Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
Sijajua hiki ni kitu ganiKuwe na maabara huru kwa ajili ya uchunguzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua hiki ni kitu ganiKuwe na maabara huru kwa ajili ya uchunguzi
Sisi tusiokuwa na utaalamu huo tunasikiliza tu.Solvent Extraction ni chemical process ya kupata mafuta kutoka kwenye seeds or seed cakes. Labda kuna mshindani aliyekutuma.
Hayo ya mtaaani sharti uyachemshe/yapate moto sana then yapoe kabisa ndipo uendelee na matumizi ya kawaida.Mi sijui lakini mafuta ya sunola yakiisha dumu lake likikaa muda juani yale mabaki ya mafuta yanakua kama gundi au nta hivi sijui kwakweli ila mm nimeacha siku hizi natumia mafuta ya mashine za mtaani ila nayo kuna muda sijui wanasagiq nini mtumbo yanavuruga hatari. Mungu tuu atusaidie
Ndo nachofanyaga mkuuHayo ya mtaaani sharti uyachemshe/yapate moto sana then yapoe kabisa ndipo uendelee na matumizi ya kawaida.
Huku unga wa dona hahaHuku Hexane huku maji ya maiti.. Duu
Kwa sababu gani? Kwamba usipoyachemsha yanakuwa na madhara gani?Hayo ya mtaaani sharti uyachemshe/yapate moto sana then yapoe kabisa ndipo uendelee na matumizi ya kawaida.
Kule mto Mara unakumbuka taarifa ya kamati ya NEMCSasa tbs watafanyaje Kaz Bila kupata Taarifa Kama hizi?
Hata Kama sio za kwel lakn uchunguz ufanyike tuupate ukweli
Kuwe na maabara huru kwa ajili ya uchunguzi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hiyo inaitwa rancidity ni matokea ya kuyaanika mafuta juani ambapo kuna chemical reaction inayotokea kati ya hayo mafuta, mwanga wa jua na hewa ya oksijeni!!Mi sijui lakini mafuta ya sunola yakiisha dumu lake likikaa muda juani yale mabaki ya mafuta yanakua kama gundi au nta hivi sijui kwakweli ila mm nimeacha siku hizi natumia mafuta ya mashine za mtaani ila nayo kuna muda sijui wanasagiq nini mtumbo yanavuruga hatari. Mungu tuu atusaidie
Hayo maelezo ndio mchakato mzima wa kuchakata mafuta ya mbegumbegu, nyongeza ni kuwa huwa yanachemshwa ku-inactivate enzymes na kufanyiwa deodorization kuondoa harufu mbaya!!Hawa ndo watengenezaji wa Singida oil na Sunola ambazo zinatengenezwa kwa chemical na sio alizeti kama tunavyoaminishwa
Nimeitoa huko twitter hii post naona inasambaa kwa kasi ya upepo
ALERT [emoji599] [emoji599] [emoji599]
mount meru millers wana brand ya singida oil na sunola ambayo yote wanasema yanatokana na pure sunflower ...
lakini ukweli ni kwamba Brand ya singida oil sio pure sunflower oil ,ni mafuta wanayotengeneza kutokana na mashudu/takataka ya alizeti ambayo inachakatwa pamoja na kemikali aina ya hexane .Baada ya kuchakatwa na hiyo kemikali ya hexane inapatikana mchanganyiko wa kimiminika ambacho ni crude oil pamoja na hexane
Ambapo baada ya hapo inafanyiwa chemical process ya kutenganisha crude oil na hexane ,ili kuweza kuruhusu crude oil kwenda kusafishwa na kua salama kwenye process kama water demagation , saponification and colour removing... [emoji24][emoji24]
Lakini kwa bahati mbaya kiwandani hapo wanakuwa hawafanikiwi kuondoa kemikali yote ya hexane ambayo ni hatari kwa afya ya mtumiaji na wanapaki mafuta hivo hivo ikiwa na mchanganyiko wa kemikali hiyo [emoji22][emoji22]
Ndo maana ukitumia mafuta ya singida oil lazima ladha yake iwe chungu hapo ndipo unapoionja hexane
Tanzania Police Force na TBS tanzania hii kitu ni hatari kwa afya ya binadamu hatua za haraka zichukuliwe ili kulionoa taifa letu [emoji22][emoji22]View attachment 2357914View attachment 2357915
Nakukubali food scientist,Hiyo inaitwa rancidity ni matokea ya kuyaanika mafuta juani ambapo kuna chemical reaction inayotokea kati ya hayo mafuta, mwanga wa jua na hewa ya oksijeni!!
Hii ni tuhuma Nzito sana na ni hatari sana kwa Biashara ya mtu; nilitamani ifanyiwe utafiti walau kidogo kabla ya kuwekwa huku! Kimsingi naona kama hiyo ni process ya kawaida kwa kutenganisha mafuta japo najaribu kujiridhisha kama hapo kwenye kuyasafisha kuna mapungufu yoyote...Hawa ndo watengenezaji wa Singida oil na Sunola ambazo zinatengenezwa kwa chemical na sio alizeti kama tunavyoaminishwa
Nimeitoa huko twitter hii post naona inasambaa kwa kasi ya upepo
ALERT [emoji599] [emoji599] [emoji599]
mount meru millers wana brand ya singida oil na sunola ambayo yote wanasema yanatokana na pure sunflower ...
lakini ukweli ni kwamba Brand ya singida oil sio pure sunflower oil ,ni mafuta wanayotengeneza kutokana na mashudu/takataka ya alizeti ambayo inachakatwa pamoja na kemikali aina ya hexane .Baada ya kuchakatwa na hiyo kemikali ya hexane inapatikana mchanganyiko wa kimiminika ambacho ni crude oil pamoja na hexane
Ambapo baada ya hapo inafanyiwa chemical process ya kutenganisha crude oil na hexane ,ili kuweza kuruhusu crude oil kwenda kusafishwa na kua salama kwenye process kama water demagation , saponification and colour removing... [emoji24][emoji24]
Lakini kwa bahati mbaya kiwandani hapo wanakuwa hawafanikiwi kuondoa kemikali yote ya hexane ambayo ni hatari kwa afya ya mtumiaji na wanapaki mafuta hivo hivo ikiwa na mchanganyiko wa kemikali hiyo [emoji22][emoji22]
Ndo maana ukitumia mafuta ya singida oil lazima ladha yake iwe chungu hapo ndipo unapoionja hexane
Tanzania Police Force na TBS tanzania hii kitu ni hatari kwa afya ya binadamu hatua za haraka zichukuliwe ili kulionoa taifa letu [emoji22][emoji22]View attachment 2357914View attachment 2357915