Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Mwalimu Jimmy ahojiwe, boarding wana pelekwa watoto wakajifunze kujitegemea na pia wazazi wanakua Hawana muda na watoto, jukumu la walimu shuleni ni kuwa wazazi wa pili na sio ku create psychological torture kwa watoto mpaka wanawaza mambo mengine nje ya masomo, Mwalimu jimmy katajwa hakuna kumuachia kisa mtoto amekutwa kwa baba Jose, inawezekana torture za mwalimu jimmy ndizo zilizomfanya mtoto kwenda kwa baba jose, achunguzwe asiwafanye watoto wengine wakakimbilia kwa baba jose wengine, kuna walimu wanafanya life unbearable kwa watoto wa wenzao, ndio Huyo Jimmy. Security ya hio shule ina walakini inaelekea walinzi ukiongea nao au ukiwalipa kidogo wanakufungulua Geti, shule I review security measures inawezekana watoto wanajiachia huko Mjini sababu ya walinzi
Mmhh shule za bweni unajua zinavyoendeshwa hasa za kike mwalimu wa kiume haruhusiwi kuingia bwenini kuna matron hata wanafunzi wakienda kula matroni ndiye hubaki kuangalia utaratibu waliobaki bado bwenini waliorudi na nani bado hajarudi so fikiria mwalimu kwa uwezo wake wa kufikiri kweli aingie bwenini ambake mwanafunzi bwenini hiyo ni uongo uliopitiliza
 
Kama umesoma shule ya bweni utajua ni namna gani binti alivyo muongo muongo
Mwalimu wa kiume bweni la wasichana hiyo labda pandahill tu.Sijawahi kuona O-level, A-level vyuo vya kati nina experince zaidi ya miaka 10 sijawahi kuona mwalimu wa kiume bweni la wasichana.Akienda lazima awe na kibali pamoja na kuongozana na mwalimu wa kike na matron pia matroni hupewa taarifa mapema kuwa kuna ujio ili awape taarifa wanafunzi wawe katika mavazi ya stara.
 
Mmhh shule za bweni unajua zinavyoendeshwa hasa za kike mwalimu wa kiume haruhusiwi kuingia bwenini kuna matron hata wanafunzi wakienda kula matroni ndiye hubaki kuangalia utaratibu waliobaki bado bwenini waliorudi na nani bado hajarudi so fikiria mwalimu kwa uwezo wake wa kufikiri kweli aingie bwenini ambake mwanafunzi bwenini hiyo ni uongo uliopitiliza
Huyo mwalimu jimmy ndio aeleze sasa, shule ya wasichana, bweni la watoto wa kike unaingia kufanya nini? Kama ni kesi anasingiziwa serves him right, kiherehere Siku nyingine kuingia atakoma, hii inaenda kwa walimu wote wanoko
 
Huyo mwalimu jimmy ndio aeleze sasa, shule ya wasichana, bweni la watoto wa kike unaingia kufanya nini? Kama ni kesi anasingiziwa serves him right, kiherehere Siku nyingine kuingia atakoma, hii inaenda kwa walimu wote wanoko
Kama umesoma shule ya bweni utajua ni namna gani binti alivyo muongo muongo
Mwalimu wa kiume bweni la wasichana hiyo labda pandahill tu.Sijawahi kuona O-level, A-level vyuo vya kati nina experince zaidi ya miaka 10 sijawahi kuona mwalimu wa kiume bweni la wasichana.Akienda lazima awe na kibali pamoja na kuongozana na mwalimu wa kike na matron pia matroni hupewa taarifa mapema kuwa kuna ujio ili awape taarifa wanafunzi wawe katika mavazi ya stara.
 
Kama umesoma shule ya bweni utajua ni namna gani binti alivyo muongo muongo
Mwalimu wa kiume bweni la wasichana hiyo labda pandahill tu.Sijawahi kuona O-level, A-level vyuo vya kati nina experince zaidi ya miaka 10 sijawahi kuona mwalimu wa kiume bweni la wasichana.Akienda lazima awe na kibali pamoja na kuongozana na mwalimu wa kike na matron pia matroni hupewa taarifa mapema kuwa kuna ujio ili awape taarifa wanafunzi wawe katika mavazi ya stara.
Mwalimu Jimmy ishu yake isifunikwe kisa mtoto anaonekana kwa watu wanaohukumu kuwa ni muongo, at 18 wengi wenu huko boarding mshafanya kila kitu, kunywa pombe, kusagana etc Leo mnuhukumu mtoto kisa kiduku, kusema uongo
 
Nchi ya maelekezo kila mahali, kuna siku mtaleta maafa makubwa sana nchi hii.

