Sakata la RC Malima na Mkurugenzi Mwanza halina tofauti na wale wauguzi kubishania vifaa tiba feki

Inaonekana Kuna jamaa la lake zone, lilikupelekea Moto halafu likakataa kukulipa. Unavuja tu
 
Huyu mpuuzi analelewa kila siku kwani yeye nani nchi hii.

Inachosha kuandelea kumsikia huyu mjinga.

To hell witj kikwete na huruma za alichomfanyia baba yake.

Baba yake ndio aliiba pesa za serikali na kufunga akaunti zake haikuwa dhambi.
Wanamuita jembe
 
Toka lini Bakari Malima akawa RC!
Usijali mwandishi kutohoa jina, jali mantiki na uzito wa hoja!

Hivi jina la msikitini la Malima anaitwa nani, maana babake naye alikuwa akitumia jina lake la uji la Kighoma!
 
Unajua RC ni boss wa DED? Unajua kikatiba RC ni Rais wa Mkoa?
Hilo linajulikana!

Kinachoongelewa hapa ni mambo yao ya madili na namna vyeo vyao hivyo vinavyosigana!

Nani ni nani kwa mwenzake, maana wote ni wateule wa Rais.

Kama Rc ni Rais wa Mkoa kashindwaje kumwadabisha moja kwa moja DED mpaka abembeleze ngazi za uteuzi, ushasikia Rais anaziomba ngazi za uteuzi?
 
Wewe hujui kaa kimya! Unaposikia Rais amemtumbua mtu, lazima sheria na michakato ya kumfukuza ifanyike ndipo aondoke Ofisini. Rais hawezi kumfukuza kazi mfano mwalimu wa shule ya msingi na hapo hapo akaondoka, lazima mamlaka yake ya nidhamu ihusike. Unless yeye Rais ni mamlaka ya nidhamu ya huyo mtu hata kama ni presidential appointee
 
Mda huo RAS anakuwa Yuko wapi? Kwanza RAS angepewa meno ya kumsimamisha kazi Mkurugenzi yeyote.
 
Kwa kweli sijui, ngoja ninyamaze mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…