denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Wacha pressure mjomba, ushahidi uko wa kila aina (video & audio) hata ukitaka kupeleka mashahidi physically mahakamani wapo wakutosha, wengine walipigwa, wakaporwa mali zao madukani, wakatoa huduma Sabaya hakulipa, hata kama wanasheria wa serikali hushindwa kesi kizembe ila sio kwa hii ya Sabaya, wakishindwa wafukuzwe kazi wote.