Uchaguzi 2020 Sakata la Sheikh Ponda na "masheikh rasmi"

Uchaguzi 2020 Sakata la Sheikh Ponda na "masheikh rasmi"

SAKATA LA SHEIKH PONDA: MASIKINI "MASHEIKH RASMI" HAWAJUI KUWA HAWANA WAISLAM WANAOWAONGOZA, WAKO PEKE YAO

Awali ya yote mimi sitajiingiza katika propaganda za uchaguzi bali nitajaribu kueleza hali ya Waislam ilivyo.

Kwanza ni kuwa Waislam toka ilipovunjwa EAMWS na serikali mwaka wa 1968 na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir kukamatwa na kufukuzwa nchini na serikali kuwaundia Waislam BAKWATA, Waislam wameishi na kinyongo miaka yote sasa inafika nusu karne.

Ndiyo unasikia lugha za "sheikh wa BAKWATA," Waislam wakijiweka mbali na BAKWATA.

Na ukweli ni kuwa BAKWATA haijaweza kukubalika na sababu ni ndogo kuwa si taasisi iliyoundwa na Waislam wenyewe.

Matokeo yake ni kuwa katika hii jamii kubwa ya Kiislam Waislam wana viongozi wao wanaowakubali, kuwaamini, kuwapenda na kuwasikiliza wanachowaambia.

Sheikh Ponda ni mmoja wa masheikh hawa.

Sheikh Ponda amewaeleza Waislam nani adui ya Waislam wa Tanzania na akasimama kupambana na adui huyu huku akiungwa mkono na Waislam wengi sana.

Katika juhudi hizi Sheikh Ponda kakutwa na shida nyingi.

Kalipa kwa ajili ya Allah kwa machozi na damu.

Kwa damu yake na machozi ya nduguze Waislam.

Nimeweka hapa FB makala fupi ya maisha ya Sheikh Ponda katika kuwatumikia Waislam sasa mtafute sheikh yeyote wa BAKWATA ambae amepata kusimama na Waislam katika dhiki na shida zao.

Hakuna.

Katika hali kama hii ni tabu sana kujaribu kumchafua sheikh kwa propaganda hizi za uchaguzi kwa kuwa Waislam wanamjua Ponda ni nani.

Ponda anawakilisha sauti ya Waislam wengi, wengi, wengi sana.

Wako waliotambua hili na wamejua nini wafanye waweze kupata kura za Waislam.

Hawa ni watu wenye kufikiri na kukubali ukweli kuwa Waislam wanaishi na kinyongo dhidi ya utawala kwa miaka mingi.

Hawa wametumia fursa hii kwa kuhaidi kutoka haki na fursa sawa kwa wote.

Ndiyo maana hujasikia Waislam wamefanya maandamano kumpinga Sheikh Ponda.

Wanaompinga Sheikh Ponda si masheikh bali ni "masheikh wa BAKWATA."

Chunguza.

Picha: Kulia ni Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir (1880 - 1979) na kushoto ni Sheikh Issa Ponda.
" masheikh wa Bakwata" maana yake ni nini?
 
Unaposema utamuomba kesho mwenyekiti awaachie mashehe wa uamusho kwani wako ndani kwa amri au utashi wa mwenyekiti? je mkiwaachia bila kuwafikisha mahakamani na hatimae mahakama ndo iamue iwapo wana hatia au la je,huoni mtahalalisha madai kwamba wako ndani kwa makosa ya kubumba? Je huoni cha kuwaachia sasa kitawaudhi zaidi waislamu maana wataamini ndugu zao waliwekwa ndani kwa hila,na hivyo badala ya kuwaongezea kura watawanyima kura kwa dhuluma hiyo?
Mkuu Fahari , asante kwa angalizo hilo, basi sitamwambia!.
P
 
Hujui lolote, mzee ponda ni mnufaika wa mali za waislam, aliponyang’anywa (tena waliosimamia arejeshe hizo mali na waislam wenzie waliokuwa wanamtuhumu), sasa kabaki kutumia udhaifu wenu kupandikiza chuki, na magaidi wote wanatumia hiyo mbinu, si unakumbuka mlivyokuwa mnaunga mkono ugaidi?

