MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Mwanza wameifanya shamba la Bibi kitambo sana Toka Kwa kina Wilson kabwe mwanza haijapoa migogoro ya viwanja imekuthili itoshe tu kusema mwanza hatuyataki ma CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkurugenzi alisema: RC pita Hiviiii, umekataa chambichambi kwa kujiona mweeema tangu dunia iumbwe! Pita Hiviiii ....watu wakasaini wakakunja! Hahahah.....Na huenda alipoulizwa "vipi?" akajibu "vipisi".
CCM kwa sasa haina mbadala ni kama umeme wa tanesco unanuna huku unawashaMwanza wameifanya shamba la Bibi kitambo sana Toka Kwa kina Wilson kabwe mwanza haijapoa migogoro ya viwanja imekuthili itoshe tu kusema mwanza hatuyataki ma CCM
(Hivyo tukirudi kwenye sakata la Mwanza!Kuna tuhuma nzito zimetangazwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza
RC Adam Malima ameonekana akimtuhumu Mkurugenzi wa jiji kuhusika na utapeli wa kuuza viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni moja!
Hii ni taharuki na tuhuma nzito sana!
Ukitafakali kwa kina jambo hili linaibua maswali mengi sana yasiyo na majibu!
Vyeo hivi vya Mkurugenzi na RC vina mgongano mkubwa sana wa kimaslahi, nashauri viandaliwe utaratibu mwingine ikiwezekana cheo kimoja kifutwe ili kuondoa mgongano wa maslahi kwasababu!
Wakurugenzi ni wasimamizi wakuu wa watendaji katika eneo husika! Wakurugenzi ndiyo wenye wataalamu katika eneo husika, wakurugenzi ndiyo mikono ya serikali na vitendea kazi!,wakurugenzi siyo mwanasiasa ingawa wanatoka kwenye chama cha siasa!
Tofauti kubwa iliyopo kwa RC&DC ni hivi!
RC/DC ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama katika eneo, ni Icon ya serikali hasa kwenye masuala ya Kiitifaki (protocol)! Ni auxiliary leader katika eneo! Mikono yake mikubwa ni Polisi peke yake! Kwasababu wataalam mpaka migambo wote ni wa wakurugenzi!
Yaani RC/DC akitaka kula peke yake ni kwenye madili haramu ya kipolisi!
Nje ya hapo RC na DC hawezi kula bila mikono na baraka ya Mkurugenzi! Maana mambo yote ya dokomenti yako chini ya Mkurugenzi!
Hivyo tukirudi kwenye sakata la Mwanza!
HAKUNA MWEMA PALE lakini SHIDA Ni ule ulaji UMELIWAJE!
Mkurugenzi anaweza kutusua dili peke yake na likaisha bila msaada wa RC/DC
Na hili ndiyo maana wakurugenzi wanaonekana ni wabaya kila siku!
Mkurugenzi siyo mwanasiasa bali ni mtaalam! Hivyo kula yake haihitaji blaah blaah na makamera!
Kosa lililotokea Mwanza ni Mkurugenzi kula peke yake!
Na kama TAMISEMI ikikurupuka katika mgogoro huu tutarajie watapokea migogoro mingine mingi kutoka kwa RC na ma DC inchi NZIMA!
UKIONA ENEO HALINA MGOGORO UJUE MKURUGENZI NA RC/DC WANAKULA SAHANI MOJA!
Hakuna Eneo ambalo Halina upigaji! Wote wezi tu sema wanazungukana!
Laana ya CCM inaharibu nchi.Kuna tuhuma nzito zimetangazwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza
RC Adam Malima ameonekana akimtuhumu Mkurugenzi wa jiji kuhusika na utapeli wa kuuza viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni moja!
Hii ni taharuki na tuhuma nzito sana!
Ukitafakali kwa kina jambo hili linaibua maswali mengi sana yasiyo na majibu!
