Sakata la Richmond: Lowassa amjibu Mwakyembe, asema asitafte mtaji wa kisiasa

Haki hupatikana mahakani. Nakumbuka kuna kipindi flani Mwakembe alisema mahakama ya mafisadi imekosa Kesi kwa hiyo iliaminike akafungue Kesi. Kwa vyombo vyote vipo chini ya ccm kwa nini aongelee ktk majukwaa ukweli haupatikani ktk majukwaa
 
Polonium ndio inamsumbuwa Mwakyembe ubongo umeshaoza umejaa fungus.

Mwakyembe na marehemu Samuel Sitta ni watu wa ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani.
Lowassa angemlaumu Nassari aliyeianzisha hiyo maada Bungeni, Mwakyembe hakukurupuka tu kujibu alichokozwa . na kwa maana hiyo mlitaka akubali tu ndiyo, ndiyo ndiyo kwa alichosema Nassari?
 
Lowasa hasafishiki hata kwa dodoki la chuma!
Ina maana Lowassa peke yake ndo alisaini Mkataba au peke yake alikuwa anaunda Serikali? Ili kuweka mambo sawa Mahakama ya Mafisadi ianze na kesi hii
 
Lowassa angemlaumu Nassari aliyeianzisha hiyo maada Bungeni, Mwakyembe hakukurupuka tu kujibu alichokozwa . na kwa maana hiyo mlitaka akubali tu ndiyo, ndiyo ndiyo kwa alichosema Nassari?
Mwakyembs ni maiti inayotembea, na wewe kama unaamini Mwskyembe ana akili timamu basi nawe ni maiti pia.
 
Serikali haiogopi kumpeleka mahakamani yule mwizi, ila inafanya busara za kumvumilia kwasababu anaimpact kubwa kwa siasa za Tanzania, kumkamata na kumzuilia mtu kama yule nyuma yake watakufa wapumbavu wengi watakaojifanya kuandamana na serikali haitawavumilia wapumbavu hao, lazima itawatia adabu na mtakufa hovyo hovyo!!!
Kuepusha hayo yote ndio inamvumilia kidogo ila muda ukifika atafikishwa tu mahakamani na atapata anachostahili...
 


Acha upumbavu wewe.

Kumvumilia mtu mwizi kwa kuogopa impacts zake kisiasa siyo kuzidi kumjengea uwezo? Pumbaveu kweli wekli nyinyi majitu.

Pelekeni majizi mahakamani ili atakapohukumiwa na impact yake kisiasa inaisha.

Mnafanya mambo kipumbavue utafikiri taifa lote la majuha.

Wewe ni menzako wote wenye akili kama zako ni mapumbavue kweli. Hakuan mtu wenye kichwa chake atareason kama wewe hapa. Pumbavue kweliwlei.
 
...Hivi ule wimbo wa mahakama ya mafisadi uliishia Wapi?
Ukitaka chombo kama Mahakama kiendeshwe kwa mihemko kama yako wengi hamtasalimika, mtalia na kusaga meno zaidi ya mnavyolia sasa, saa ingine mjitahidi kushirikisha ubongo ktk tafakuri zenu kabla hamjadhihirisha uvundo ulio vifuani mwenu..
 
Mwakyembe hawazi kuwa serikali hiyo anayoitetea ndio hiyo hiyo iliyisabsbisha mwili wake mpaka leo uwe vile. Kimsingi ameshaiwa umaarufu baada ya kuwa M/kiti wa Kamati ya bunge kuchunguza sakata la Richmond.

Bahati mbaya anaemzunguzia kuwa ni Lowassa alibugi step maana mahakama imeshatoa hukumu juzi kati hapo kuwa Mhusika Mkuu wa Richmond ameshinda kesi, ameishinda serikali na sikusikia kama ni Lowassa.

Kuondoa ubishi, kwakuwa mahakama ya mafisadi IPO, wapeleke mahakamani hiyo kesi, Marais wastaafu waondolewe kinga, kazi ianze muone kama watu hawaishi Jela.

Aache Porojo Mwakyembe, umaarufu wake umeshakwisha, ukiwa PhD holder halafu unaanza kujipendekeza lazima upotee.
 
