Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Kwanza kabisa niombe Jamiiforums wasiunganishe uzi huu na Nyuzi nyingine zinazoelezea kuhusu sakata la Mtoto kulawitiwa Arusha na Kesi yake kufika kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Sote ni mashahidi wa kile kilichoonekana tarehe 10 Mei wakati wa Kliniki ya Haki iliyofanyika katika ofisi za Mkuu wa MKoa Arusha, ambapo dada mmoja ajulikanae kwa JIna la Witness aliopeleka malalamiko yake akidai kuwa mtoto wake kafanyiwa kitendo cha ulawiti lakini alipoenda Polisi Askari hawakumshughulika ipasavyo.
Je wajuzi wa sheria, tunaomba mtusaidie hapo, ni mtoto wa umri wa miaka mingapi, anastahili au hastahili kustakiwa kwa mujibu wa sheria?
Tafadhali sana tunaomba majibu yenu yaambatane na vifungu vya sheria, na kama kuna kesi za mfano,tunaomba mziweke humu au pia katika inbox yangu.
Asante sana.
Sote ni mashahidi wa kile kilichoonekana tarehe 10 Mei wakati wa Kliniki ya Haki iliyofanyika katika ofisi za Mkuu wa MKoa Arusha, ambapo dada mmoja ajulikanae kwa JIna la Witness aliopeleka malalamiko yake akidai kuwa mtoto wake kafanyiwa kitendo cha ulawiti lakini alipoenda Polisi Askari hawakumshughulika ipasavyo.
Je wajuzi wa sheria, tunaomba mtusaidie hapo, ni mtoto wa umri wa miaka mingapi, anastahili au hastahili kustakiwa kwa mujibu wa sheria?
Tafadhali sana tunaomba majibu yenu yaambatane na vifungu vya sheria, na kama kuna kesi za mfano,tunaomba mziweke humu au pia katika inbox yangu.
Asante sana.