Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Nchi ya maelekezo kila mahali, kuna siku mtaleta maafa makubwa sana nchi hii.

Ndugu Watanzania, tukiwa katikati ya sakata la DPW, lilibuka sakata la mwanafunzi wa Panda hill school kupotea, kwa jina Ester.

Sakata hili lilivuta hisia za wengi kiasi cha waziri mkuu kutoa tamko kuwa anawaagiza polisi wantafute kwa haraka ili apatikane.

Jambo hili lilizua gumzo kubwa na hisia kali katika jamii.

Katika kupotea kwake Ester, inasemekana aliacha ujumbe usemao " mjihadhari na mwl Jimmy"

Jamii ilijiuliza kwanini Jimmy?

Baada ya agizo la Waziri mkuu, mtoto alipatikana kwa haraka sana, ikadaiwa alikuwa kwa muuza mkaa kwa jina baba Jose akishirikiana na mama muuza genge, mara fundi cherehani...mkanganyiko.

Wote tulishuhudia Ester akihojiwa ofisini kwa mkuu wa mkoa na alirudia kumtaja Jimmy kuwa ashughukiwe bila ya kufunguka zaidi.


Leo tena kwenye vyombo vya habari, nimeshtushwa mnoo kumsikiliza Ester akihojiwa na ameelezaza kuwa;

1. Mwl Jimmy aliingia bwenini akisaka wanafunzi waliochewa kutoka bwenini.
2. Alimkuta Ester ametoka kuoga na akiwa na kanga moja
3. Akampiga kuwa kwanini amechelewa kuwahi darasani
4. Akamsukumiza kitandani, akamziba mdomo na shuka na KUMWINGILIA KIMWILI

WAZAZI/WALEZI WA ESTER
1. Wamelalamika kuwa mtoto alipopatikana mazingira yalitia shaka
2. Pamoja na mashaka viongozi waliwazuia kuongea tofauti na MAELEKEZO waliopewa
3. Sasa wanaomba haki itendeke kwani ukweli ulifichwa.

MASWALI YANGU KWA MKUU WA MKOA NA RPC
1. Kwanini mlificha ukweli wa jambo hili?
2. Kwanini mkuu wa mkoa alikuwa soft sana alipoiongelea shule ya Panda hill na zaidi akiwamwagia sifa?

3. Hii shule ya Panda hill ni ya kigogo gani serikalini?

HITIMISHO
Mazingira ya kupotea na kupatikana kwa Ester yalizua maswali mengi sana ( HUENDA HATA JINA BABA JOSE NI MAELEKEZO TU).

1. Alitorokaje shuleni wakati kuna geti na ukuta mrefu?

2. Kwanini alimtaja Jimmy?

3. Polisi na mkuu wa mkoa walishindwa nini kumwita Jimmy ahojiwe mbele ya mtoto majibu sahihi yapatikane?
4. Ni lini mtuhumiwa kama huyo hakuchukuliwa hatua za haraka bali waliamua kumfuata kwa muda wao?

4. Kwanini mkuu wa mkoa hakujitokeza tena kuliambia taifa undani wa sakata hilo badala yake Pandahill schooll ndio walipewa nafasi ya kutoa taarifa?

SAKATA HILI LINA VIASHIRIA VYA RUSHWA.

ANGALIZO:
Ninasikitika sana endapo Ester angekuwa ni binti yangu.
1. Jimmy angekuwa mlemavu au mfu kabisa.
2. Hayo maelekezo mliyowapa wazazi...ingekuwa mimi mngenifunga au kunizika, pasingetosha.

Katika maisha yangu kamwe huwezi kumdhalilisha mtoti na mwanamke mbele yangu nikavumilia...sasa awe binti yangu dunia yote ingeiona gharabu yangu.

Kwa mazingira haya Mkuu wa Mkoa na RPC mbeya:
1. Mmewakosea sana watoto wa kike kwa kutokumpa Ester haki yake.

2. Mmewakosea wazazi wote.

3. Mmelikosea na kulikosesha taifa la Tanzania.

ACHIENI NGAZI HARAKAView attachment 2675028
Ninyi upande wa pili. Hamusihi hata aibu kwa watoto wenu?!

