We zingatia tu kwamba "Mwili wako, Afya yako ni Chakula unachokula" i.e. kuwa makini mno na vyakula unavyokula. Wataalam wanashauri tusiendekeze mno ulaji wa vyakula vilivyosindikwa viwandani(Processed foods) - Tujitahidi kula vyakula ambavyo ni Asili(Natural or Locally processed) kadri iwezekanavyo.Mtatuua jamani unakwepa samaki masafa, unakutana na mafuta, unakwepa mafuta unakutana na unga wa dona tukimbilie wapi sasa.
Waarabu wanalima alizeti siku hizi?Nunua ya Uarabuni
Muhimu ni kujifunza jinsi ya kuondoa sumu mwiliniWe zingatia tu kwamba "Mwili wako, Afya yako ni Chakula unachokula" i.e. kuwa makini mno na vyakula unavyokula. Wataalam wanashauri tusiendekeze mno ulaji wa vyakula vilivyosindikwa viwandani(Processed foods) - Tujitahidi kula vyakula ambavyo ni Asili(Natural or Locally processed) kadri iwezekanavyo.
Lakini ni ukweli usiopingika kwamba ni vigumu sana kukwepa vyakula vilivyopitia viwandani(Havikwepeki) mpaka hata maji ya kunywa, juisi, juicecola, pombe n.k.n.k...Dah!
Hilo ni la msingi sana. Na vipo vyakula vinavyosaidia kuondoa sumu mwilini-tujijengee tabia ya kuvila.Muhimu ni kujifunza jinsi ya kuondoa sumu mwilini
Hakuna mfanyabiashara anaejali afya bali pesa yako, mamlaka zimelala.Kama unaweza uziwa dawa iliyo expired, kwann washindwe kukuuzia vingineHilo ni la msingi sana. Na vipo vyakula vinavyosaidia kuondoa sumu mwilini-tujijengee tabia ya kuvila.
Dah! Serikali Kupitia idara na mamlaka zake ndiyo imepewa dhamana ya kuhakikisha Usalama wa Afya za WaTz. tena kwa kutumia kodi zetu. Sasa vyombo hivyo havitimizi tena Majukumu yake ipasavyo. Very SAD.Hakuna mfanyabiashara anaejali afya bali pesa yako, mamlaka zimelala.Kama unaweza uziwa dawa iliyo expired, kwann washindwe kukuuzia vingine
Wakienda viwanda ufuata bahasha, hakuna mtu anaewakagua mamalishe Ili waache kumaliza watz kwa kansa.Dah! Serikali Kupitia idara na mamlaka zake ndiyo imepewa dhamana ya kuhakikisha Usalama wa Afya za WaTz. tena kwa kutumia kodi zetu. Sasa vyombo hivyo havitimizi tena Majukumu yake ipasavyo. Very SAD.
Hii taarifa si ungepeleka TFDA, TBS, Kwa mkemia mkuu wa Serikali, wizara ya afya, na Mamlaka zingine husika? Sisi tutajuwaje unachosema ni kweli au hujatumwa na competitors au chuki binafsi?Hawa ndo watengenezaji wa Singida oil na Sunola ambazo zinatengenezwa kwa chemical na sio alizeti kama tunavyoaminishwa.
Nimeitoa huko twitter hii post naona inasambaa kwa kasi ya upepo.
ALERT [emoji599] [emoji599] [emoji599]
mount meru millers wana brand ya singida oil na sunola ambayo yote wanasema yanatokana na pure sunflower.
lakini ukweli ni kwamba Brand ya singida oil sio pure sunflower oil ,ni mafuta wanayotengeneza kutokana na mashudu/takataka ya alizeti ambayo inachakatwa pamoja na kemikali aina ya hexane .Baada ya kuchakatwa na hiyo kemikali ya hexane inapatikana mchanganyiko wa kimiminika ambacho ni crude oil pamoja na hexane.
Ambapo baada ya hapo inafanyiwa chemical process ya kutenganisha crude oil na hexane ,ili kuweza kuruhusu crude oil kwenda kusafishwa na kua salama kwenye process kama water demagation , saponification and colour removing... [emoji24][emoji24]
Lakini kwa bahati mbaya kiwandani hapo wanakuwa hawafanikiwi kuondoa kemikali yote ya hexane ambayo ni hatari kwa afya ya mtumiaji na wanapaki mafuta hivo hivo ikiwa na mchanganyiko wa kemikali hiyo [emoji22][emoji22]
Ndo maana ukitumia mafuta ya singida oil lazima ladha yake iwe chungu hapo ndipo unapoionja hexane
Tanzania Police Force na TBS tanzania hii kitu ni hatari kwa afya ya binadamu hatua za haraka zichukuliwe ili kulionoa taifa letu.
View attachment 2357915
Umedandia treni kwa mbele onyoanokho ebe! Unajua kwamba kuna njia mbili zinazotumika kwenye kuchakata mafuta?Hawa ndo watengenezaji wa Singida oil na Sunola ambazo zinatengenezwa kwa chemical na sio alizeti kama tunavyoaminishwa.
Nimeitoa huko twitter hii post naona inasambaa kwa kasi ya upepo.
ALERT [emoji599] [emoji599] [emoji599]
mount meru millers wana brand ya singida oil na sunola ambayo yote wanasema yanatokana na pure sunflower.
lakini ukweli ni kwamba Brand ya singida oil sio pure sunflower oil ,ni mafuta wanayotengeneza kutokana na mashudu/takataka ya alizeti ambayo inachakatwa pamoja na kemikali aina ya hexane .Baada ya kuchakatwa na hiyo kemikali ya hexane inapatikana mchanganyiko wa kimiminika ambacho ni crude oil pamoja na hexane.
Ambapo baada ya hapo inafanyiwa chemical process ya kutenganisha crude oil na hexane ,ili kuweza kuruhusu crude oil kwenda kusafishwa na kua salama kwenye process kama water demagation , saponification and colour removing... [emoji24][emoji24]
Lakini kwa bahati mbaya kiwandani hapo wanakuwa hawafanikiwi kuondoa kemikali yote ya hexane ambayo ni hatari kwa afya ya mtumiaji na wanapaki mafuta hivo hivo ikiwa na mchanganyiko wa kemikali hiyo [emoji22][emoji22]
Ndo maana ukitumia mafuta ya singida oil lazima ladha yake iwe chungu hapo ndipo unapoionja hexane
Tanzania Police Force na TBS tanzania hii kitu ni hatari kwa afya ya binadamu hatua za haraka zichukuliwe ili kulionoa taifa letu.
View attachment 2357915
Mafuta ya kanola au tumia mafuta ya avocadoMafuta gani mazuri sasa
Ova