Sakata la Mtoto wa Rose Nungu (MunaLove), Linaumiza Sana Moyo

Hivi kugombania maiti kuna maana gani? Kwani maiti ikizikwa popote kuna shida? Wekeni misiba hata mitatu mpate rambirambi zenu kama ndizo zinawaliza.
Hata mimi huwa nashangaa sana...
kama anazikwa tz hakuna noma
labda angekuwa anazikwa Kenya....
 
Mkeo ushampa adhabu hizo au?[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu ww ndio umekoment pale juu unasema wanaume wa Jf .......
una bahati kweli ww ningeikuta ile koment yako......
ningekuchapa juu juuu
 
Wanaume wa Dar wash.nz kweli wanachapiwa weee
wanaibuka siku za misiba!!!!?
Itabidi tuanzishe crash program ya kuwajenga....
acha nibaki huku ughaibuni.....
 
Kazi kwelikweli, mnamtesa marehemu
Acha imani potufu mkuu, marehemu anatesekaje kwa mfano?? Mtu akisha kufa anakuwa amekufa na hajui lolote, hasikii chochote, haoni chochote, hahisi chochote, unabakia mwili tu ambao unaoza taratibu. Hiyo ndiyo maana ya kufa, ukifa unakuwa haupo kabisa.

Maiti hata ikichomwa moto, ikitupwa baharini, ikiliwa na fisi, ikizikwa kwa heshima au ikizikwa kwa dharau; haisaidii kitu wala haibadilishi kitu. Ukifa umekufa, you are gone, finished!
 
Haya ndio madhara ya kuwa na mke MALAYA SANA.
 
Jamani wanaume zetu mmepanic sana msitutukane sana,wanawake wazuri wa kuoa bado wapo including me,alichokifanya muna hakikubaliki ila msitutukane wote jamani
pole lakini mimi hili suala linaendelea upande wangu mpaka sasa yaani nashukuru sikuua au kufanya ubaya mwingine.
 
pole lakini mimi hili suala linaendelea upande wangu mpaka sasa yaani nashukuru sikuua au kufanya ubaya mwingine.
pole ila mda ni tiba nzuri utakuwa sawa tu mke umemuaacha au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…