Binti wa kidato cha 5 kasema alimuingilia. Kwa maana si huyo mwalimu ndio aliyemtoa ubikira laa. Mchezo alishauanza.

Kama anaweza anasoma na kufika f5 akiwa na tabia ya kufanya zinaa bila shaka ataweza kuolewa na kuendelea masomo.
 
Nchi ya maelekezo kila mahali, kuna siku mtaleta maafa makubwa sana nchi hii.

Ndugu Watanzania, tukiwa katikati ya sakata la DPW, lilibuka sakata la mwanafunzi wa Panda hill school kupotea, kwa jina Ester.

Sakata hili lilivuta hisia za wengi kiasi cha waziri mkuu kutoa tamko kuwa anawaagiza polisi wantafute kwa haraka ili apatikane.

Jambo hili lilizua gumzo kubwa na hisia kali katika jamii.

Katika kupotea kwake Ester, inasemekana aliacha ujumbe usemao " mjihadhari na mwl Jimmy"

Jamii ilijiuliza kwanini Jimmy?

Baada ya agizo la Waziri mkuu, mtoto alipatikana kwa haraka sana, ikadaiwa alikuwa kwa muuza mkaa kwa jina baba Jose akishirikiana na mama muuza genge, mara fundi cherehani...mkanganyiko.

Wote tulishuhudia Ester akihojiwa ofisini kwa mkuu wa mkoa na alirudia kumtaja Jimmy kuwa ashughukiwe bila ya kufunguka zaidi.


Leo tena kwenye vyombo vya habari, nimeshtushwa mnoo kumsikiliza Ester akihojiwa na ameelezaza kuwa;

1. Mwl Jimmy aliingia bwenini akisaka wanafunzi waliochewa kutoka bwenini.
2. Alimkuta Ester ametoka kuoga na akiwa na kanga moja
3. Akampiga kuwa kwanini amechelewa kuwahi darasani
4. Akamsukumiza kitandani, akamziba mdomo na shuka na KUMWINGILIA KIMWILI

WAZAZI/WALEZI WA ESTER
1. Wamelalamika kuwa mtoto alipopatikana mazingira yalitia shaka
2. Pamoja na mashaka viongozi waliwazuia kuongea tofauti na MAELEKEZO waliopewa
3. Sasa wanaomba haki itendeke kwani ukweli ulifichwa.

MASWALI YANGU KWA MKUU WA MKOA NA RPC
1. Kwanini mlificha ukweli wa jambo hili?
2. Kwanini mkuu wa mkoa alikuwa soft sana alipoiongelea shule ya Panda hill na zaidi akiwamwagia sifa?

3. Hii shule ya Panda hill ni ya kigogo gani serikalini?

HITIMISHO
Mazingira ya kupotea na kupatikana kwa Ester yalizua maswali mengi sana ( HUENDA HATA JINA BABA JOSE NI MAELEKEZO TU).

1. Alitorokaje shuleni wakati kuna geti na ukuta mrefu?

2. Kwanini alimtaja Jimmy?

3. Polisi na mkuu wa mkoa walishindwa nini kumwita Jimmy ahojiwe mbele ya mtoto majibu sahihi yapatikane?
4. Ni lini mtuhumiwa kama huyo hakuchukuliwa hatua za haraka bali waliamua kumfuata kwa muda wao?

4. Kwanini mkuu wa mkoa hakujitokeza tena kuliambia taifa undani wa sakata hilo badala yake Pandahill schooll ndio walipewa nafasi ya kutoa taarifa?

SAKATA HILI LINA VIASHIRIA VYA RUSHWA.

ANGALIZO:
Ninasikitika sana endapo Ester angekuwa ni binti yangu.
1. Jimmy angekuwa mlemavu au mfu kabisa.
2. Hayo maelekezo mliyowapa wazazi...ingekuwa mimi mngenifunga au kunizika, pasingetosha.

