Sakata la mtoto wa Amber Lulu, Harmorapa akamatwa na Polisi

Sakata la mtoto wa Amber Lulu, Harmorapa akamatwa na Polisi

Kunasiku nilijisikia aibu sana kwa maratu, kunanyimbo ilikua inapigwa sijui nini nini.... Alafu kibwagizo kinasema eti kojoa ndani...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wanaume si hamtaki kukojoa nje, mnataka utamu wa kutapikia mugati. Hahah
 
Huyo Polisi mpumbavu sana hana kazi za kufanya.
Ila kiugupi mtoto ni wa hamorapa wanafanana hakuna haja ya kupima dna

Huyo jamaa aliyelea mimba atulizane wanawake ni watu wa ajabu sana atakuja kujingonga bure.
Wanaume walio karibu na huyo jamaa mpeni ushauri ndugu yenu atakuja kufurahi mwenyewe huko mbeleni
 
Yaan hadi nashangaa na mie, mbona kijana wa watu yuko vizuri tyuuh.
Sawa yupo vizur lakn kwa mashauz ya amber lulu kwel jamii kwel aitangazie huyu mtoto wa harmo rapa hahaha mm napinga hata kama kwel mtoto wake
 
Ila hili sakata la huyu mtoto, anayetakiwa kutoa majibu ni Amber, maan mtoto mwenyewe inasemekana wa MAJANI.
Ndo madhara ya kuwa mdangaji, kila aliyekojoa anadai mbegu ni yake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tupige kura[emoji38]
 
kibongobongo...usishangae hata huyo Botion mtoto si yo wake,naye anatafuta kiki kama Harmorapa
Haaa 😃😂😁😀😆😅😄😃
Kama Yale Ya Mama Diamond Na Mzee Nyange
 
Ila hili sakata la huyu mtoto, anayetakiwa kutoa majibu ni Amber, maan mtoto mwenyewe inasemekana wa MAJANI.
Ndo madhara ya kuwa mdangaji, kila aliyekojoa anadai mbegu ni yake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani nani anawadanganya kwamba mwanamke ndio ana uwezo wa kujua baba wa mtoto? Yaani mwanamke atembee na wanaume watatu ndani ya siku tatu mfululizo, atakuwaje na uwezo wa kumjua aliyempa ujauzito?
 
Ila hili sakata la huyu mtoto, anayetakiwa kutoa majibu ni Amber, maan mtoto mwenyewe inasemekana wa MAJANI.
Ndo madhara ya kuwa mdangaji, kila aliyekojoa anadai mbegu ni yake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamemkojolea wengi
 
Back
Top Bottom