Uchaguzi 2020 Sakata la Sheikh Ponda na "masheikh rasmi"

Uchaguzi 2020 Sakata la Sheikh Ponda na "masheikh rasmi"

Unachekesha kweli...

Let me guess... kwavile unaona Sheikh Ponda ni Mwislamu, na Kikwete ni Mwislamu ndo unakuja na hiyo conclusion kwamba Sheikh Ponda alimpigi kampeni KIkwete mwaka 2010!!!

Na hata kwenye huu uchaguzi, endapo angejiweka upande wa ACT, bado mngesema anaipigia kampeni ACT... chama kilichojaa Waislamu!

Btw, Sheikh Ponda ameonekana na TL sehemu mbali mbali za nchi, mwaka 2010 sio mbali sana kwa sababu tayari tulishaingia kwenye ulimwengu wa mtandao!!!

Unaweza kuweka video hapa ikionesha hizo kampeni za Sheikh Ponda kumpigia JK?!
Eh!kumbe wewe hulijui suala hili?mbona linajulikana na wengi tu hata Mzee Mohammed Said amelielezea hili.

 
Mada kama hizi,na comment za baadhi ya watu wanaodai kuwa ni waislamu, zitawapa taabu sana watu wenye akili tumamu, kuutenganisha uislamu na swala zima la Ugaidi.

Kwa upande wangu nimeamini zile kelele za uislamu kuhusishwa na ugaidi sio prplopaganda za watu wa magharibi.
 
His Excellency John Magufuli

President of The United Republic of Tanzania

BY EMAIL ONLY

23 October 2020

Dear President Magufuli:

As you know, this law firm represents Mr. Tundu Lissu, a citizen of Tanzania and the current leader and nominated presidential candidate of Tanzania’s main opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Party for Democracy and Progress) (“CHADEMA”) party.

We write to inform you that the Government of Tanzania’s conduct in the runup to the 2020 general elections, scheduled for next Wednesday, 28 October 2020, has undermined the democratic process in Tanzania and so tarnished the electoral process as to render the forthcoming elections neither free nor fair. Your oppressive policies have unduly restricted the political, civil, and human rights of Tanzanian citizens. In recent months, your government has arbitrarily arrested opposition candidates on false charges and stripped them of their international human rights to freedom of assembly, association, and movement. Your government continues to infringe the rights of outspoken critics, including our client Tindu Lissu. We now understand the CCM party, in conjunction with national election officials, has developed a plan to directly alter vote tallies next week. These actions have undermined the integrity of the forthcoming election, casting serious doubt on whether the results thereof will reflect the democratic will of the people of Tanzania. We write to urge you to reverse course immediately to ensure the integrity of the election and note that there will be serious international consequences for holding a sham election.

Evidence on the ground makes clear that the CCM is committed to declaring victory at the expense of Tanzanian democracy. Your government’s efforts to undermine the election begin with the illegal exclusion of opposition candidates. The National Election Commission has refused to allow many opposition politicians to even run for office on the pretextual basis of failing to meet electoral requirements. Several opposition parties, including the CHADEMA party, have indicated that literally hundreds of their candidates have been disqualified from participating in the upcoming general election. Mr. Benson Kigaila (Deputy Secretary-General of the CHADEMA party) stated that 57 of its candidates for parliament and 642 for councillor had been disqualified. So too, the National Election Commission has blocked appeals of these disqualifications. Again, Mr. Kigaila has detailed the experience of one CHADEMA candidate, who sought to appeal his disqualification and instead was met with an Election Officer who locked the election commission office and left without returning, thereby making the filing of an appeal impossible.[1] Another opposition party, Alliance for Transparency and Change (“ACT Wazalendo”), has similarly indicated that most of their candidates had been “objected” to by the National Election Commission and were therefore not able to participate in the election.[2] Professor Ibrahim Lipumba, the candidate for President of the Civic United Front (“CUF”) opposition party, said his party received reports of candidates being challenged by authorities or even having their nomination forms stollen from them before submission by unknown individuals.[3]

