CHADEMA walikuwa wa kwanza kupiga kelele kuhusu ufisadi wa Lowasa,, List of shame Mwembeyanga" au walikosea kumtaja Lowasa?? kama ndivyo basi na mafisadi wengine waliokuwa kwenye ile list ni feki. Vilevile ukumbuke Chadema ilipata umaarufu sana kwa kuwataja hadharani mafisadi, kama unakumbumbuku nzuri nchi ilipata mtikisiko baada ya ule mkutano wa chadema pale Mwembeyanga.Sababu yeye ndo alisign mkataba au?
usipaniki Mkuu, Lowasa ni mchafu. Kwa nini alijiuzulu uwaziri mkuu??****
ULIWAHI KUONA WAPI DUNIANI MWIZI ANAOMBA ALIOWAIBIA WAMFIKISHE MAHAKAMANI,KAMA SIO KUNAJITOA FAHAMU KAMA MALAYA
Mbona uchaguzi alishinda ni usafi gani unaongelea weweLowasa hasafishiki hata kwa dodoki la chuma!
Kwani waliouanzisha huu mjadala tena ni kina nani?? Nassari ndo kaanzisha mjadala, yuko kambi gani? sasa mnataka Mwakyembe akae kimya?? Eboh!!View attachment 499376
Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.
Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.
Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.
Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.
Maoni:
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
Lowasa ndo alisaini mikataba?usipaniki Mkuu, Lowasa ni mchafu. Kwa nini alijiuzulu uwaziri mkuu??
Kuhusu kauli ya Mnyika namuunga mkono na ndio maana hata mimi nilileta huu uzi hapa chini:
Hoja ya kurudisha Bungeni sakata la Richmond iende sambamba na kuondoa kinga ya Rais
Ukweli ni kwamba ukipitia taarifa ya kamati ya Mwakyembe mwanzo mwisho huwezi kuamini kuwa yote yale yalifanyika bila bwana fulanj kujua.Ni mwendawazimu pekee ndio atakaeamini hivyo.
Mtu mwenye akili lazima ujiulize maswali haya 9 yafuatayo hapa chini:
1.Kwanini Lowassa hakuhojiwa?
2.Lowassa angehojiwa na katika kujittetea unadhani angemtaja nani?
3.Na kama angetaja mtu/watu katika kujitetea,unadhani angetaja wa chini yake tu bila kumtaja bwana fulani?
4.Je,unadhani Mwakyembe na kamati yake hawakujua hatari ya kumuhoji Lowassa?
5.Kama wangemuhoji Lowassa, unadhani Mwakyembe na timu yake walikuwa tayari kumtaja(kumu-implicate) mh.sana wa wakati huo katika taarifa yao walioiwasilisha Bungeni?
6.Wangemtaja mh.sana wa wakati huo katika ripoti yao,unadhani nini kingefuata?
7.Unadhani Lowassa nae angeweza kueleza kila kitu mbele ya Bunge kabla ya kujiuzulu?
8.Na yeye kama angeeleza ukweli wote anaoujua,unadhani nini kingefuata?
9.Unadhani angeondoka Lowassa peke yake bila fulani kuingia matatani?
Haya mambo yanawezekana tu katika nchi za wenzetu na sio huku kwetu tunakowaona kina fulani kama miungu watu.
Tuache kupotezeana muda na kudanganyana.
Mmeiona hiyo kauli ya Ndugai lakini? ikoje ikoje hiyo? yani kwamba kuna waheshimiwa hawana marinda?View attachment 499376
Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.
Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.
Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.
Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.
Maoni:
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
Alishasafishika kwa kura milioni sitaLowasa hasafishiki hata kwa dodoki la chuma!
Ubongo wako umeoza, Mahakama ya mafisadi ilifunguliwa ili isikilize kesi za Jiji?kwa hiyo mnyika anakubali lowassa ni fisadi ila sio yeye tu na kikwete pia
unajua kaeni kimya tu
Mtavumilia lakini kama EL akishtakiwa na kukaa ndani bila dhamana kwa kipindi chote cha kesi yake. Make fisidi hana dhamana! Msije kulia lia hapa.Serikali iache maneno. Buruza EL mahakamani tujuwe moja.... Ugumu uko wapi jamani?
Polonium ndio inamsumbuw Mwakyembe ubongo umeshaoza umejaa fungus.
Mwakyembe na marehemu Samuel Sitta ni watu wa ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani.
EL ni mwizi gwiji kabla hajaiba anaconsult mwanasheria wake Chenge amtengenezee wizi ambao sheria itamlinda na ndio maana ana kiburi.****
ULIWAHI KUONA WAPI DUNIANI MWIZI ANAOMBA ALIOWAIBIA WAMFIKISHE MAHAKAMANI,KAMA SIO KUNAJITOA FAHAMU KAMA MALAYA
Waliommiss Jakaya......WAPO!!!!!LOWASSA NA KIKWETE NI WAHUSIKA WA RICHMOND.
TOA KINGA YA RAIS KUSHITAKIWA PELEKA HAWA MAHAKAMANI MAFISADI PERIOD.
Kujiuzulu ulikuwa uwajibikaji wa kisiasa tu. Sasa mnaweza kumpeleka mahakamani tu. Hilo suala bungeni lilishatoka!usipaniki Mkuu, Lowasa ni mchafu. Kwa nini alijiuzulu uwaziri mkuu??