uinaelekea
Mkuu Rubawa ,
  1. litafute lile swali, lisikilize tena, kama akili yako inakuwa muulizaji swali ni mtu wa Tiss na hilo ni swali kutoka kwa Tiss kwenda kwa CinC, then I just feel sorry for you!. Mtu wa Tiss anaweza kupandisha humu bandiko kama hili hili. TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
  2. Kinachoendelea nchini kwa sasa, ni kusubiria siku na saa tukatimize wajibu wetu, ni kishindo kile kile cha 90% +, and I'm sorry for you, najua hautapiga kura kwasababu hukujiandikisha, ila wahimize ndugu zako, wasifanye majaribio kwenye urais, tumpe mitano tena, JPM.
P


Pascall tunakuelewa ni mtu uliye kazini kuleeeeeeeee kizani

Kwa taarifa yako , Huyo jamaa yako wa Chato kaaaaaaatu hashindi , na ataondoka kiulaini bila kufikirika .
 
Mkuu Rubawa ,
  1. litafute lile swali, lisikilize tena, kama akili yako inakuwa muulizaji swali ni mtu wa Tiss na hilo ni swali kutoka kwa Tiss kwenda kwa CinC, then I just feel sorry for you!. Mtu wa Tiss anaweza kupandisha humu bandiko kama hili hili. TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
  2. Kinachoendelea nchini kwa sasa, ni kusubiria siku na saa tukatimize wajibu wetu, ni kishindo kile kile cha 90% +, and I'm sorry for you, najua hautapiga kura kwasababu hukujiandikisha, ila wahimize ndugu zako, wasifanye majaribio kwenye urais, tumpe mitano tena, JPM.
P
Iko unachokifanya au ulichokifanya ni Kidogo sana kwanza kazi kubwa ya Usalama Awamu hii ni Wagawe uwatawale!. Hivi Mzee wetu wa Vunjo amefanya mangapi ila bado ni mtumishi kamili kule znz yupo Mwenyekiti wa Chama na uku Bara yupo kiongozi wa chama wote tunajua ni watumishi kamili wa Idara yenu mkisimamia Wagawe uwa tawale... Twende kwenye swali la pili Kaka yangu.

Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Tangu kampeni zianze tumeshuhudia jinsi Tundu Lissu anavyokubaliwa na watu wengi. Lakini hivi karibuni ameongezewa nguvu sana na mambo mawili:
1. Ponda factor. Ponda kaja na umma wa kiislamu kumpigia kura Lissu. Mtu mwenye akili hawezi kulibeza hilo. Wala huwezi kumbeza Ponda kwa kumlinganisha na BAKWATA. Bakwata ni taasisi yenye viongozi tu isiyo na wanachama. Bahati ya Bakwata ni kuwa inatambuliwa na serikali. Umma wa kiislamu upo pamoja na Sheikh Ponda. Ponda akisema wanamsikia na kutii.
2. Maalim Seif factor. Maalim amebeba Zanzibar yote pamoja naye. Zanzibar ilikuwa CUF. Ikawa ACT WAZALENDO. Wote wamekuja kumpa kura Lissu. Huwezi kubeza hilo. Majority ya Wazanzibar watamchagua Lissu. Huku bara ACT wote watamchagua Lissu. Huwezi kulibeza hilo.
Ushindi wa kishindo ni dhahiri kwa Lissu.
LISSU+PONDA+SEIF=USHINDI WA KISHINDO.
 
Kwa mara ya kwanza kukupa kongole
SAKATA LA SHEIKH PONDA: MASIKINI "MASHEIKH RASMI" HAWAJUI KUWA HAWANA WAISLAM WANAOWAONGOZA, WAKO PEKE YAO

Awali ya yote mimi sitajiingiza katika propaganda za uchaguzi bali nitajaribu kueleza hali ya Waislam ilivyo.