Your government’s efforts to undermine the integrity of the election reach beyond disqualification of opposition candidates to include direct manipulation of the voting process. It appears your government seeks to ensure that voting stations have no agents from opposition parties to question fraudulent votes for CCM candidates. Under the National Electoral Commission’s (NEC) current policies, polling agents from areas of the country with strong opposition support have been required to travel to other regions of the country to appear before Returning Officers (senior election officials) to have their electoral functions confirmed. The imposition of this requirement breaches the National Election Law, according to which polling agents should be confirmed in their respective local districts before Assistant Returning Officers (more junior election officials). A letter was also sent from the Election Returning Officer for your home district of Chato, informing CHADEMA’s District Secretary General that his party’s agents for several wards will not be confirmed because the NEC official suspects “forgeries” of necessary signatures. No such contestation of supporting materials for CCM has been identified. This discriminatory treatment makes it far more difficult for agents representing opposition candidates to be confirmed and privileges the candidacies of the CCM.

So too, your government is intentionally giving incorrect information to or changing rules and regulations for political agents of opposition parties. For example, in the Ilala district in Dar es Salaam, agents from CCM were told in advance to appear at the office of the Returning Officer, while agents from the opposition who arrived on time to be confirmed were refused entry for allegedly “being late”. In Nyamagana district, the office of the returning officer for Mabatini ward is closed, making it impossible for agents to be confirmed. Similar misrepresentation, arbitrary rule changes, and fraudulent conduct is occurring across the country.

There is also growing evidence of the intentional manipulation of lists of registered voters by governmental authorities in order to facilitate fabricated votes in your favour. Clear examples of this manipulation of voting roles is evident in Zanzibar. The Zanzibar Electoral Commission (ZEC) has recently released a list of registered voters in Zanzibar showing a total of 556,352 voters. However, when the actual figures from the lists of registered voters posted in all the polling stations across the islands are added together, the total number of registered voters is only 448, 533. It appears your government has “created” at least 117,000 fake voters and will use these fraudulent registrations to pad vote totals in your favour.

As the election draws closer, your government has been arresting opposition leaders without due cause with the intent of limiting their political activism. On 23 June 2020, Mr. Zitto Kabwe (leader of the Tanzanian opposition party “ACT Wazalendo”) and seven other opposition members were arrested during an internal meeting of their party in the southern region of Lindi and were charged with “endangering the peace.”[4] Mr. Kabwe had been previously arrested on political charges: in 2017 for contradicting government statistics and in 2018 for alleging police had been responsible for the killing of civilians. In May 2020, he was found guilty of sedition and incitement before the Kisutu Resident Magistrate’s Court and was ordered not to write or say anything seditious. This order effectively prevents him from participating in political discourse in advance of the election.

Your government use of the police to intimidate the opposition permeates all levels of the political space in the country. In July of this year, seven members of Chadema’s youth wing were arrested for allegedly “ridiculing the national anthem and flag” because they sang the anthem while hoisting the party flag, rather than the national flag. They remain incarcerated today. Mr. John Mbilinyi, a CHADEMA party candidate, was also arrested and released in August for an “unauthorized demonstration” because he was accompanied by supporters as he collected his nomination papers.[5] Even more recently, on October 21, four CHADEMA agents have reportedly died and others badly injured in a highly suspicious car “accident” in the town of Sumbawanga as they were going to take an oath for the upcoming elections. The circumstances of the incident are deeply concerning and it appears your government may be willing to go to any length to undermine democracy and the electoral process.

Your government’s treatment of our client, Mr. Lissu, over the past several years is indicative of your efforts to undermine all political opposition through intimidation, harassment, and violence. Mr. Lissu has previously been subjected to regular and serious acts of intimidation from forces affiliated with the government in response to his vocal criticisms of your administration. On 7 September 2017, Mr. Lissu was brutally attacked by unknown gunmen inside his official residence in Dodoma in a blatant assassination attempt. He was struck with16 bullets to his abdomen, arms, and legs. While Mr. Lissu’s residence was normally heavily guarded, the armed security who should have been protecting him were conveniently absent during the attack. So too, the CCTV cameras monitoring Mr. Lissu’s apartment block were removed and were never recovered. Although the Tanzania Police Force admitted a week after the attack that they had the footage from the cameras, that footage has never been shared nor has it led to arrests of the perpetrators. Your government has failed to protect Mr. Lissu and to investigate the attempt on his life. It may well be complicit in the assassination attempt.

