Sakata la Mtoto wa Rose Nungu (MunaLove), Linaumiza Sana Moyo

Sakata la Mtoto wa Rose Nungu (MunaLove), Linaumiza Sana Moyo

Hapa ndo nnapowapendeaga wazungu,..fanya usenge ka huu anaua mtoto,mama na yeye anajimaliza,.. God will understand. Yani hela za matibabu anachukua afu mtoto kafa anasema hakua mtoto wake,..*****,.. Afu huyo anaetaka kumuoa huyo malaya nae akili hana.,. Walokole bhana.,..Hahaha!!!
 
kama anayosema peter ni kweli . ...basi lawama kwa muna. kama mtoto wa castro kwa nini alikuwa anahudumiwa na peter?
kwa nini mtoto alikuwa anaitwa Patrick Peter?
kwa nini Peter wa watu akatwe bima ya mtoto wakati mtoto si wake?
kwa nini alipishwe ada?
na kwa nini hakumwambia castro mtoto anaumwa? castro anasema yeye taarifa za ugonjwa wa mtoto kazipata insta.
na kwa nini alikuwa hapokei simu za castro?

matibabu na malezi mtoto atoe peter, mtoto anapewa castro....huko Nairobi kumuuguza mtoto alikwenda na bwana mwingine anayeitwa Joel.



Huyu dada aliokoka kinafki huyo Joel ndio nan tena sababu hawa bongo movie wanafutaga watu wenye majina mjini
 
Hapa ndo nnapowapendeaga wazungu,..fanya usenge ka huu anaua mtoto,mama na yeye anajimaliza,.. God will understand. Yani hela za matibabu anachukua afu mtoto kafa anasema hakua mtoto wake,..*****,.. Afu huyo anaetaka kumuoa huyo malaya nae akili hana.,. Walokole bhana.,..Hahaha!!!
Kumbe wazungu ndo zao hizo sihawahi kujua
 
kama anayosema peter ni kweli . ...basi lawama kwa muna. kama mtoto wa castro kwa nini alikuwa anahudumiwa na peter?
kwa nini mtoto alikuwa anaitwa Patrick Peter?
kwa nini Peter wa watu akatwe bima ya mtoto wakati mtoto si wake?
kwa nini alipishwe ada?
na kwa nini hakumwambia castro mtoto anaumwa? castro anasema yeye taarifa za ugonjwa wa mtoto kazipata insta.
na kwa nini alikuwa hapokei simu za castro?.

matibabu na malezi mtoto atoe peter, mtoto anapewa castro....huko Nairobi kumuuguza mtoto alikwenda na bwana mwingine anayeitwa Joel.

Huu ni umalaya first class.
 
zoefu unaonyesha watoto wa namna hii huwa hawana furaha siku zote na hasa wakiwa hawajui asili yao sahihi. tunajidanganya kwa kuwapa baba wengine lakini nafsi zao huwa zinaelewa wapi walikotoka na zinawaletea maumivu ya ndani makubwa mno kupita kiasi.
matokeo yake huwa na roho ya kisasi na kujikataa na wengine kuishia kuwa malaya na wakati mwingine huwa wanaweza kujiua.
lakini pia wapo ambao hubadilika na kuwa na upendo mkubwa kwa jamii kwa kuwa ndio wanaoiamini.
hivyo wakinamama acheni hii mchezo.

serial killer
 
Sawa kwani me nna shida we jichanganye kwa wadada waswahili waswahili utaelewa siku moja.....wanawake tukiamua kukufanya ndondo ni dakika sifuri tu kazi imeisha
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yan akili zenu mnazjua wenyewe
 
Hivi lemutuzz ana mtoto?
Ana watoto tena ma-teenager. Kwa taarifa ni kuwa USA alikuwa na mke wa ndoa na watoto. Lakini inaelekea mke naye alianza kumfanyia vituko na visa (unajua wanawake wetu hawa) mpaka ikafikia hatua akawa karibu kuchanganyikiwa na ndipo aliporudi Bongo. Hii ni kwa mujibu wa simulizi na picha zake anazopost kwenye mtandao.
 
Ametombewa live huyo munaa ndani ya nyumba yake,huyo Peter anajua mtoto ana baba wawili

Ni fala tu,nampa big up aliyemshika mkono dkk za mwisho huku... Watu wamemkalisha chini..!!!wamemuambia akomae!

Ila kwa uanaume hanaa!!!
Sema hana mke. ww binafsi ukikubali kutombe.wa nyumbani unaposhi na mme wako hicho kitendo kinabatilisha vipi uanaume wa mume wako??
Acheni kutumia vichwa kwa ajili ya kushonea maweaving na kuegeshea mawigi.
 
Back
Top Bottom