Kwanza ni kuwa Waislam toka ilipovunjwa EAMWS na serikali mwaka wa 1968 na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir kukamatwa na kufukuzwa nchini na serikali kuwaundia Waislam BAKWATA, Waislam wameishi na kinyongo miaka yote sasa inafika nusu karne.

Ndiyo unasikia lugha za "sheikh wa BAKWATA," Waislam wakijiweka mbali na BAKWATA.

Na ukweli ni kuwa BAKWATA haijaweza kukubalika na sababu ni ndogo kuwa si taasisi iliyoundwa na Waislam wenyewe.

Matokeo yake ni kuwa katika hii jamii kubwa ya Kiislam Waislam wana viongozi wao wanaowakubali, kuwaamini, kuwapenda na kuwasikiliza wanachowaambia.

Sheikh Ponda ni mmoja wa masheikh hawa.

Sheikh Ponda amewaeleza Waislam nani adui ya Waislam wa Tanzania na akasimama kupambana na adui huyu huku akiungwa mkono na Waislam wengi sana.

Katika juhudi hizi Sheikh Ponda kakutwa na shida nyingi.

Kalipa kwa ajili ya Allah kwa machozi na damu.

Kwa damu yake na machozi ya nduguze Waislam.

Nimeweka hapa FB makala fupi ya maisha ya Sheikh Ponda katika kuwatumikia Waislam sasa mtafute sheikh yeyote wa BAKWATA ambae amepata kusimama na Waislam katika dhiki na shida zao.

Hakuna.

Katika hali kama hii ni tabu sana kujaribu kumchafua sheikh kwa propaganda hizi za uchaguzi kwa kuwa Waislam wanamjua Ponda ni nani.

Ponda anawakilisha sauti ya Waislam wengi, wengi, wengi sana.

Wako waliotambua hili na wamejua nini wafanye waweze kupata kura za Waislam.

Hawa ni watu wenye kufikiri na kukubali ukweli kuwa Waislam wanaishi na kinyongo dhidi ya utawala kwa miaka mingi.

Hawa wametumia fursa hii kwa kuhaidi kutoka haki na fursa sawa kwa wote.

Ndiyo maana hujasikia Waislam wamefanya maandamano kumpinga Sheikh Ponda.

Wanaompinga Sheikh Ponda si masheikh bali ni "masheikh wa BAKWATA."

Chunguza.

Picha: Kulia ni Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir (1880 - 1979) na kushoto ni Sheikh Issa Ponda.
 
We msanii tu[emoji848][emoji848][emoji848]
Mzee,

Ingawa nina admire sana kipaji chako cha uandishi na hifadhi ya historia lakini kuna jambo moja baya sana linakuhusu.

Unapenda Tanzania iwe nchi ya Kiislam na unalazimisha historia itambue kwamba Watanganyika wote kabla ya Uhuru walikuwa hawana muamko wa kusaka uhuru zaidi ya kikundi cha masheikh wachache wa Mzizima na Bagamoyo ambao waliamua kumtunuku Mwalimu Nyerere ashike bendera ya kudai uhuru.

Katika hoja zako zote lazima uweke udini tena udini unaolenga kujenga chuki.

Unatumia uzee wako vibaya sana. Unapaswa kuheshimu sheria na taratibu za nchi. Kitendo cha kuunga mkono harakati za marehemu sheikh Ilunga ni sahihi sana kukuona hauna tofauti na wapiga ramli wanaoiombea nchi yetu iingie kwenye janga tena la machafuko.

Waache masheikh wamtumikie Mola wao, kama unachukia nenda kawshtaki kwa Mungu na siyo kuwadhalilisha.

Ponda anajulikana tangu awali kuwa anasaka umaarufu bila kujali athari zake.

Nakupinga sana kwenye hili
 
SAKATA LA SHEIKH PONDA: MASIKINI "MASHEIKH RASMI" HAWAJUI KUWA HAWANA WAISLAM WANAOWAONGOZA, WAKO PEKE YAO

Awali ya yote mimi sitajiingiza katika propaganda za uchaguzi bali nitajaribu kueleza hali ya Waislam ilivyo.