Your government’s failure to protect Mr. Lissu and, thereby, its effort to undermine opposition candidates and democracy itself, continues today. After undergoing medical treatment abroad, Mr. Lissu returned to Tanzania on 27 July 2020 with the intention to campaign for the presidency. Since his return, Mr. Lissu has received numerous threats, including threats of arrest by the government and threats of murder. The National Police Chief has gone on record to state that the police will ‘get’ Mr. Lissu. This week a video resurfaced from a political campaign rally evidencing threats made by your nephew, Kheri James, stating that if Mr. Lissu mobilizes citizens to contest your claim of an electoral victory “they will inject him with poison.”[6] Kheri James has made a number of similar statements inciting violence against your critics over the past five years. Nonetheless, he was eventually promoted to lead the CCM youth organization.

Political contestation today in Tanzania is virtually impossible, all but ensuring the election will be a sham. On the day of Mr. Lissu’s return to Tanzania, your government passed new legislation making the organization, planning or even support of any form of demonstration online, illegal. The timing of this move is no coincidence. Your government seeks to restrict political participation by opposition parties ahead of the October elections. It seeks to avoid public criticism in online fora in the run up to the election. These new restrictions, in conjunction with existing limitations on public demonstrations and a continued reluctance of government authorities to issue permits for demonstrations or other electoral events, have extinguished any prospect of a free and fair election this October. This new law banning online demonstrations is yet another example of your administration’s agenda to prevent a free and fair election, limit the activities of opposition candidates, and violate fundamental rights and freedoms of Tanzanian citizens.

Your government’s conduct towards the political opposition and its effort to undermine democratic elections blatantly disregards the country’s domestic and international legal obligations. Your government purports to uphold to its international human rights obligations, but its actions speak volumes. Pursuant to Tanzania’s obligations under the International Covenant on Civil and Political Rights and the African Charter on Human and Peoples’ rights, it must allow freedom of speech and assembly and it must allow for participation in government and electoral processes. Yet, CCM continues to violate these obligations, restricting the political participation of opposition groups and inciting violence against opposition candidates. Earlier this month Amnesty International released a detailed report entitled Lawfare-Repression by Law Ahead of Tanzania’s General Elections documenting a range of abuses by the Tanzanian Government, including the use of domestic law to stifle all forms of dissent in breach of internationally protected freedoms of expression and assembly.[7]

After attempting to side-line the opposition, your government has now turned to the targeting of journalists and the press. In August 2020, new rules were introduced requiring foreign journalists to be chaperoned on assignments by a government official. So too broadcasters are now required to seek permission to air content produced by foreign media. This new regulation was imposed as a direct response to the domestic broadcast of a BBC interview with our client, Mr. Lissu, by Radio Free Africa. Since 2019 four new laws have been enacted restricting the operation of NGOs operations, including regulations that limit the freedom of association and prohibit election-related activities by NGOs.[8]

Your government’s actions demonstrate your objective of undermining the October 2020 election and democracy in Tanzania. Should these efforts prove inadequate to determine the outcome, it appears your government is poised to directly alter vote tallies later this month. Internal information received from government sources reveals that the NEC, National Intelligence Security Service (TISS), and CCM leaders are coordinating a plan to directly rig the election. The informant has reported that a meeting was held on 21 October in Mabibo, Dar es Salaam (NIT building) involving all principal returning officers (responsible for vote counting), their assistants and secretaries for Dar es Salaam, where they were given instructions on how pre-filled ballots will be stuffed in ballot boxes before voters start casting their votes. This same source explains that these returning officers must reach their respective polling stations by 7am on voting day, where they will find CCM agents already present. Each of these agents have been given between 10 to 20 pre-filled ballot papers already stamped by the NEC. In each polling station all agents and NEC staff will be allowed to cast their ballots first, before the other voters are admitted to the polling place. Each CCM agent has been instructed to insert the forged and pre-printed ballots along with their own voting papers into the ballot box. This systematic and illegal fraudulent voting will be completed between 7 and 7:30am, before the official start of voting at 8am. Our informant further notes that this strategy will be applied across the country under tight security. Similar instructional meetings are being undertaken nationwide such that an adequate number of fraudulent ballots are placed in ballot boxes to ensure the CCM gets at least 60% of all votes in each polling station, notwithstanding actual support for opposition candidates.