Vyeo hivi vya Mkurugenzi na RC vina mgongano mkubwa sana wa kimaslahi, nashauri viandaliwe utaratibu mwingine ikiwezekana cheo kimoja kifutwe ili kuondoa mgongano wa maslahi kwasababu!
Wakurugenzi ni wasimamizi wakuu wa watendaji katika eneo husika! Wakurugenzi ndiyo wenye wataalamu katika eneo husika, wakurugenzi ndiyo mikono ya serikali na vitendea kazi!,wakurugenzi siyo mwanasiasa ingawa wanatoka kwenye chama cha siasa!
Tofauti kubwa iliyopo kwa RC&DC ni hivi!
RC/DC ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama katika eneo, ni Icon ya serikali hasa kwenye masuala ya Kiitifaki (protocol)! Ni auxiliary leader katika eneo! Mikono yake mikubwa ni Polisi peke yake! Kwasababu wataalam mpaka migambo wote ni wa wakurugenzi!
Yaani RC/DC akitaka kula peke yake ni kwenye madili haramu ya kipolisi!
Nje ya hapo RC na DC hawezi kula bila mikono na baraka ya Mkurugenzi! Maana mambo yote ya dokomenti yako chini ya Mkurugenzi!
Hivyo tukirudi kwenye sakata la Mwanza!
HAKUNA MWEMA PALE lakini SHIDA Ni ule ulaji UMELIWAJE!
Mkurugenzi anaweza kutusua dili peke yake na likaisha bila msaada wa RC/DC
Na hili ndiyo maana wakurugenzi wanaonekana ni wabaya kila siku!
Mkurugenzi siyo mwanasiasa bali ni mtaalam! Hivyo kula yake haihitaji blaah blaah na makamera!
Kosa lililotokea Mwanza ni Mkurugenzi kula peke yake!
Na kama TAMISEMI ikikurupuka katika mgogoro huu tutarajie watapokea migogoro mingine mingi kutoka kwa RC na ma DC inchi NZIMA!
UKIONA ENEO HALINA MGOGORO UJUE MKURUGENZI NA RC/DC WANAKULA SAHANI MOJA!
Hakuna Eneo ambalo Halina upigaji! Wote wezi tu sema wanazungukana!
Bila kumsahau mwenyekiti wa halmashauri huyu naye ana nguvu hata ya kumkataa mkurugenzi na akafukuzwa kazi.Unajua RC ni boss wa DED? Unajua kikatiba RC ni Rais wa Mkoa?
Kwenye hiyo chemistry mbunge na mwenyekiti wa council hapo wamewazungukaje make hao ndo wakuda namba one kuunguza kitumbua!Hajafinyiwa, mkurugenzi kamtosa nina jamaa yangu afisa ardhi mkoa fulani..... chemistry yao inaunganisha Yeye-Mkurugenzi-RC ,wamepiga sana hela za wanaoanzisha sheli.
Ni kweli! Vijana hawajui kitu, ukitaka kuwaelimisha wanaanza mimatusi tuBila kumsahau mwenyekiti wa halmashauri huyu naye ana nguvu hata ya kumkataa mkurugenzi na akafukuzwa kazi.
Tanzania, watanzania na ulaji! Nchi haitaendelea kamwe, kama hadhi ya nyadhifa haipimwi kwa utendaji bali kwa ulaji!!Kuna tuhuma nzito zimetangazwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza
RC Adam Malima ameonekana akimtuhumu Mkurugenzi wa jiji kuhusika na utapeli wa kuuza viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni moja!
Hii ni taharuki na tuhuma nzito sana!
Ukitafakali kwa kina jambo hili linaibua maswali mengi sana yasiyo na majibu!
Vyeo hivi vya Mkurugenzi na RC vina mgongano mkubwa sana wa kimaslahi, nashauri viandaliwe utaratibu mwingine ikiwezekana cheo kimoja kifutwe ili kuondoa mgongano wa maslahi kwasababu!
