Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 1,049
- 2,242
Kwa Nini hakuenda mwao akaenda Kwa mwanaumeAah kumbe wewe ndiye mwalimu Jimmy?
Ubadilike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Nini hakuenda mwao akaenda Kwa mwanaumeAah kumbe wewe ndiye mwalimu Jimmy?
Ubadilike
Kama una mtoto wa kike badilika best angu..sijui nikuelezeje...dah..nakuonea huruma...weka akilini hakuna kiumbe mjanja kama jinsia ya kike .huyo wamcharaze tu mboko ataeleza ukwelYasni atunge tangu mwanzo?
ExctlyKwa Nini hakuenda mwao akaenda Kwa mwanaume
Ungeijua Pandahill usingewaza haya...Narudia kusema tena...hata changudoa hapaswi kubakwa.
Hofu yangu imejikita kwenye serikali kutoa maelekezo kuwa wazazi waongee nini na waache nini wakati wanadai kuwa walishudia mambo flani hayoko sawa na taarifa iliyotolewa haikuwa ya kweli.
Ujue mzazi kuamua kwenda kinyume na taarifa ya mkuu wa mkoa ni jambo zito?
Fikirini kidogo wakuu
Yaelekea familia imeungana na mtoto wao na wamemlisha maneno na stori za uongo na ukweli. JIMI aende mahakamani kudai haki yake baada ya udhalilishwajiKama una mtoto wa kike badilika best angu..sijui nikuelezeje...dah..nakuonea huruma...weka akilini hakuna kiumbe mjanja kama jinsia ya kike .huyo wamcharaze tu mboko ataeleza ukwel
Nilichogundua wanamponda huyu Mtoto ni hawa wanywa safariYasni atunge tangu mwanzo?
SWali langu why RC atoe maelekezo kwa wazazi namna ya kuongea?Kama una mtoto wa kike badilika best angu..sijui nikuelezeje...dah..nakuonea huruma...weka akilini hakuna kiumbe mjanja kama jinsia ya kike .huyo wamcharaze tu mboko ataeleza ukwel
Huenda lilitengenezwa ku wave mjadala wa DPWSakata hili lilivuta hisia za wengi kiasi cha waziri mkuu kutoa tamko kuwa anawaagiza polisi wantafute kwa haraka ili apatikane.
Jambo hili lilizua gumzo kubwa na hisia kali katika jamii.
Katika kupotea kwake Ester, inasemekana aliacha ujumbe usemao " mjihadhari na mwl Jimmy"
Jamii ilijiuliza kwanini Jimmy?
Hapa ni mtu...mwl Jimmy na sio shule kama shule.Ungeijua Pandahill usingewaza haya...
Hata hizi ulizoongea ni hisia mkuu.Hahaa kwa kweli mleta mada umeileta kihisia zaidi. Tuhuma ulizompa mwalimu Jimmy ni kubwa na hazikutakiwa kuja na maneno matupu yasiyo na ushahidi. Kwa namna ya tabia ya vijana, Ester akiwa mmojawapo, ni kawaida sana kuwa waongo hasa katika mambo anayotafuta kuaminika. Hivyo haipaswi tuhuma zako ziwe zimetoka kwa Ester pekee yake. Confidence aliyoonyesha ester, kwenye mahijiano sio ya mwanafunzi wa kawaida. Kuna uzoefu mkubwa aliyonao kwenye eneo la janja janja ya kimahusiano.
Ulikuepo!?? Kaisaidie polisi basiMazingira yanaongea zaidi
Kweli. Kiuhalisia angeenda kushtaki au aende nyumbani kwa mama yake kama ni innocentBinti wa kidato Cha 5, mwenye akili timamu, anasoma masomo ya sayansi. Baada ya kubakwa na mwalimu Jimmy anaondoka kwenda kukaa kwa muuza mkaa Baba Jose badala ya kwenda kuripoti polisi au kurudi na kuripoti nyumbani.
Pelekeni mahakamani ili tijue mbivu na mbchi. Uongo na ukweli haupikiki chungu kimoja. Ma classmates wataitwa na tabia halisi ya Esther itawekwa hadharani
Kama hataki io shule aseme tuHuyu dogo nae anatafuta kiki au huruma ya jamii,
Why asingeenda kwa kwa wazazi wake? Why usiende mripot police soon, sasa saizi hata evidence hazipo, anatafuta tu wa kufa nae, ila hakuna kitu atasema kitaaminika tena,
KabisaEmbu tupunguze mayowe. Huyu mwanafunzi katumwa kuichafua hiyo shule..
Na waliofanya hivyo wana malengo ya kibiashara