The NEC has also amended regulations requiring it to provide every polling agent with a copy of the vote tallying for each polling station signed by NEC officials and all polling agents. This is no longer a requirement, thus ensuring that there is no independent evidence anywhere of the actual votes cast and counted at every polling station. Additionally, Mr. Kaijage, the Chair of NEC has banned the use of smart phones from polling stations when no such law exists. These illegal actions by the NEC are clearly an afterthought, as it is currently too late for them to legislate, he has decreed these laws in line with the NEC’s fraudulent practices.

This plan to subvert the election on polling day explains your government’s aforementioned efforts to limit the number of certified opposition agents at polling places. By ensuring that the opposition is largely unrepresented at the polls, it will be far easier for the CCM to tamper with the votes cast on election day. Our informant confirms that the police force has been instructed to make sure no one interferes with this plan and any remaining opposition agents who raise concerns about voting irregularities will be removed from their polling stations.

The grave threat to democracy in Tanzania today is well encapsulated by a recent statement by Amnesty International’s Director for East and Southern Africa, Deprose Muchena. Commenting on Tanzania’s current political situation, he notes: “The use of law to systematically and deliberately clamp down on people’s inalienable human rights, especially in an election season, is an extremely worrying and unhealthy sign for a country positioning itself for greater growth and development.”[9] We join Amnesty in its grave concern for the future of democracy and human rights in Tanzania.

We call on you and your government to immediately cease acts, such as those detailed in this letter, that threaten the integrity of the October 2020 elections and the state of democracy in Tanzania. We are, however, deeply concerned that your actions have already left the election fundamentally flawed in flagrant violation of Tanzanian law, international human rights law, and the most basic principles of a democratic society. We remind you, as we have noted in our previous correspondence, that you and your government face the very real threat of international sanctions and punishments for your violations of international law and democratic governance. We will pursue every avenue available to shine light on the political interference in the electoral process by your government, to trigger international investigation by relevant United Nations Special Rapporteurs and the African Commission on Human Rights, and to advocate for international sanctions against those responsible for these abuses.

Sincerely,

Robert R. Amsterdam

Founding Partner, Amsterdam & Partners LLP



[1] Uwesu, I. Tanzanian opposition parties allege candidates have been unfairly disqualified. Voanews.com, 21 October 2020, Tanzanian Opposition Parties Allege Candidates Have Been Unfairly Disqualified

[2] Tanzanian opposition alleges irregularities in candidates’ enrollment. Reuters.com, 21 October 2020, Tanzanian opposition alleges irregularities in candidates' enrollment

[3] Supra note 1.

[4] Tanzania: Freedoms Threatened Ahead of Elections. HRW.org, 21 October 2020, Tanzania: Freedoms Threatened Ahead of Elections

[5] Tanzania: Laws weaponized to undermine political and civil freedoms ahead of elections. Amnestyinternational.org, 19 October 2020, Tanzania weaponized laws to undermine political and civil freedoms

[6] Magufuli’s Nephew Kheri James, Threatening To Assassinate Tundu Lissu with Poison Injection. Accessed 19 October 2020.

[7] Supra, note 5.

[8] Supra, note 5.

[9] Supra note 5.


Hivi hayo machungu yamewakuta nyinyi tu? Mbona sisi maisha yanaenda? Msipende mteremko vijana.
 
Eh!kumbe wewe hulijui suala hili?mbona linajulikana na wengi tu hata Mzee Mohammed Said amelielezea hili.

Bwah! Bwah! Bwah! Bwah!

Yaani nimekupa changamoto uniletee video inayoomuonesha Sheikh Ponda akiwa kwenye kampeni na JK, unaniletea thread ya mtu isiyo na ushahidi wowote ule?!