Wakurugenzi ni wasimamizi wakuu wa watendaji katika eneo husika! Wakurugenzi ndiyo wenye wataalamu katika eneo husika, wakurugenzi ndiyo mikono ya serikali na vitendea kazi!,wakurugenzi siyo mwanasiasa ingawa wanatoka kwenye chama cha siasa!
Tofauti kubwa iliyopo kwa RC&DC ni hivi!
RC/DC ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama katika eneo, ni Icon ya serikali hasa kwenye masuala ya Kiitifaki (protocol)! Ni auxiliary leader katika eneo! Mikono yake mikubwa ni Polisi peke yake! Kwasababu wataalam mpaka migambo wote ni wa wakurugenzi!
Yaani RC/DC akitaka kula peke yake ni kwenye madili haramu ya kipolisi!
Nje ya hapo RC na DC hawezi kula bila mikono na baraka ya Mkurugenzi! Maana mambo yote ya dokomenti yako chini ya Mkurugenzi!
Hivyo tukirudi kwenye sakata la Mwanza!
HAKUNA MWEMA PALE lakini SHIDA Ni ule ulaji UMELIWAJE!
Mkurugenzi anaweza kutusua dili peke yake na likaisha bila msaada wa RC/DC
Na hili ndiyo maana wakurugenzi wanaonekana ni wabaya kila siku!
Mkurugenzi siyo mwanasiasa bali ni mtaalam! Hivyo kula yake haihitaji blaah blaah na makamera!
Kosa lililotokea Mwanza ni Mkurugenzi kula peke yake!
Na kama TAMISEMI ikikurupuka katika mgogoro huu tutarajie watapokea migogoro mingine mingi kutoka kwa RC na ma DC inchi NZIMA!
UKIONA ENEO HALINA MGOGORO UJUE MKURUGENZI NA RC/DC WANAKULA SAHANI MOJA!
Hakuna Eneo ambalo Halina upigaji! Wote wezi tu sema wanazungukana!
Kama unajua haya tuambie, lakini huyo RC malima ni janja janja na amekutana na watoto wa mjini.Ni kweli hana ajualo, maana baada ya kuchimba suala la biashara ya viwanja hivyo ilivyokwenda, kakimbilia neno Dili tu.
Tafadhali mtoa uzi rudi jikoni upate taarifa kamili. Kama suala ni la kueleza kazi za RC na Mkurugenzi, ni vyema ufungue Uzi mwingine wenye kichwa cha habariKazi na majukumu ya RC na Mkurugenzi.
Huyu samia katika vitu alivyoharibu mkoani Mwanza ni kutuletea hili zee lichimba chumvi, mswahili sana, maneno mengi, figisu kama zote vitendo sifuri.Sijui viongozi wa nchi hii hupatikanaje... Malima ni mtu wa hovyo sana... tangu akiwa NW Madini ni mlafi, mchawi, mwasherati asiyeelezeka na mchimvi sana.
Kwa nini uuze ardhi ya serikali? Unauza upate nini ambacho kwenye bajeti umeomba ukanyimwa? Tena unauza eneo la mjini wakati wewe mwenyewe unahangaika pa kuwaweka wamachinga, huna? Hii Ina maswali mengi sana, Malima usiishie hapo, hao watu wapelekwe mahakamaniKuna tuhuma nzito zimetangazwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza
RC Adam Malima ameonekana akimtuhumu Mkurugenzi wa jiji kuhusika na utapeli wa kuuza viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni moja!
Hii ni taharuki na tuhuma nzito sana!
Ukitafakali kwa kina jambo hili linaibua maswali mengi sana yasiyo na majibu!
Vyeo hivi vya Mkurugenzi na RC vina mgongano mkubwa sana wa kimaslahi, nashauri viandaliwe utaratibu mwingine ikiwezekana cheo kimoja kifutwe ili kuondoa mgongano wa maslahi kwasababu!
