Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

yani hapo watadeal na ester tu huyo mwalimu watamsahau,, ni kweli wanafunz hawaaminik lkn kwann mwl.jimmy? ifike pahali haki ya kusikilizwa iwepo ata kam mwl ni mkubwa kuliko mwanafunz but wote Wana haki sawa.
Wangemwita ile siku ametajwa waondoe huu ukakasi
 
yani hapo watadeal na ester tu huyo mwalimu watamsahau,, ni kweli wanafunz hawaaminik lkn kwann mwl.jimmy? ifike pahali haki ya kusikilizwa iwepo ata kam mwl ni mkubwa kuliko mwanafunz but wote Wana haki sawa.
Mpaka sasa wanaozungumza ni Esther na wazazi wake tu. Utasemaje hapati haki ya kusikilizwa?!
Muda utafika Mwl Jimmy atazungumza, classmates watazungumza, baba Jose (mume wa Esther) atazungumza, mama aliyekabiziwa Esther na baba Jose atazungumza
 
Kama umala hata mama yako ni mhusika.

Tujadili ubakaji wa Jimmy na RC kutoa maelekezo namna ya kuongea.

Umalaya wa Rster una ushahidi gani?
Una uhakika kuna baba Jose kweli?
Ikiwa walipewa maelekezo namna ya kuongea huenda hata baba Jose ni scrot tu ili kuihadaa jamii funguka
Umekosea sana kumtukania mama yake kuwa ni malaya, je akikuambia na wewe mama yako ni malaya na ni mhusika?
 
Mpaka sasa wanaozungumza ni Esther na wazazi wake tu. Utasemaje hapati haki ya kusikilizwa?!
Muda utafika Mwl Jimmy atazungumza, classmates watazungumza, baba Jose (mume wa Esther) atazungumza, mama aliyekabiziwa Esther na baba Jose atazungumza
Daah mkuu, umewahi kumuina baba Jose kwa picha?
Baba Jose ni mzuka, hakuna kitu kama hicho, ni script.. tu, wazazi wameongea wazi walioewa maelekezo waongee nini na waache nini, means ukeli ulifichwa kwa makusdi ndio maana wanataka haki itendeke
 
Soma komenti yake ya awali kabla huj
Umekosea sana kumtukania mama yake kuwa ni malaya, je akikuambia na wewe mama yako ni malaya na ni mhusika?
Kabla hujanilaumu, ukiona raha kutukana wenzio nawe jiandae kutukanwa.
 
Binti wa kidato Cha 5, mwenye akili timamu, anasoma masomo ya sayansi. Baada ya kubakwa na mwalimu Jimmy anaondoka kwenda kukaa kwa muuza mkaa Baba Jose badala ya kwenda kuripoti polisi au kurudi na kuripoti nyumbani.

Pelekeni mahakamani ili tijue mbivu na mbchi. Uongo na ukweli haupikiki chungu kimoja. Ma classmates wataitwa na tabia halisi ya Esther itawekwa hadharani
wasichana wengi wa chuo au high school wana tabia ya umalaya,laniki bado haiwapi haki walimu ya kuwabaka kinguvu,bila hiari yao,mambo ya kukutwa kwa muuza mkaa hiyo ni case nyingine,ila ya mwalimu jimmy yashughulikiwe kikamilifu.
 
FORM fpur alitoroka kufataa dyudyuuu...leoo mwalimu jimmy kaipitishaa kwa juu tuu demu akaona hatosheki kaifata kwa baba jose mwezi mzimaa yupo kwa mwanaumeee kama angekuwa katendewa ubayaa angeenda kwao ni UMALAYAAA TU
Baba Rikboy mzee wa kimasihara.
Nikuulize jambo, je ni sahihi kumbaka malaya bila ridhaa?
 
Sio sahihi ilaa umalaya wakee asimtwishw mzigo mwalimuuu...huyo jimmy itakuwa alikuwa anakulaa kihalali kabisaa walikuwa wapenzi ni mambo ya kawaida na yapo sanaaa
Rikboy
Uzi wako unawachangiaji wengi kuliko uzi wowote jf.
Uzi umetazamwa zaidi kuliko uzi wowote yaani watu 45k
Umevunja rekodi kabisa.

Hii maana yake watu wanapenda sana ngono tena zisizo salama na bila kujali umemla nani.

Mwanafunzi kumla mwalimu unaona ni sawa!!!!
Kwrli!!!!
rikiboy umenivunja moyo sana mkui
 
Mkuu umewahi kupatwa na jambo ukawachukia hadi wazazi wako?

Kama kuna ukweli kuwa alibakwa anaweza kujikuta anawachukia watu wote hadi wazazi waliompeleka shule.

Pili hatuoni kuwa Jimmy alitajwa tangu mwanzo alipoacha barua kabla hajatoroka?

Angemtaja Jimmy baada ya kupatikana hata mimi ningetilia shaka
Na Jose kafikaje
 
Anakua mlemavu au mfu then unachunguza unakuta mtoto kampakazia tu jimmy utalipaje hapa
Hadi hapa kesi imeharibika, tayari ametengenezwa mtu wa kati hewa yaani baba Jose ambaye hajulikani isipokuwa huyo anayetajwa muuza genge.
 
Back
Top Bottom