Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Mtag Yule jamaa anayetetea huyu demu azione hizi picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtag Yule jamaa anayetetea huyu demu azione hizi picha
Ni kwa nchi hii tuDaah siku zinakimbia eti leo hamorapa anaongea na waandishi wa habari.
Inashangaza kuwa alimruhusu amwagie ndani na leo anamkana kijana wa watu
Jamaa atakuwa kilaza naye kapiga dry hapo!!Mtoto mmoja anaitwa maemba
Ova
Dah. Ana wimbo gani man. Aisee mji upo kibati huu. Speed 240kmph.Bishoo mmoja hivi yupo kundi la B.O.B anaimba hip hop
Kitu "The bridal mask!"Au nasema uongo mrembo wangu
Haaaaa Haaaaa 😂 jamani nimecheka 😂 😂 😂Daah siku zinakimbia eti leo hamorapa anaongea na waandishi wa habari.
Haaaaa Haaaaa 😂 jamani UwiiiiHarmorapa na Harmonize wanefanana Sana, Hadi akili zao
Haaaaa Haaaaa 😂. Nimecheka mimiJamani Hamorapa ni binadamu ameumbwa na Mungu
Haaaaa mtoto ana baba watatu, Haaaaa 😂, huyu amber ndo yule amberutu aliyejirekodi anafanya uchafu au sio huyuIla hili sakata la huyu mtoto, anayetakiwa kutoa majibu ni Amber, maan mtoto mwenyewe inasemekana wa MAJANI.
Ndo madhara ya kuwa mdangaji, kila aliyekojoa anadai mbegu ni yake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umefurahi ehHaaaaa Haaaaa [emoji23] jamani nimecheka [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Msanii wa Bongo Fleva anayependa kiki Bongo, Hamorapa amekamatwa na polisi, leo Jumamosi, Mei 8, 2021, katika Ukumbi wa Hotel ya Kebbys, uliopo Mwenge, jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Kukamatwa kwa Harmorapa kunatokana na kauli yake aliyoitoa akidai kuwa mtoto wa Amber Lulu ni wa kwake kwani wanafanana.
Baada ya kauli hiyo mzazi mwenzake na Amber Lulu aanayejulikana kama Mr. Botion alimbana Harmorapa ambaye alikana na kusema kuwa mtoto huyo si wake.
lakini baada ya kuondoka alijirekodi tena kipande cha video akisema amenyanyaswa na kudharirishwa na Botion na wenzake hivyo akasisitiza kuwa mtoto yule ni wa kwake na atazungumza na wanahabari kuanika ukweli halisi, lakini wakati akiendelea kuzungumza na wanahabari ndipo Botion alitua na polisi wakamkamata na kumpeleka kituo cha polisi Mabatini.
Wakapimwe DNA.Harmorapa na Harmonize wanefanana Sana, Hadi akili zao
Kwani mtoto mwenyewe anasemajeKizazi cha vijana wapumbavu wapumbavu tu, sasa akatoe ushahidi huyo mtoto ni wake kwa maana gani