Wakurugenzi ni wasimamizi wakuu wa watendaji katika eneo husika! Wakurugenzi ndiyo wenye wataalamu katika eneo husika, wakurugenzi ndiyo mikono ya serikali na vitendea kazi!,wakurugenzi siyo mwanasiasa ingawa wanatoka kwenye chama cha siasa!
Tofauti kubwa iliyopo kwa RC&DC ni hivi!
RC/DC ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama katika eneo, ni Icon ya serikali hasa kwenye masuala ya Kiitifaki (protocol)! Ni auxiliary leader katika eneo! Mikono yake mikubwa ni Polisi peke yake! Kwasababu wataalam mpaka migambo wote ni wa wakurugenzi!
Yaani RC/DC akitaka kula peke yake ni kwenye madili haramu ya kipolisi!
Nje ya hapo RC na DC hawezi kula bila mikono na baraka ya Mkurugenzi! Maana mambo yote ya dokomenti yako chini ya Mkurugenzi!
Hivyo tukirudi kwenye sakata la Mwanza!
HAKUNA MWEMA PALE lakini SHIDA Ni ule ulaji UMELIWAJE!
Mkurugenzi anaweza kutusua dili peke yake na likaisha bila msaada wa RC/DC
Na hili ndiyo maana wakurugenzi wanaonekana ni wabaya kila siku!
Mkurugenzi siyo mwanasiasa bali ni mtaalam! Hivyo kula yake haihitaji blaah blaah na makamera!
Kosa lililotokea Mwanza ni Mkurugenzi kula peke yake!
Na kama TAMISEMI ikikurupuka katika mgogoro huu tutarajie watapokea migogoro mingine mingi kutoka kwa RC na ma DC inchi NZIMA!
UKIONA ENEO HALINA MGOGORO UJUE MKURUGENZI NA RC/DC WANAKULA SAHANI MOJA!
Hakuna Eneo ambalo Halina upigaji! Wote wezi tu sema wanazungukana!
Acha upumbafu mjini kuna eneo gani la wazi mnaongea mkiwa tandahimba, imeuzwa vijumba viwili vya tope ili tupunguze vijumba vya zama za kale we ulitakaje, mnapenda porojo kuliko uhalisia.Kwa nini uuze ardhi ya serikali? Unauza upate nini ambacho kwenye bajeti umeomba ukanyimwa? Tena unauza eneo la mjini wakati wewe mwenyewe unahangaika pa kuwaweka wamachinga, huna? Hii Ina maswali mengi sana, Malima usiishie hapo, hao watu wapelekwe mahakamani
Ngoja awanyooshe, mmejikusanya kuja humu kumshambulia? Idara ya ardhi Jiji isambaratishwe, na wahusika wote wapelekwe mahakamani.Huyu samia katika vitu alivyoharibu mkoani Mwanza ni kutuletea hili zee lichimba chumvi, mswahili sana, maneno mengi, figisu kama zote vitendo sifuri.
Hivyo vijumba vya tope ndio vinauzwa bilioni? Hicho ni kiwanja, tena Cha mjini kati.Acha upumbafu mjini kuna eneo gani la wazi mnaongea mkiwa tandahimba, imeuzwa vijumba viwili vya tope ili tupunguze vijumba vya zama za kale we ulitakaje, mnapenda porojo kuliko uhalisia.
Sasa ambacho hujaelewa nini!..Unajichanganya kusema mkurugenzi sio mwanasiasa na muda huo huo unasema anatokana na chama Cha siasa. Hapo una maana gani Au ni sawa na kusema Mimi sili nguruwe ila nakunywa mchuzi wake tu. Kuwa makini unapooeta mada/hoja.
Huyo RC ni jambazi amezidiwa kete na watoto wa mjini unazan angepata mgao mkubwa hilo lizee unazani lingebwabwaja.Mleta Mada ni uzao wa wezi!
Wewe dmkali pia ni mwizi!
Hapa umeshabikia wizi!
Nyinyi ndio chawa wa Samia!
Mnaosema nchi imetulia sasa na mnaiba kwa amani!
Nawafananisha na Mbwa!