Again, weka hapa hiyo video kwa sababu alichosema MS hakuna tofauti na ulichokisema wewe!!!
 
uinaelekea



Pascall tunakuelewa ni mtu uliye kazini kuleeeeeeeee kizani

Kwa taarifa yako , Huyo jamaa yako wa Chato kaaaaaaatu hashindi , na ataondoka kiulaini bila kufikirika .
Hahahaha unaota. Sahau kabisa nchi yetu apewe kibaraka. Sisi ni wazalendo na Tanzania mpya yaja.
 
Japo mimi sijajaribu, kwasababu sina lolote la kutuma kumhusu huyo, ila akili za kuambiwa changanya na zako!.
P

Hivi unadhani nimekuambia kwasababu nimesikia watu wanasema tu? Nimejaribu nikajiridhisha na hilo. Sio lazima utume kumuombea kwa yoyote maana wala hahitaji kura yako, ila ww kama muandishi ulipaswa kujiridhisha na tuhuma kama hizo, ili ujue ni kweli ama la. Sasa muandishi kama ww unafuata maneno kwa mkumbo eti za kuambiwa, unashindwa kujiridhisha na jambo ambalo halikuchukui hata sekunde moja kulithibitisha? Kisha unajiita muandishi wa habari nguli! Inafedhehesha na kusikitisha japo ndio ukweli wenyewe.
 
Hivi hayo machungu yamewakuta nyinyi tu? Mbona sisi maisha yanaenda? Msipende mteremko vijana.

Maisha yataacha kwenda kwako wakati unatembelea VX la serikali? Maisha yanakwamaje kwako kwa mfano?
 
..kuna wakati ccm walikuwa wanaeneza propaganda kwamba cdm ni chama cha Wakristo.

..kuna wakati cuf walikuwa wanaandamwa kwamba ni chama cha Waislamu.

..kuna kipindi pia cdm walikuwa wanapakaziwa kwamba ni chama cha Wachaga.

..ccm haioni tatizo kuwagawa waTz kwa propaganda za kidini au kikabila.

..hata ktk kampeni za mwaka huu ccm imekuwa ikiwatumia viongozi wa dini kumshambulia mgombea wa cdm, Tundu Lissu.

..kamati ya amani ya viongozi wa dini imekuwa mstari wa mbele kupiga kampeni za kumuonyesha Tundu Lissu kama mwasiasa asiyefaa ktk jamii yetu.

..kama unataka kutenda haki ungeanza kwa kukemea kamati ya amani ya viongozi wa dini ambayo imejiegemeza upande wa ccm.
Akikujibu nitag tafadhali
 
Sijaona popote Mzee Said kazungumzia suala la waislamu wamchague nani.. Yeye kazungumzia ukubalifu wa BAKWATA kwa Waislamu. Anachokisema ni kwamba Waislamu wanatambua ni nani anaewasemea na kuwatetea kati ya BAKWATA na Masheikh aina ya Sheikh Ponda. Hapa anamaanisha Waislamu wanajua watekeleze maelekezo ya nani.
Ukitafakari kwa kina, utaona anachokusudia kukisema ni vita iliyopo baina ya Waislamu dhidi ya Serikali, na Serikali dhidi ya Waislamu.
1) Mzee Said unataka kusema kwamba waislamu wakimchagua Lissu mgombea alienadiwa na Ponda ndio matatizo ya waislamu yataisha, au huyo mgombea atakuwa sababu ya waislamu kuingia peponi?

2) Kwa mwendo huu wa Ponda kuwaambia waisilamu wamchague Lissu akitokea kiongozi anaekubalika na wakristo wengi nae akasema wakristo wamchague JPM, huoni kwamba tunaelekea kuligawa taifa kidini?

Natanguliza shukran zangu kwako Mzee wetu Said wa jukwaa la history.
 
Kwa hiyo huo upande aliouchagua,ukishinda utairudisha EAMWS na Ponda awe Mufti halafu BAKWATA ivunjwe?

Anatumika tu kama ngazi lakini hata serikali ya "kufikirika" ya Lisu haiwezi ku-entertain hao extremists!
 
