Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Huyo demu asingekimbilia kusikojulikana kama kweli alibakwa kwani huyo mchoma mkaa ni nani yake?
 
Na wewe ukaamua kumtetea Jimmy kwa vigezo gani?
Kwanini iwe Jimmy tangu mwanzo?
Siku zote Mwalimu au Mkufunzi mkalakala yaani yule mnyooshaji huchukiwa sana na Wanafunzi
Kwa sababu ya urekebishaji wake.
Binti yenu anapenda kuolewa kuliko mambo yote.
Sasa anatufta huruma ya jamii Mwalimu aonekane mkosaji Kwa jamii na aharibikiwe.
Mimi nimewahi kudeal vibinti vihuni kama hvo.
Ushauri wangu ataftwe Baba Jose akabidhiwe mke wake Maisha.
Msitake kuharibia watu Maisha kisa matamanio ya Binti yenu mhuni.
 
Aah kumbe wewe ndiye mwalimu Jimmy?

Ubadilike
 
Yaani baada ya kubakwa akaona aondoe chuki na hasira kwa baba Jose?! Very interesting
Komenti nyingi za wanaume wenzangu zinaonyesha ushamba, ukosefu wa utu na kutokuthamini watoto na wanawake.

Hata malaya anayejiuza haihalalishi abakwe.
Ufike wakati tuheshimu watoto wetu wa kike na kuwathamini ili kuwa na walezi bora wa jamii kwa baadae.
 
Mkuu una watoto?
Kwanza inakuwaje mwalimu wa kiume aingie bweni la wasichana?
Ungesimuliwa yote yanayotendeka jkt si ungetoa laana kwa jeshi zima?
kuna law bending
Na law breaking
Ili kufanya mambo yaende.. Inabidi mkubali tu mtoto wenu ni muhuni. Alikutana vipi na baba jose? Si ajabu lilikuwablinatoroka muda mrefu tu sema walimu walilivumilia
 
Wewe mtoa thread nenda ukajifie tu tukuzike kuliko kumtetea Esther Noah mwanafunzi aliyekubuhu kwa umalaya.
 
Mr Q
Haijalishi mtoto huyu alikuwa akiliwa na baba Jose au la.
Haihalalishi kubakwa na mwingine.

My concern ni ubakaji wa mwalimu na RC na RPC kuwapa wazazi maelekexo ya kuongea mbele ya midia.

Why waelekezawe?
 
Mwalimu Jimmy tena Mkuu.
Na umeenda mbali eti RC&RPC Mbeya wawajibike
Asee kwa lipi?
Umalaya wa Mtoto wenu.
Jitafakari upya.
Kama umala hata mama yako ni mhusika.

Tujadili ubakaji wa Jimmy na RC kutoa maelekezo namna ya kuongea.

Umalaya wa Rster una ushahidi gani?
Una uhakika kuna baba Jose kweli?
Ikiwa walipewa maelekezo namna ya kuongea huenda hata baba Jose ni scrot tu ili kuihadaa jamii funguka
 
Unaandika Kama vile wewe unao huo ushahidi wote wa Esther kubakwa. Mimi na wewe tumeyasikia haya kwenye vyombo vya habari. Tusubiri mahakama ili tumsikilize Mwl Jimmy na classmates ndio tu judge. Binafsi Sina chuki na watoto wa kike, lkn Esther ana elements za uchangudoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…