayo inachakatwa pamoja na kemikali aina ya hexane .Baada ya kuchakatwa na hiyo kemikali ya hexane inapatikana mchanganyiko wa kimiminika ambacho ni crude oil pamoja na hexane.
Ambapo baada ya hapo inafanyiwa chemical process ya kutenganisha crude oil na hexane ,ili kuweza kuruhusu crude oil kwenda kusafishwa na kua salama kwenye process kama water demagation , saponification and colour removing... [emoji24][emoji24]
Lakini kwa bahati mbaya kiwandani hapo wanakuwa hawafanikiwi kuondoa kemikali yote ya hexane ambayo ni hatari kwa afya ya mtumiaji na wanapaki mafuta hivo hivo ikiwa na mchanganyiko wa kemikali hiyo [emoji22][emoji22]
Ndo maana ukitumia mafuta ya singida oil lazima ladha yake iwe chungu hapo ndipo unapoionja hexane
Tanzania Police Force na TBS tanzania hii kitu ni hatari kwa afya ya binadamu hatua za haraka zichukuliwe ili kulionoa taifa letu.