Tutaongea na kuandika yote lakini jibu ni mahakama kwani ugumu uko wapi wakati vyombo vyote vipo chini ya chama tawala. Kwanza Watanzania wameshazichoka hizi ngonjera ambazo watawala hawataki kueleza ukweli wake zaidi ya kumbambikia mtu tuhuma kwa vinywa vyao wakati mahakama zipo
 
Kwenye sakata hili lowasa amlaum nasari kwa kulianzisha tena. Lengo la nasari kuizungumza Richard Mond analijua yeye na baadhi ya wanacdm team Dr Slaa.
 
Mwakyembs ni maiti inayotembea, na wewe kama unaamini Mwskyembe ana akili timamu basi nawe ni maiti pia.
Asante, lakini tambua Mungu ni wa wote, na kila nafsi itaonja mauti,
 
Ni heri kuitwa Mpumbavu na wapumbavu kuliko kuwa Mpumbavu kwa upumbavu wa kutoona ufisadi wa Lowassa!!
 
Sisi Tanzania tunakuwa hatuijui dunia ya kitechnolojia, kisheria na kijasusi. Tunapaswa tukumbuke kwamba wenzetu wanaenda na mifumo inayopangiliwa kwa kipindi kirefu na huhusisha wataalamu ambapo si rahisi kugundulika .
Enzi za ukoloni, wamisionari walitumika sana, na bado wanaendelea.
Tehnolojia inatumika sana kuhakikisha wanafanya Yale ambayo sisi tukonayo gizani.
Siasa ni chambo, na Haya mataifa yaliyoendelea wanajua kwamba Afrika haina wanataaluma wa kugundua chochote. Hivyo wansiasa wanayumbishwa Kama matawi ya miti, na hakuna namna watajikwamua.
Mifumo ya utawala kwao walioendelea ni ya kupokezana vizuri. Sisi hatuwezi hata kupokezana madaraka kwani bado tunawaza "umimi, usisi, uwao, n.k.".
 
Serikali iache maneno. Buruza EL mahakamani tujuwe moja.... Ugumu uko wapi jamani?
Siyo rahisi, kuna tetemeko ambalo halijawahi kutokea Tanzania litabomoa nchi. Kuwepo kwa cheo kimoja siyo kwamba ndiyo utimilifu wa kukitumikia. Kuna kundi la watu wanaoambatana nacho. Mitambo bado inazalisha Umeme, mahamaka itabidi kwanza iombwe kwa dharura kusimamisha mitambo hiyo ili kesi ifanyike. Tutakuwa wendawazimu kufunguliana mashitaka wakati mitambo iko kazini. Je, hilo linawezekana? Kazi kwenu¡¡¡¡¡¡!!!!!!!
 
Serikali iache maneno. Buruza EL mahakamani tujuwe moja.... Ugumu uko wapi jamani?
Lowasa anastahili kuwa Rais wa Tanzania ili kukata mzizi wa fitina. Akiwa Rais kila kitu kitajulika. Lakini Ccm hivi walivyo madarakani, hakuna uwezekano wa wao kujibomoa
 
Hizo ni mbwembwe za watu waliofeli mambo yao. Nchi niko hoi, watu walio madarakani mbele giza.
Hukusikia juzi tunaambiwa serikali haikusema itatoa elimu bure Bali elimu bila malipo?
 
Kwani waliouanzisha huu mjadala tena ni kina nani?? Nassari ndo kaanzisha mjadala, yuko kambi gani? sasa mnataka Mwakyembe akae kimya?? Eboh!!
Acha awape dozi tu!
Hapa wanazuga ili kuvuruga mindset za watu bajeti ipite kiaina tuu
 
Hivi mwakiye hamna focus ya wapi mnaipeleka nchi unazungumzia ya Edo wakati hayo yeshapita na yeye alisema kama issue ni uqaziri mkuu basi anaachia ngazi. Wewe unarudisha mavi tumboni wakati yapo chhooni tayari. Edo aligombea uraisi na hakuna chombo kilicho muwekea pingamizi. Wacha ubashite ama nawe udocta wako ni wakale kabla ya kupata brain tumor. Unatuchosha kwa uzandiki wako kaa kimya.
 

Namb 4 ndo umefunga mjadala wa mnafiki hharison.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…