Katika maisha yangu kamwe huwezi kumdhalilisha mtoti na mwanamke mbele yangu nikavumilia...sasa awe binti yangu dunia yote ingeiona gharabu yangu.

Kwa mazingira haya Mkuu wa Mkoa na RPC mbeya:
1. Mmewakosea sana watoto wa kike kwa kutokumpa Ester haki yake.

2. Mmewakosea wazazi wote.

3. Mmelikosea na kulikosesha taifa la Tanzania.

ACHIENI NGAZI HARAKAView attachment 2675028
ANGALIZO:
Ninasikitika sana endapo Ester angekuwa ni binti yangu.
1. Jimmy angekuwa mlemavu au mfu kabisa.
2. Hayo maelekezo mliyowapa wazazi...ingekuwa mimi mngenifunga au kunizika, pasingetosha.
19e66c68379eeed9681587a9dffdb8b8.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ANGALIZO:
Ninasikitika sana endapo Ester angekuwa ni binti yangu.
1. Jimmy angekuwa mlemavu au mfu kabisa.
2. Hayo maelekezo mliyowapa wazazi...ingekuwa mimi mngenifunga au kunizika, pasingetosha.View attachment 2675625

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu na wew Esta amekuingiza King????[emoji1][emoji1][emoji1] eehe shikamoo esta kumbe kweli kwenye kundi la wajinga wako wew ndo mwenye akilii...unaokotaa watu wazima na ndevu zao
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu tumetoroka na kutoroka, likizo ndogo, shule unaaga unaenda home, home unasema unabaki shule, walimu wanajua uko home, na wazazi wanajua uko shule.

Kumbe mtu unaelekea unakokujua. Atatuambia nn huyu dogo??
🤣🤣🤣🤣
 
Ndo maana nimekueleza nina experience na sijapita shule moja tangu enzi za Rungwe mchanganyiko,Loleza , Green Acres, Bukongo na baadhi ya vyuo unavyovifahamuu mwalimu wa kiume haingii bweni la kike na wa kike haingii bweni la kiume na wanafunzi wakiwa wana mmudu matroni na zamu ni ya mwalimu wa kiume basi ni mwendo wa bata tu hata prepo no kwenda coz unajua mwalimu hawezi wafuata bwenini.Suala la kuruka ukuta hata shule iwe strict vipi mtu kama ni tabia yake ameamua hata pawe na walinzi mia.Watu wamefyatulishwa sana tofali suala la kutoroka na kuruka ukuta lkn ikifika wknd tu bado atachomoka tu.
Umeandika vyema kabisaa
 
20230702_055018.jpg

Ukikaangalia kwa umakini utaona kama kalikuwa kazoefu fulani hivi, hakuna kubakwa hapa huyu ndo michezo yake. Yaani kabakwa shuleni kakimbilia kwa baba Jose. Nyumbani kwao alikuwa hapajui?
 
Nimewahi kupata kesi kama hiyo ,kwakweli nilishangaa sana na sikujua imekuwaje mpaka Leo sijawahi pata jibu Kwanini mwanafunzi huyo alinizushia hivyo,nilihisi kama Niko ndotoni,binti kakaza sana yaani balaa,kilichoniokoa ni historia yangu juu ya watoto wa kike pamoja na msimamo na mienendo yangu kwa jamii.

Duh sitamsahau huyo binti,walimu tunapitia mambo magumu sana.
Usisahau na la yule padri wa moshi alozushiwa na binti alokua akimsaidia...inaumiza sana.. .pole sana bro!
 
Komenti nyingi za wanaume wenzangu zinaonyesha ushamba, ukosefu wa utu na kutokuthamini watoto na wanawake.

Hata malaya anayejiuza haihalalishi abakwe.
Ufike wakati tuheshimu watoto wetu wa kike na kuwathamini ili kuwa na walezi bora wa jamii kwa baadae.
Usisahau wanatakiwa kujiheshimu kwanza.
Afu mkuu fata fact achana na hisia mkuu
 
Kama umala hata mama yako ni mhusika.

Tujadili ubakaji wa Jimmy na RC kutoa maelekezo namna ya kuongea.