Ndugu Watanzania, tukiwa katikati ya sakata la DPW, lilibuka sakata la mwanafunzi wa Panda hill school kupotea, kwa jina Ester.

Sakata hili lilivuta hisia za wengi kiasi cha waziri mkuu kutoa tamko kuwa anawaagiza polisi wantafute kwa haraka ili apatikane.

Jambo hili lilizua gumzo kubwa na hisia kali katika jamii.

Katika kupotea kwake Ester, inasemekana aliacha ujumbe usemao " mjihadhari na mwl Jimmy"

Jamii ilijiuliza kwanini Jimmy?

Baada ya agizo la Waziri mkuu, mtoto alipatikana kwa haraka sana, ikadaiwa alikuwa kwa muuza mkaa kwa jina baba Jose akishirikiana na mama muuza genge, mara fundi cherehani...mkanganyiko.

Wote tulishuhudia Ester akihojiwa ofisini kwa mkuu wa mkoa na alirudia kumtaja Jimmy kuwa ashughukiwe bila ya kufunguka zaidi.


Leo tena kwenye vyombo vya habari, nimeshtushwa mnoo kumsikiliza Ester akihojiwa na ameelezaza kuwa;

1. Mwl Jimmy aliingia bwenini akisaka wanafunzi waliochewa kutoka bwenini.
2. Alimkuta Ester ametoka kuoga na akiwa na kanga moja
3. Akampiga kuwa kwanini amechelewa kuwahi darasani
4. Akamsukumiza kitandani, akamziba mdomo na shuka na KUMWINGILIA KIMWILI

WAZAZI/WALEZI WA ESTER
1. Wamelalamika kuwa mtoto alipopatikana mazingira yalitia shaka
2. Pamoja na mashaka viongozi waliwazuia kuongea tofauti na MAELEKEZO waliopewa
3. Sasa wanaomba haki itendeke kwani ukweli ulifichwa.

MASWALI YANGU KWA MKUU WA MKOA NA RPC
1. Kwanini mlificha ukweli wa jambo hili?
2. Kwanini mkuu wa mkoa alikuwa soft sana alipoiongelea shule ya Panda hill na zaidi akiwamwagia sifa?

3. Hii shule ya Panda hill ni ya kigogo gani serikalini?

HITIMISHO
Mazingira ya kupotea na kupatikana kwa Ester yalizua maswali mengi sana ( HUENDA HATA JINA BABA JOSE NI MAELEKEZO TU).

1. Alitorokaje shuleni wakati kuna geti na ukuta mrefu?

2. Kwanini alimtaja Jimmy?

3. Polisi na mkuu wa mkoa walishindwa nini kumwita Jimmy ahojiwe mbele ya mtoto majibu sahihi yapatikane?
4. Ni lini mtuhumiwa kama huyo hakuchukuliwa hatua za haraka bali waliamua kumfuata kwa muda wao?

4. Kwanini mkuu wa mkoa hakujitokeza tena kuliambia taifa undani wa sakata hilo badala yake Pandahill schooll ndio walipewa nafasi ya kutoa taarifa?

SAKATA HILI LINA VIASHIRIA VYA RUSHWA.

ANGALIZO:
Ninasikitika sana endapo Ester angekuwa ni binti yangu.
1. Jimmy angekuwa mlemavu au mfu kabisa.
2. Hayo maelekezo mliyowapa wazazi...ingekuwa mimi mngenifunga au kunizika, pasingetosha.

Katika maisha yangu kamwe huwezi kumdhalilisha mtoti na mwanamke mbele yangu nikavumilia...sasa awe binti yangu dunia yote ingeiona gharabu yangu.

Kwa mazingira haya Mkuu wa Mkoa na RPC mbeya:
1. Mmewakosea sana watoto wa kike kwa kutokumpa Ester haki yake.

2. Mmewakosea wazazi wote.

3. Mmelikosea na kulikosesha taifa la Tanzania.

ACHIENI NGAZI HARAKAView attachment 2675028
Mdomo wa binti na macho yake eeeh...anakula ganja au fegi kubwa siyo?🤔
 
Sijui kuhusu mengine ila hii habari ya kubakwa siisadiki. Hasa mazingira tajwa. Nivigumu kufukuza wanafunzi bwenini harafu utekeleze zoezi la ubakaji kwa mmoja wao. Huyo mwalimu atakuwa na roho ya ujasiri kiasi gana bhana!...
 
Mwalimu Jimmy ishu yake isifunikwe kisa mtoto anaonekana kwa watu wanaohukumu kuwa ni muongo, at 18 wengi wenu huko boarding mshafanya kila kitu, kunywa pombe, kusagana etc Leo mnuhukumu mtoto kisa kiduku, kusema uongo
Kiduku ni muonekano wake ila suala kubakwa bwenini hiyo fix ya kiwango cha rami hizo shule nimesoma tumekutana na walimu wanoko kuliko hata huyo Jimmy unaesema mnoko lakini haruhusiwi hata kidogo kwenda bweni la wasichana hata awe mkuu wa shule bila kibali.
 
