Sakata la mtoto wa Amber Lulu, Harmorapa akamatwa na Polisi

Botion na Hamo wote same page
 
Haaaaa mtoto ana baba watatu, Haaaaa [emoji23], huyu amber ndo yule amberutu aliyejirekodi anafanya uchafu au sio huyu
Yule Amber Rutty, huyu ni Amber Lulu pacha na giggy money kwa masifa na kudanga plus ukichaa wao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeona clip flani hivi uyo jamaa wakuitwa bosheni sijui, anamzingua harmorapa wakati anafanya mahojiano na wasafi.
Daah ila harmorapa ni mzembe jaman yani jamaa anamletea zengwe kinoma ye kapoa tuu, na anaomba msamaha et, sasa kama mtoto ni wako msamaha wa nini apo, hata kama mtoto sio wake aisee alitakiwa kuvimba coz na yeye alishamwagia ndani pale.

Jamaa kamdhalilisha kichizi harmorapa, yule chalii ni kiki tu huwa zinambeba ila ni mpole kama kondoo.
 
Vipi BASATA hawajaingilia bado tuwaambie TFF wasogeze muda wa kumjua baba mtoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…