Kwanza ni kuwa Waislam toka ilipovunjwa EAMWS na serikali mwaka wa 1968 na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir kukamatwa na kufukuzwa nchini na serikali kuwaundia Waislam BAKWATA, Waislam wameishi na kinyongo miaka yote sasa inafika nusu karne.

Ndiyo unasikia lugha za "sheikh wa BAKWATA," Waislam wakijiweka mbali na BAKWATA.

Na ukweli ni kuwa BAKWATA haijaweza kukubalika na sababu ni ndogo kuwa si taasisi iliyoundwa na Waislam wenyewe.

Matokeo yake ni kuwa katika hii jamii kubwa ya Kiislam Waislam wana viongozi wao wanaowakubali, kuwaamini, kuwapenda na kuwasikiliza wanachowaambia.

Sheikh Ponda ni mmoja wa masheikh hawa.

Sheikh Ponda amewaeleza Waislam nani adui ya Waislam wa Tanzania na akasimama kupambana na adui huyu huku akiungwa mkono na Waislam wengi sana.

Katika juhudi hizi Sheikh Ponda kakutwa na shida nyingi.

Kalipa kwa ajili ya Allah kwa machozi na damu.

Kwa damu yake na machozi ya nduguze Waislam.

Nimeweka hapa FB makala fupi ya maisha ya Sheikh Ponda katika kuwatumikia Waislam sasa mtafute sheikh yeyote wa BAKWATA ambae amepata kusimama na Waislam katika dhiki na shida zao.

Hakuna.

Katika hali kama hii ni tabu sana kujaribu kumchafua sheikh kwa propaganda hizi za uchaguzi kwa kuwa Waislam wanamjua Ponda ni nani.

Ponda anawakilisha sauti ya Waislam wengi, wengi, wengi sana.

Wako waliotambua hili na wamejua nini wafanye waweze kupata kura za Waislam.

Hawa ni watu wenye kufikiri na kukubali ukweli kuwa Waislam wanaishi na kinyongo dhidi ya utawala kwa miaka mingi.

Hawa wametumia fursa hii kwa kuhaidi kutoka haki na fursa sawa kwa wote.

Ndiyo maana hujasikia Waislam wamefanya maandamano kumpinga Sheikh Ponda.

Wanaompinga Sheikh Ponda si masheikh bali ni "masheikh wa BAKWATA."

Chunguza.

Picha: Kulia ni Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir (1880 - 1979) na kushoto ni Sheikh Issa Ponda.
Ninatarajia kupata watoto wa kiume siku yoyote kuanzia leo, namuomba Mwenyezi Mungu anijaalie watoto wazaliwe salama, mmoja ataitwa Ponda na mwingine ataitwa Lissu kwa heshima ya hawa waheshimiwa na juhudi walizojitolea kuwakomboa watanzania.
 
Baada ya Muungano, Znz imetoka kuwa Empire hadi Manispaa ya Mji mdogo wa Znz yaan ki hadhi imezidiwa hadi na mbeya~Sheikh Ponda
Teh teh teh teh teh 🤣 🤣🤣 Sheikh Ponda ana kauli za kuudhi Sana...haaaa haaa
 
Sana, huyu Jamaa anaweza sana kuhamisha kwa maneno ya kujaza Jazba

Sijui imekuaje Mamlaka za Nchi zinamuacha anazunguka Kwny Ngome yake ya kusini Mikoa ya Mtwara na Lindi…kule Tandahimba hadi Tunduru ana wafuasi wengi sana sana …Tume iangalie kwny orodha ya wahamasishaji wa Lissu iliyowasilishwa Tume kama Ponda yupo, otherwise aamriwe arejee Dar mara moja

Sheikh wangu Ponda namkubali sana sana sana lakin nakosana nae kwny misimamo yake mikali dhidi ya Chama na Serikali