Kwanza kwenye hiyo story ya muuza mkaa kajiumauma tu. Mara sijui mwenyekiti, mi hata sijamwelewa. Linaonekana wazi kabisa linadanganya. Pumbavu limoja hivi😠
 
Kiduku ni muonekano wake ila suala kubakwa bwenini hiyo fix ya kiwango cha rami hizo shule nimesoma tumekutana na walimu wanoko kuliko hata huyo Jimmy unaesema mnoko lakini haruhusiwi hata kidogo kwenda bweni la wasichana hata awe mkuu wa shule bila kibali.
Jimmy kama kweli ni mbakaji hashindwi kutafuta mwanya atimize azma yake, kama ulisoma shule boarding ambayo iko strict then ni wewe, hii shule aliyosoma Esther ambayo ina Uzio na geti na bado mtoto anatoroka wasijue means ina ukiritimba mwingi mojawapo ni mwalimu Jimmy!
 
Nataka kusikia kwamba alitokaje pale shule wakati pana ulinzi mkali na fence ya umeme na mcctv camera yote mpaka kwa baba Jose.

Niko pale,wakikujibu uje uniambie
Kumbe hata hata hujamsikiliza?
Ni kwamba, siku hiyo form six walikuwa wamemaliza mtihani walikuwa wanaondoka na yeye akaondoka nao. Akakutana na baba Jose akamwambia ametoka Morogoro anatafuta kazi...
 
Jimmy kama kweli ni mbakaji hashindwi kutafuta mwanya atimize azma yake, kama ulisoma shule boarding ambayo iko strict then ni wewe, hii shule aliyosoma Esther ambayo ina Uzio na geti na bado mtoto anatoroka wasijue means ina ukiritimba mwingi mojawapo ni mwalimu Jimmy!
Ndo maana nimekueleza nina experience na sijapita shule moja tangu enzi za Rungwe mchanganyiko,Loleza , Green Acres, Bukongo na baadhi ya vyuo unavyovifahamuu mwalimu wa kiume haingii bweni la kike na wa kike haingii bweni la kiume na wanafunzi wakiwa wana mmudu matroni na zamu ni ya mwalimu wa kiume basi ni mwendo wa bata tu hata prepo no kwenda coz unajua mwalimu hawezi wafuata bwenini.Suala la kuruka ukuta hata shule iwe strict vipi mtu kama ni tabia yake ameamua hata pawe na walinzi mia.Watu wamefyatulishwa sana tofali suala la kutoroka na kuruka ukuta lkn ikifika wknd tu bado atachomoka tu.
 
Ndo maana nimekueleza nina experience na sijapita shule moja tangu enzi za Rungwe mchanganyiko,Loleza , Green Acres, Bukongo na baadhi ya vyuo unavyovifahamuu mwalimu wa kiume haingii bweni la kike na wa kike haingii bweni la kiume na wanafunzi wakiwa wana mmudu matroni na zamu ni ya mwalimu wa kiume basi ni mwendo wa bata tu hata prepo no kwenda coz unajua mwalimu hawezi wafuata bwenini.Suala la kuruka ukuta hata shule iwe strict vipi mtu kama ni tabia yake ameamua hata pawe na walinzi mia.Watu wamefyatulishwa sana tofali suala la kutoroka na kuruka ukuta lkn ikifika wknd tu atachomoka tu.
Mnhhhhhhhh walimu kama hawaendi mabweni ya watoto wa kike, Huyo mwalimu Jimmy alienda kufanya nini? Nimesema na Narudia kusema wacha yamkute yaliyomkuta!!! Kisha shule yenye Uzio mtoto kutoroka unaona sawa ila la mwalimu jimmy kuingia bweni la watoto wa kike unaona haiwezekani, biased umeamua kuwa!
 
Nchi ya maelekezo kila mahali, kuna siku mtaleta maafa makubwa sana nchi hii.

Ndugu Watanzania, tukiwa katikati ya sakata la DPW, lilibuka sakata la mwanafunzi wa Panda hill school kupotea, kwa jina Ester.

Sakata hili lilivuta hisia za wengi kiasi cha waziri mkuu kutoa tamko kuwa anawaagiza polisi wantafute kwa haraka ili apatikane.

Jambo hili lilizua gumzo kubwa na hisia kali katika jamii.

Katika kupotea kwake Ester, inasemekana aliacha ujumbe usemao " mjihadhari na mwl Jimmy"

Jamii ilijiuliza kwanini Jimmy?

