Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Boss boss.
Huyu ni mtoto wa kike tena mdogo, hili tukio kama kweli alibakwa, akaumia, huoni hasira na chuki inaweza kumpa hasira ya kufanya maamuzi yasiyo sahihi?

Hujawahi kukasirika ukafanya masmuzi mabovu?
Usiteteee hapa ujinga, mtu wa 4m 5 ana utoto gani? Hajui akibakwa nini anatakiwa kufanyaaa?? Ndo atorokee kwa baba josee?

Muacheni mwalimu wa watu, khaaaah.
Litoto limechezea ukuni wa mchoma mkaa mwezi mzima, leo mwalimu wa watu aende jelaa kisa nn??

Nakerekwaaa mnooo.
 
Alimtaja Jimmy ili aliko kwa baba jose atanue vizuri, hivi kubakwa ndo atorokee na aende kwa baba josee mwezi mzimaa?

Hajui sehemu za kupeleka case?? Acha kutetea ujinga wa huyo mwanafunzi.
Mmmh Coca tuliza kichwa vizuri.
Hakuna mahala iliandikwa popote kuwa alikaa kwa baba Jose mwezi mzima...labda uweke ushahidi hapa.
1. Baba Jose ametajwa na mama muuza genge alipokutwa Ester

2. Baba Jose haijulikani kuwa ni kweli alimla mtoto ama laah, mtoto hajakiri popote kuwa alikuwa kwa baba Jose
 
Nchi ya maelekezo kila mahali, kuna siku mtaleta maafa makubwa sana nchi hii.

Ndugu Watanzania, tukiwa katikati ya sakata la DPW, lilibuka sakata la mwanafunzi wa Panda hill school kupotea, kwa jina Ester.

Sakata hili lilivuta hisia za wengi kiasi cha waziri mkuu kutoa tamko kuwa anawaagiza polisi wantafute kwa haraka ili apatikane.

Jambo hili lilizua gumzo kubwa na hisia kali katika jamii.

Katika kupotea kwake Ester, inasemekana aliacha ujumbe usemao " mjihadhari na mwl Jimmy"

Jamii ilijiuliza kwanini Jimmy?

Baada ya agizo la Waziri mkuu, mtoto alipatikana kwa haraka sana, ikadaiwa alikuwa kwa muuza mkaa kwa jina baba Jose akishirikiana na mama muuza genge, mara fundi cherehani...mkanganyiko.

Wote tulishuhudia Ester akihojiwa ofisini kwa mkuu wa mkoa na alirudia kumtaja Jimmy kuwa ashughukiwe bila ya kufunguka zaidi.


Leo tena kwenye vyombo vya habari, nimeshtushwa mnoo kumsikiliza Ester akihojiwa na ameelezaza kuwa;

1. Mwl Jimmy aliingia bwenini akisaka wanafunzi waliochewa kutoka bwenini.
2. Alimkuta Ester ametoka kuoga na akiwa na kanga moja
3. Akampiga kuwa kwanini amechelewa kuwahi darasani
4. Akamsukumiza kitandani, akamziba mdomo na shuka na KUMWINGILIA KIMWILI

WAZAZI/WALEZI WA ESTER
1. Wamelalamika kuwa mtoto alipopatikana mazingira yalitia shaka
2. Pamoja na mashaka viongozi waliwazuia kuongea tofauti na MAELEKEZO waliopewa
3. Sasa wanaomba haki itendeke kwani ukweli ulifichwa.

MASWALI YANGU KWA MKUU WA MKOA NA RPC
1. Kwanini mlificha ukweli wa jambo hili?
2. Kwanini mkuu wa mkoa alikuwa soft sana alipoiongelea shule ya Panda hill na zaidi akiwamwagia sifa?

3. Hii shule ya Panda hill ni ya kigogo gani serikalini?

HITIMISHO
Mazingira ya kupotea na kupatikana kwa Ester yalizua maswali mengi sana ( HUENDA HATA JINA BABA JOSE NI MAELEKEZO TU).