Umalaya wa Rster una ushahidi gani?
Una uhakika kuna baba Jose kweli?
Ikiwa walipewa maelekezo namna ya kuongea huenda hata baba Jose ni scrot tu ili kuihadaa jamii funguka
Ukiona usha anza kutukan ujue huna hoja za kutetea point yako mkuu.
Uyo binti ni malaya.
 
Ukute ndugu yake au ana chuki na panda hill
Maana ana chafua mpaka jina la shule

Atuachie shule yetu kali
Najaribu kufikiria namna alivyotembea mpaka kufika Nanyala/senjele hadi maji moto kutoka pandahili ni parefu. Yawezekana kweli aliingiliwa bila ridhaa yake ila ukifuatilia pande zote zina story yenye ukakasi tangu siku ya kwanza alipopatikana.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Kama umala hata mama yako ni mhusika.

Tujadili ubakaji wa Jimmy na RC kutoa maelekezo namna ya kuongea.

Umalaya wa Rster una ushahidi gani?
Una uhakika kuna baba Jose kweli?
Ikiwa walipewa maelekezo namna ya kuongea huenda hata baba Jose ni scrot tu ili kuihadaa jamii funguka
Kwani kwa maelezo ya Esther baada ya kutoka shuleni aliyempeleka kwa dada muuza genge ni nani?
 
Kwaiyo mwl jimmy alimbaka Kisha akampa gate pass Kisha akampeleka kwa baba Jose muuza mkaa akaendelee kumbaka na hilo ndo jicho lako la kumi lilivyoona?
Kwahiyo hivyo ndivyo ulivyounganisha dots zako?🤣🤣
Kweli bado tuna safari ndefu dah🙌
 
Yeye anapohojiwa anasema alitokaje? Yaani ya kubakwa anaweza kuyasema, Ila alivyotoka nje ya Geti ni siri

Japo una ka hoja kana niingia kuwa Teacher alimlazimisha dogo aombe ruhusa ili akamle, akamhifadhi kwenye geto flani, akijua wazazi hawatashtuka watajua Yuko shule, wazazi waliposhtuka ikawa ngumu namna ya kumrudisha, atasema alikuwa wapi?

Baada ya mkwala wa serikali akajiita baba Jose, akacheza na muuza mkaa kwa hela ndefu, mtoto kachimbwa mkwala, hajui aseme lipi aache lipi, ukweli anaujua Mungu tu
Asante sana, kumbe kuna watanzania ambao wanaweza kufikiri na kutengeneza creteria. Ndiomana nasisitiza wakuanza nae ni huyo mwal. Jimmy kwasababu anajulikana na huyo Jose muuza mkaa (Ki intelijensia anaweza akawa mtu wa myth tu) au inaweza ikawa ni entity, inaweza akaongezewa ili kukamilisha shtaka. much know njoo uwaone wanaofikiria mambo kwa mipaka mikubwa zaidi
 
Asante sana, kumbe kuna watanzania ambao wanaweza kufikiri na kutengeneza creteria. Ndiomana nasisitiza wakuanza nae ni huyo mwal. Jimmy kwasababu anajulikana na huyo Jose muuza mkaa (Ki intelijensia anaweza akawa mtu wa myth tu) au inaweza ikawa ni entity, inaweza akaongezewa ili kukamilisha shtaka. much know njoo uwaone wanaofikiria mambo kwa mipaka mikubwa zaidi
Sasa uyo mwanafunzi kashaamua kumlipua ticha basi angeyaeleza hayo yote na ushahidi ungepatikana na huyo mchoma mkaa sio mjinga ayavae mabomu kwenye kesi ambayo anaweza kufungwa maisha
 
Sasa atafutwee huyo alio mpokea, ambaye ni baba Jose yeye ndo atasema km aliambiwa na jimmy ampokee Esther au laah.

Mbna mnakimbia suala LA baba Jose kutafutwa?? Kwann? Acheni kutaka kuumiza watu wasio na hatia, khaaah
Kamalaya tu hako
 
Back
Top Bottom