Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka


Huyo baba Jose hana akili ?akae na mwanafunzi sikuzote hizo na anatafutwa Akae na mtoto wa watu bila hata kumwambia mwenyekiti wa kitongoji?sijui kijiji au mtaaa .Acha upuuzi mtioa maada
 
Huyu ana visa na mwl Jimmy ndo kaamua kumkomesha
 
Kama Huyo Mwalimu Jimmy angekua Ni Ndugu yangu, Ngoma tungecheza wote
Sijui hata..
Ila Dunia ni Uwanja wa Fujo.... Yote yanawezekana
 
Wewe mwenyewe umehemka kwa kuhukumu walimu kwa hisia zako hasi.
 
Huyo baba Jose hana akili ?akae na mwanafunzi sikuzote hizo na anatafutwa Akae na mtoto wa watu bila hata kumwambia mwenyekiti wa kitongoji?sijui kijiji au mtaaa .Acha upuuzi mtioa maada
Haya tuambie alikuwa wapi, maana yaelekea unajua.
 
Kumbe na wewe kubwa jinga? Mbona katika hayo maswali hujauliza kwa Baba Jose mwezi mzima alikua anafanya nini?
 
Huyo Either hana cha kueleza kwa umma, ni bora aombe msamaha ahamishwe shule akaendelee na Elimu yake, amuache jimmy wa watu khaaah
 
Wazazi wa type yako ndio mnadanganywa na watoto kipumbavu … mtu aende kutoa watoto bwenini akuadhibu alafu akubake … hakuna bweni linalobaki tupu hata dakika wanafunzi hawaishi bwenini hata uwatoe na askari
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakufaa kwa kucheka wallah.
 
Sasa atafutwee huyo alio mpokea, ambaye ni baba Jose yeye ndo atasema km aliambiwa na jimmy ampokee Esther au laah.

Mbna mnakimbia suala LA baba Jose kutafutwa?? Kwann? Acheni kutaka kuumiza watu wasio na hatia, khaaah
 
Na wee ungekua baba Jose ungempokea binti ukae nae mwezi mzima Bila wazazi au viongozi kujua?

KWA hili uyo anyejiita baba Jose ndo mshtakiwa namba moja
Baba Jose ndo atafutwee ahojiwe, yeye ndo anaujua kila kitu kuhusu hii movie. Wamuache jimmy wa watuu Lol.
 
Balaa shost...boarding mbinu zote za kivita zilko huko...mie nikikumbuka nabaki kucheka...usiku tulkua tunageuka viwete..mradi muibe nyanya mkatengeneze salad domitory[emoji1732]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu tumetoroka na kutoroka, likizo ndogo, shule unaaga unaenda home, home unasema unabaki shule, walimu wanajua uko home, na wazazi wanajua uko shule.

Kumbe mtu unaelekea unakokujua. Atatuambia nn huyu dogo??
 
duuh..
vile vishule vya masister kwa namna vilivyo vya kikuda eti mwalimu wa kiume aweze kufika na kuingia kwenye bweni la watoto wakike.! tena na kumnyundia mwanafunzi bwenini..!..anyway .ester ni veteran yani kwenye game kitambo huyo..maelezo yake yanautata
 
Yaan ungemuona ester mwenyew sijui kama haya yote ungeyasema apa.

Yaani anafanana kabisa nahayo waliyoyasema ya Kwa baba jose
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo dogo hiyo ni fantasy yake tu kwa tcha Jimmy, hana lolote.. ni kuburuza tu mahakamani mbivu mbichi zikajulikane! Mamaake nae anasemaje hizo tuhuma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…