1. Alitorokaje shuleni wakati kuna geti na ukuta mrefu?

2. Kwanini alimtaja Jimmy?

3. Polisi na mkuu wa mkoa walishindwa nini kumwita Jimmy ahojiwe mbele ya mtoto majibu sahihi yapatikane?
4. Ni lini mtuhumiwa kama huyo hakuchukuliwa hatua za haraka bali waliamua kumfuata kwa muda wao?

4. Kwanini mkuu wa mkoa hakujitokeza tena kuliambia taifa undani wa sakata hilo badala yake Pandahill schooll ndio walipewa nafasi ya kutoa taarifa?

SAKATA HILI LINA VIASHIRIA VYA RUSHWA.

ANGALIZO:
Ninasikitika sana endapo Ester angekuwa ni binti yangu.
1. Jimmy angekuwa mlemavu au mfu kabisa.
2. Hayo maelekezo mliyowapa wazazi...ingekuwa mimi mngenifunga au kunizika, pasingetosha.

Katika maisha yangu kamwe huwezi kumdhalilisha mtoti na mwanamke mbele yangu nikavumilia...sasa awe binti yangu dunia yote ingeiona gharabu yangu.

Kwa mazingira haya Mkuu wa Mkoa na RPC mbeya:
1. Mmewakosea sana watoto wa kike kwa kutokumpa Ester haki yake.

2. Mmewakosea wazazi wote.

3. Mmelikosea na kulikosesha taifa la Tanzania.

ACHIENI NGAZI HARAKAView attachment 2675028
Huyo mtoto wako mshauri aache umalaya. Ilikuwaje akakimbilia kwa muuza mkaa badala ya kukimbilia nyumbani kwao? Kawadanganye wajinga wenzako huko!
 
Mmmh Coca tuliza kichwa vizuri.
Hakuna mahala iliandikwa popote kuwa alikaa kwa baba Jose mwezi mzima...labda uweke ushahidi hapa.
1. Baba Jose ametajwa na mama muuza genge alipokutwa Ester

2. Baba Jose haijulikani kuwa ni kweli alimla mtoto ama laah, mtoto hajakiri popote kuwa alikuwa kwa baba Jose
Kwa nini hakukimbilia nyumbani kwao?
 
Huyo mtoto wako mshauri aache umalaya. Ilikuwaje akakimbilia kwa muuza mkaa badala ya kukimbilia nyumbani kwao? Kawadanganye wajinga wenzako huko!
Nawe pia nineugundua ujinga wako.

Kuna kioengele cha wazazi kuoewa maelekezo kama igizo namna ya kuongea na waandishi wa habari, unafikiri kwanini iwe hivyo?
Mbona hili hulisemi?
 
Glenn usihangaike na ishu ya esther ..naaijua vyema hiyo shule . Ni kama tu St Francis .mie atanisumbua akili mtoto wa kiume ila sio wa kike .mtoto wa kike akiongea maneno 20 hebu jilazimishe maneno 5 ni ya ukweli..esp kama unasoma boarding

Hivi wewe glenn humuoni hata usoni tu esther anaficha vitu? Kila muda anajiliza tu kijinga jinga! Angalia kiduku kile..mtoto anaypenda shule na smart hiwez mkuta na kiduku aise..
Na watu wamesema hii ni mara ya 2 esther anatoroka ..mara ya kwanza alikua kwao...
Kaa mbali kabisa na watoto wa kike mkuu...wakitunga jambo utaamini!huyo achapwe fimbo tu.. tr Jimmy tumpumzishe
Hilo li Esther limletee baba jose wake tumuhoji kwani, afu.ndo aanze kuongea upumbavu wake, PCB imemshinda ana kazi ya kutaka kuharibu maisha ya watu khaaah

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] limalayaa liloacha kufanya mtihani na kukimbiliaa ukuni, kwanza hata hao wanao muhoji hawana kazii, ni kulichapa viboko had aseme baba jose aliko. Pumbaavuuuu
 
Usiteteee hapa ujinga, mtu wa 4m 5 ana utoto gani? Hajui akibakwa nini anatakiwa kufanyaaa?? Ndo atorokee kwa baba josee?

