Sakata la mtoto wa Amber Lulu, Harmorapa akamatwa na Polisi

Sakata la mtoto wa Amber Lulu, Harmorapa akamatwa na Polisi

Approach ya tatizo hili, unaendaje kumteka mtu badala ya kumshitaki?
Huyo Haromrapa ni mpuuzi tu, Nafikiri alipigwa mkwara tu ila bado akaona ni fursa pia. Mwisho akabidi afate sheria sasa.
 
Huyo Haromrapa ni mpuuzi tu, Nafikiri alipigwa mkwara tu ila bado akaona ni fursa pia. Mwisho akabidi afate sheria sasa.
Wakuu tuliache hili, anayejua ukweli wote ni Amberlulu kama aliliwa na Hamorapa
 
Mavijana ya ki Tz ndio mambo yao hayo, alafu yakitoka hapo utasikia wakenya wasije wanakuja kuchukua ajira zetu mara mama Samia usitoe vibali vya kazi kwa wageni........., sasa hivi ukiwa na kampuni yako ndio unategemewa kuwaajiri vijana kaliba ya Harmorapa na Huyo nani sijui Botion sijui au huyo dada aliyejifugua na team zao
Hata ulaya kuna raia wenye akili mbovu kuliko hizo
 
Sasa hao vijana ndio watulize pumbyu zao ...

Kama kuna mtu anaona mtoto ni wake na ananyimwa haki yake, mahakama zipo na sio kuanza kuweka press conference...

Nawashangaa hata hao wana habari waoitikia mwito/mwaliko wa press conference kama hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Waandishi wa Online tv hiyo ni bonge la dili
 
Wakuu tuliache hili, anayejua ukweli wote ni Amberlulu kama aliliwa na Hamorapa
Mm si mganga wa kienyeji ila kwa hekima nilizonazo, na jinsi ninavyomfahamu huyu kijana hakika alikuwa anatafuta kiki tu.
 
Mm si mganga wa kienyeji ila kwa hekima nilizonazo, na jinsi ninavyomfahamu huyu kijana hakika alikuwa anatafuta kiki tu.
Je! Uliwahi kuona zile picha wanazokumbatiana?
Hivi hujui kuwa ukiwa na laki 2 tu unaweza kutembea na hawa madanga ya insta regrdless sura yako iko kama wapuliza moto?
Haya mambo tuwaachiwe wao wakuu
 
Je! Uliwahi kuona zile picha wanazokumbatiana?
Hivi hujui kuwa ukiwa na laki 2 tu unaweza kutembea na hawa madanga ya insta regrdless sura yako iko kama wapuliza moto?
Haya mambo tuwaachiwe wao wakuu
Wasanii wetu Wana tabia hiyo wakishirikiana katika wimbo, uvujisha picha ili isemekane wanadate mwisho wa siku wimbo unaachiwa ili kuboost mziki wao. Picha si kithibitisho tena picha Kama zile.
 
Mama ameamua ni Botion wangemalizana hivyo
Lakini harmorapper nae ni mtu wa kuweka press na mic nyingi kabisa wakati mm hata kipaza sauti cha kanisa letu sijakitia mkononi wallah 🤣🤣
 
Kweli hatuchagui wazazi, lakini imagine, mamaako ni Amber Lulu na babaako ndio awe Harmorapa. Lazima uwe maarufu town kabla ujafikisha miaka 10
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mama ameamua ni Botion wangemalizana hivyo
Lakini harmorapper nae ni mtu wa kuweka press na mic nyingi kabisa wakati mm hata kipaza sauti cha kanisa letu sijakitia mkononi wallah [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom