Tofautisha serikali na mtu binafsi, serikali ikiamua kuvaana na wewe, inakuvaa kama taasisi, na haitakuachia kirahisi, Sabaya unamuona, alitegemea ulinzi wa mtu binafsi, sio taasisi, na ili ulindwe na taasisi fata matakwa na maslahi ya nchi, sio vitumbo vyenu hivyo vimejaa vibambara na viporo vya ugali wa mtama.
Anayelalamika hapo ni serikali, Malima ni kisemeo tu Cha serikali, anaongea kwa niaba ya hao wananchi wanaokaa Jiji la mwanza, I mean, ni wananchi ndio wamesema mmeuza kiwanja Chao wakati waliwapa mkitunze, na wao wamekitunza kwa miaka dahari, wamepita wakurugenzi na maafisa ardhi wangapi hapo? Walikuwa wajinga kukiacha nyie ndio mna akili? Hata kufanya Public Private partnership mlishindwa? Shnz typ
Hivyo viwanja Wana mwanza unaowaona hapo mjini ndio wamiliki, sio nyie mliokaa hapo kwenye hizo ofisi