Baada ya agizo la Waziri mkuu, mtoto alipatikana kwa haraka sana, ikadaiwa alikuwa kwa muuza mkaa kwa jina baba Jose akishirikiana na mama muuza genge, mara fundi cherehani...mkanganyiko.

Wote tulishuhudia Ester akihojiwa ofisini kwa mkuu wa mkoa na alirudia kumtaja Jimmy kuwa ashughukiwe bila ya kufunguka zaidi.


Leo tena kwenye vyombo vya habari, nimeshtushwa mnoo kumsikiliza Ester akihojiwa na ameelezaza kuwa;

1. Mwl Jimmy aliingia bwenini akisaka wanafunzi waliochewa kutoka bwenini.
2. Alimkuta Ester ametoka kuoga na akiwa na kanga moja
3. Akampiga kuwa kwanini amechelewa kuwahi darasani
4. Akamsukumiza kitandani, akamziba mdomo na shuka na KUMWINGILIA KIMWILI

WAZAZI/WALEZI WA ESTER
1. Wamelalamika kuwa mtoto alipopatikana mazingira yalitia shaka
2. Pamoja na mashaka viongozi waliwazuia kuongea tofauti na MAELEKEZO waliopewa
3. Sasa wanaomba haki itendeke kwani ukweli ulifichwa.

MASWALI YANGU KWA MKUU WA MKOA NA RPC
1. Kwanini mlificha ukweli wa jambo hili?
2. Kwanini mkuu wa mkoa alikuwa soft sana alipoiongelea shule ya Panda hill na zaidi akiwamwagia sifa?

3. Hii shule ya Panda hill ni ya kigogo gani serikalini?

HITIMISHO
Mazingira ya kupotea na kupatikana kwa Ester yalizua maswali mengi sana ( HUENDA HATA JINA BABA JOSE NI MAELEKEZO TU).

1. Alitorokaje shuleni wakati kuna geti na ukuta mrefu?

2. Kwanini alimtaja Jimmy?

3. Polisi na mkuu wa mkoa walishindwa nini kumwita Jimmy ahojiwe mbele ya mtoto majibu sahihi yapatikane?
4. Ni lini mtuhumiwa kama huyo hakuchukuliwa hatua za haraka bali waliamua kumfuata kwa muda wao?

4. Kwanini mkuu wa mkoa hakujitokeza tena kuliambia taifa undani wa sakata hilo badala yake Pandahill schooll ndio walipewa nafasi ya kutoa taarifa?

SAKATA HILI LINA VIASHIRIA VYA RUSHWA.

ANGALIZO:
Ninasikitika sana endapo Ester angekuwa ni binti yangu.
1. Jimmy angekuwa mlemavu au mfu kabisa.
2. Hayo maelekezo mliyowapa wazazi...ingekuwa mimi mngenifunga au kunizika, pasingetosha.

Katika maisha yangu kamwe huwezi kumdhalilisha mtoti na mwanamke mbele yangu nikavumilia...sasa awe binti yangu dunia yote ingeiona gharabu yangu.

Kwa mazingira haya Mkuu wa Mkoa na RPC mbeya:
1. Mmewakosea sana watoto wa kike kwa kutokumpa Ester haki yake.

2. Mmewakosea wazazi wote.

3. Mmelikosea na kulikosesha taifa la Tanzania.

ACHIENI NGAZI HARAKAView attachment 2675028
Sidhani katika nguvu hiyo ulotumia andika bila fuatilia maisha ya huyo Binti, pia kitendo cha huyo Binti kupewa airtime bila mwalimu husika tafutwa au uongozi wa shule ipe mashaka taarifa hiyo daima huu si uandishi bali makelele
 
Mwalimu Jimmy ishu yake isifunikwe kisa mtoto anaonekana kwa watu wanaohukumu kuwa ni muongo, at 18 wengi wenu huko boarding mshafanya kila kitu, kunywa pombe, kusagana etc Leo mnuhukumu mtoto kisa kiduku, kusema uongo
Mbona kashajihujumu mwenyewe na mme wake baba Jose mchoma mkaa
 
Huyu dogo nae anatafuta kiki au huruma ya jamii,
Why asingeenda kwa kwa wazazi wake? Why usiende mripot police soon, sasa saizi hata evidence hazipo, anatafuta tu wa kufa nae, ila hakuna kitu atasema kitaaminika tena,
Sio wazazi tu anaishi kwa afisa elimu watu wazima Ile ni mamlaka toka akiwa mdogo iweje apate changamoto aende kwa baba Jose na sio kwa mama sikumbuki mdogo ama mkubwa. Redio ujinga at work
 
Back
Top Bottom