Muacheni mwalimu wa watu, khaaaah.
Litoto limechezea ukuni wa mchoma mkaa mwezi mzima, leo mwalimu wa watu aende jelaa kisa nn??

Nakerekwaaa mnooo.
Ungekua mzazi sidhani ungeongea hivi...nikuache ufurahishe moyo wako
 
FORM fpur alitoroka kufataa dyudyuuu...leoo mwalimu jimmy kaipitishaa kwa juu tuu demu akaona hatosheki kaifata kwa baba jose mwezi mzimaa yupo kwa mwanaumeee kama angekuwa katendewa ubayaa angeenda kwao ni UMALAYAAA TU
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Li Esther limalaya lilokubuhuu linatafuta mwalimu wa watu aende jela kisa ukahabaa wakee, halina hata aibu wala wogaa khaaah
Coca...ukiliwa bila ridhaa utafurahia?
 
Li Esther limalaya lilokubuhuu linatafuta mwalimu wa watu aende jela kisa ukahabaa wakee, halina hata aibu wala wogaa khaaah
Limalaya tu hilo litoto, ....,Baadala ya kwenda hospital /police kupima shahawa kama ushahidi, linaenda kwa baba jose Kuongezea shahawa zingine tena juu....,Afu eti form 5PCB.....,Nashauri shule imfukuze shule na imshtaki kwa kuichafua shule/Mwl Jimmy.
 
Nchi ya maelekezo kila mahali, kuna siku mtaleta maafa makubwa sana nchi hii.

Ndugu Watanzania, tukiwa katikati ya sakata la DPW, lilibuka sakata la mwanafunzi wa Panda hill school kupotea, kwa jina Ester.

Sakata hili lilivuta hisia za wengi kiasi cha waziri mkuu kutoa tamko kuwa anawaagiza polisi wantafute kwa haraka ili apatikane.

Jambo hili lilizua gumzo kubwa na hisia kali katika jamii.

Katika kupotea kwake Ester, inasemekana aliacha ujumbe usemao " mjihadhari na mwl Jimmy"

Jamii ilijiuliza kwanini Jimmy?

Baada ya agizo la Waziri mkuu, mtoto alipatikana kwa haraka sana, ikadaiwa alikuwa kwa muuza mkaa kwa jina baba Jose akishirikiana na mama muuza genge, mara fundi cherehani...mkanganyiko.

Wote tulishuhudia Ester akihojiwa ofisini kwa mkuu wa mkoa na alirudia kumtaja Jimmy kuwa ashughukiwe bila ya kufunguka zaidi.


Leo tena kwenye vyombo vya habari, nimeshtushwa mnoo kumsikiliza Ester akihojiwa na ameelezaza kuwa;

1. Mwl Jimmy aliingia bwenini akisaka wanafunzi waliochewa kutoka bwenini.
2. Alimkuta Ester ametoka kuoga na akiwa na kanga moja
3. Akampiga kuwa kwanini amechelewa kuwahi darasani
4. Akamsukumiza kitandani, akamziba mdomo na shuka na KUMWINGILIA KIMWILI

WAZAZI/WALEZI WA ESTER
1. Wamelalamika kuwa mtoto alipopatikana mazingira yalitia shaka
2. Pamoja na mashaka viongozi waliwazuia kuongea tofauti na MAELEKEZO waliopewa
3. Sasa wanaomba haki itendeke kwani ukweli ulifichwa.

MASWALI YANGU KWA MKUU WA MKOA NA RPC
1. Kwanini mlificha ukweli wa jambo hili?
2. Kwanini mkuu wa mkoa alikuwa soft sana alipoiongelea shule ya Panda hill na zaidi akiwamwagia sifa?