Teh teh teh teh teh [emoji1787] [emoji1787][emoji1787] Sheikh Ponda ana kauli za kuudhi Sana...haaaa haaa
 
Wale masheikh wameudhalilisha Sana uislam kwa nchi za kiislam wangekatwa vichwa
 
Sana, huyu Jamaa anaweza sana kuhamisha kwa maneno ya kujaza Jazba

Sijui imekuaje Mamlaka za Nchi zinamuacha anazunguka Kwny Ngome yake ya kusini Mikoa ya Mtwara na Lindi…kule Tandahimba hadi Tunduru ana wafuasi wengi sana sana …Tume iangalie kwny orodha ya wahamasishaji wa Lissu iliyowasilishwa Tume kama Ponda yupo, otherwise aamriwe arejee Dar mara moja

Sheikh wangu Ponda namkubali sana sana sana lakin nakosana nae kwny misimamo yake mikali dhidi ya Chama na Serikali
Ponda hajui maana ya Haki!
 
Mzee wangu Mohamed Said atalaumiwa bure tu. Watu wanasoma huu uzi wakiwa tayari wameshachagua upande au kufanya maamuzi yao binafsi.

Baba wa watu kasema hataki kujikita kwenye uchaguzi ila ataelezea naoni yake kuhusu hawa viongozi wa dini ya Kiislam (BAKWATA na Sheikh Ponda).

Na ukiyasoma vizuri na kinachoendelea, ndivyo hali ilivyo, waislam hawampingi Ponda isipokua BAKWATA.

Akaeleza kuna watu wameona hiyo fursa na wakaamua kuitimia vizuri. Hajazema watu wachague chama gani au wamchague nani, kwanini tunakosa utulivu wa kuweza kusoma jambo na kulijadili bila kupelekwa na upepo au hisia bila kufikiri?

Sijasoma mahali Mzee wetu smeandika watu wamchague nani ili kuoata haki au uhuru au kupata chombo cha Waislam, la hasha.
 
Kheee!!!

Sasa suala la Mrisho linatokea wapi?!

Hapa wanaozungumziwa ni madhalimu ya CCM bila kujali Ikulu yupo Mristo au Mwislamu!!

Ni haya madhalimu ya CCM ndiyo yanapoka haki za makundi mbalimbali!!

Kwamba eti Zanzibar sijui mbona mwezi wa Ramadhani hivi, mara vile inaonesha tena hujui watu wanajadili nini!!!!

Uliwahi kumuona huyo Sheikh Ponda huko Zanzibar aki-deal na hao Wakristo?!

Na ni watu wa aina yenu ndio ambao hadi kesho mnadhani Sheikh Ponda ana matatizo na Wakristo lakini kwa wanaofahamu wanajua Sheikh Ponda always tatizo lake limekuwa dhidi ya Serikali, BAKWATA na CCM!!

Ni kutokana na hilo, ndio maana harakati zake huwa haziangalii Ikulu yupo nani tofauti na viongozi wengine wa dini ambao wakiona Ikulu kuna rais wa dini yao, wanapiga kimya, wakiona asiye wa dini yao, basi matamko hayaishi!!!
2010 Sheikh Ponda kampigia kampeni Kikwete kwa waislamu na ni kigezo ni kwamba Kikwete muislamu mwenzao,sasa Ponda angekuwa anafanya harakati bila kuangalia nani yupo ikulu basi asingemsaidia JK wakati huo huku akijua kwa kufanya hivyo anakuwa anakuwa amesaidia madhalimu ccm.
 
BAKWATA ni kijiwe cha Makafir
Siokweli Bakwata ni kijiwe cha makafir.

Nyinyi leo mnamuona Mzee Ponda wamaana sana kwasababu mmefanikiwa kumnunua. wakati siku za nyuma mlishaleta nyuzi nyingi za kumwita gaidi na mbaguzi wa kuleta udini na mlifurahi alipokamatwa na kuwekwa jela.
 
Back
Top Bottom