  • Thanks
Reactions: cpt
Kheee!!!

Sasa suala la Mrisho linatokea wapi?!

Hapa wanaozungumziwa ni madhalimu ya CCM bila kujali Ikulu yupo Mristo au Mwislamu!!

Ni haya madhalimu ya CCM ndiyo yanapoka haki za makundi mbalimbali!!

Kwamba eti Zanzibar sijui mbona mwezi wa Ramadhani hivi, mara vile inaonesha tena hujui watu wanajadili nini!!!!

Uliwahi kumuona huyo Sheikh Ponda huko Zanzibar aki-deal na hao Wakristo?!

Na ni watu wa aina yenu ndio ambao hadi kesho mnadhani Sheikh Ponda ana matatizo na Wakristo lakini kwa wanaofahamu wanajua Sheikh Ponda always tatizo lake limekuwa dhidi ya Serikali, BAKWATA na CCM!!

Ni kutokana na hilo, ndio maana harakati zake huwa haziangalii Ikulu yupo nani tofauti na viongozi wengine wa dini ambao wakiona Ikulu kuna rais wa dini yao, wanapiga kimya, wakiona asiye wa dini yao, basi matamko hayaishi!!!
JF sihami
 
Bwah! Bwah! Bwah! Bwah!

Yaani nimekupa changamoto uniletee video inayoomuonesha Sheikh Ponda akiwa kwenye kampeni na JK, unaniletea thread ya mtu isiyo na ushahidi wowote ule?!

Again, weka hapa hiyo video kwa sababu alichosema MS hakuna tofauti na ulichokisema wewe!!!
Nimekwambia alikuwa akimpigia kampeni kwa waislamu kwamba wamchague Kikwete,sasa wewe unataka video Ponda akipanda majukwaani na Kikwete ina maana kupigia kampeni lazima upande jukwaani au uonekane na huyo unayempigia kampeni?

Mbona unataka tubishane vitu ambavyo havihitaji ubishi?
 
Najiuliza, hivi aka ka branch ka siri-kali (BAKWATA) kwanini bado kaliendelea kutamalaki ktk kipindi cha Mzee Ruksa na pia ktk kipindi cha Baba Riz?
Umeambiwa hako ni ka branch ka sirkali, hao uliowatani ni viongozi wa sirkali
 
Kwahiyo alikuwa sahihi sheikh ponda wakati huo kumsaidia Kikwete kuendelea kuongoza serikali ya chama cha mapinduzi?
Kila kitabu kina kurasa zake.

Isitoshe kipindi hicho Ccm ilitumia ajenda ya udini dhidi ya mgombea wa Chadema Dr Slaa ili kuvuna kura za waislamu na ndio kina Ponda walitumika.

Kwa sasa mazingira ya kisiasa yamebadilika, ndio maana hata Gwajima aliyekuwa anaiunga mkono Chadema hadharani sasa ni mgombea wa Ccm.

Kama Ponda hakuwa sahihi kumuunga mkono JK 2010 basi hata Gwajima hayupo sahihi maana 2015 aliwaunga mkono Chadema.

Ndio maana nasisitiza '' kila kitabu kina kurasa zake"
 
Mkuu Maalim Sheikh Mohamed Said , poleni sana ndugu zetu Waislamu wa Tanzania, kwa madhila yaliyowakuta, tangu baada ya kuvunjwa kwa EAMWS na serikali mwaka wa 1968 na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir kukamatwa na kufukuzwa nchini na serikali kuwaundia Waislam BAKWATA, Waislam wameishi na kinyongo miaka yote sasa inafika nusu karne.