3. Hii shule ya Panda hill ni ya kigogo gani serikalini?

HITIMISHO
Mazingira ya kupotea na kupatikana kwa Ester yalizua maswali mengi sana ( HUENDA HATA JINA BABA JOSE NI MAELEKEZO TU).

1. Alitorokaje shuleni wakati kuna geti na ukuta mrefu?

2. Kwanini alimtaja Jimmy?

3. Polisi na mkuu wa mkoa walishindwa nini kumwita Jimmy ahojiwe mbele ya mtoto majibu sahihi yapatikane?
4. Ni lini mtuhumiwa kama huyo hakuchukuliwa hatua za haraka bali waliamua kumfuata kwa muda wao?

4. Kwanini mkuu wa mkoa hakujitokeza tena kuliambia taifa undani wa sakata hilo badala yake Pandahill schooll ndio walipewa nafasi ya kutoa taarifa?

SAKATA HILI LINA VIASHIRIA VYA RUSHWA.

ANGALIZO:
Ninasikitika sana endapo Ester angekuwa ni binti yangu.
1. Jimmy angekuwa mlemavu au mfu kabisa.
2. Hayo maelekezo mliyowapa wazazi...ingekuwa mimi mngenifunga au kunizika, pasingetosha.

Katika maisha yangu kamwe huwezi kumdhalilisha mtoti na mwanamke mbele yangu nikavumilia...sasa awe binti yangu dunia yote ingeiona gharabu yangu.

Kwa mazingira haya Mkuu wa Mkoa na RPC mbeya:
1. Mmewakosea sana watoto wa kike kwa kutokumpa Ester haki yake.

2. Mmewakosea wazazi wote.

3. Mmelikosea na kulikosesha taifa la Tanzania.

ACHIENI NGAZI HARAKAView attachment 2675028
Je wewe mtoa uzi unaamini aliyosema huyo mwanafunzi yana ukweli?.kama je aliamua kuacha shule je?.kama kweli aliingiliwa kimwili na huyo mwl.jimmy kwanini hakuripoti kwenye uongozi wa shule?.kama kweli shule ina ukuta alipotajwa getini je mlinzi alihojiwa?.mwisho kwanini hakurudi nyumbani kwao kwenda kutoa taarifa?.
 
Hili litaleta maafa, si kila mzazi anaweza kuzibwa mdomo kwa pesa wala vitisho.

Mimi najijua kuwa kwenye utu huwa sina bei.

Nitakupoteza fasta bila woga
Afu baba jose mpaka Sasa hajulikan
Boss boss.
Huyu ni mtoto wa kike tena mdogo, hili tukio kama kweli alibakwa, akaumia, huoni hasira na chuki inaweza kumpa hasira ya kufanya maamuzi yasiyo sahihi?

Hujawahi kukasirika ukafanya masmuzi mabovu?
 
Assumptions zako ni kuwa kila alichosema Esther ni kweli na hakina chembe ya uongo.

Mambo huenda hatua kwa hatua na sio kila hatua wewe ujulishwe huku mtaani, acha sheria ifuate mkondo wake.

Kwa wale waliopata wasaa wa kukaa na kuwalea hawa watoto mashuleni wanajua vituko vyao.

Haya mambo hayahitaji hasira, yanahitaji utulivu wa hali ya juu sana na sio pressure kutoka kwa watu.

Wacha wahusika watimize wajibu wao kiuweledi.
 
Binti wa kidato Cha 5, mwenye akili timamu, anasoma masomo ya sayansi. Baada ya kubakwa na mwalimu Jimmy anaondoka kwenda kukaa kwa muuza mkaa Baba Jose badala ya kwenda kuripoti polisi au kurudi na kuripoti nyumbani.

Pelekeni mahakamani ili tijue mbivu na mbchi. Uongo na ukweli haupikiki chungu kimoja. Ma classmates wataitwa na tabia halisi ya Esther itawekwa hadharani
Mkuu yaani nashangaaa sana.
 
Back
Top Bottom