Kwenye hili la kunyoosha kidole upande fulani na kusema kuna adui wa Waislamu na adui wa Uislamu, naomba tuwe wakweli, na ukweli wa kwanza, naomba utuelimishe kidogo kumhusu Mufti wa kwanza wa Tanganyika na baadaye Tanzania, Sheikh Hassan bin Ameir,
  1. alikuwa ni mtu wa wapi?.
  2. Alikamatiwa wapi?
  3. Kwa kosa gani?
  4. Alikuzwa nchini na serikali, na kufukuziwa wapi?.
Tuanzie hapo ili tufike mahali tumjue adui halisi wa Waislamu ni nani, tusije kunyoosheana vidole, tukawashawishi ndugu zetu Waislamu, kupiga kura za chuki, kutokana na vinyongo bandia, kwa kudhani adui yao ni fulani kumbe sio kweli, huku kutakuwa ni kuwatendesha Waislamu wa Tanzania, dhambi ya ubaguzi, hao Waislamu wanaoishi kwa kinyongo dhidi ya utawala kwa miaka mingi, naomba pia waambiwe ukweli kuwa wasipeleke kura zao upande fulani kwasababu ya kinyongo cha miaka mingi, kwasababu hata huko watakapopelekehizo kura zao, zitapotea bure, hivyo sio tuu kuendelea kuishi na kinyongo, wataishi na kihoro!.

Dawa ya madhila, sio kuishi kwa kinyongo, bali ni kwa kukaa chini na watawala na kuyazungumza, tuyajenge, tuwe kitu kimoja!.
Na kwa vile kwa sasa mimi pia ni kada, naomba kuchukua fursa hii kuwaomba kura Waislamu wote wa Tanzania, kura ni JPM, na CCM, ndio pakee anaweza kumaliza madhila yote ya Waislamu, na hapa tulipo, nitamuomba Mwenyekiti wetu, kesho Jumatatu, awaachie huru wale Masheikh wote wa Uamsho wanaoshikiliwa, ili Jumanne waungane na familia zao, na Jumatano, Waislamu wote kwa sauti moja, wamshukuru kwa vitendo, aliyewaachia masheikh wa uamsho.
P

P
Paskali ukifanya hivyo nitakuunga mkono, kuna wakati nashindwa kula kisa masheikh waliopo ndani
 
Mkuu, mimi mwenyewe ni CCM na kura yangu ni kwa Magufuli.
Lakini linapokuja swala la imani, chama changu (CCM) kwa miaka mingi imetukandamiza Waislam, kwa kutuundia chombo (Bakwata) kinacho tetea serkali kuliko Waislam.

Kwahiyo Ponda yuko sahihi kuwaamasisha Waislam waipigie chadema kwa kuamini kitawafuta machozi yao.

NB: Upande wangu, Wakrsto wamesha shika hatamu nchi hii, hivyo hata CDM wakishinda sidhani kama wataifuta Bakwata.

Tena ndio wenda hata Adhana watasema kelele.
Hadaa yako peleka ufipa.

MwanaCCM wa kweli hazungumzii ubaguzi bali anashiriki kuleta watu pamoja
 
Nimekwambia alikuwa akimpigia kampeni kwa waislamu kwamba wamchague Kikwete,sasa wewe unataka video Ponda akipanda majukwaani na Kikwete ina maana kupigia kampeni lazima upande jukwaani au uonekane na huyo unayempigia kampeni?

Mbona unataka tubishane vitu ambavyo havihitaji ubishi?
Havihitaji ubishi kivipi?! Haiwezekani uongee jambo halafu uombwe ushahidi, lakini badala ya kutoa ushahidi unaishia kudai "mbona unataka tubishane"!

Lipumba kwa mfano, mbona video ilipatikana akikiri kumsaidia JK kwenye uchaguzi wa 2010, tena huko huko misikitini? Kwanini ya Ponda isiwepo na badala yake unataka tukubaliane na madai yako yasiyo na ushahidi!!

Ile hoja yako uliyoing'ang'ania kama luba kiasi kwamba kila siku lazima uwe unaisema kwamba TL alisema ACT sio chama cha upinzani, mbona huwa unawekaga ushahidi?!

In short, hujui what happened in 2010!

Kwa bahati mbaya, nami siwezi kusema kwa sababu nisingependa kufukua makaburi katika kipindi hiki ambacho watu wameshikamana bila kujali itikadi zao za kidini!!

Ukitaka kujua what happened in 2010, do your home work kutafuta Waraka wa Maaskofu ambao baadae waliukana, na pia Waraka wa Shura ya Maimamu (akina Ponda) ambao na wenyewe kama ilivyo sasa, BAKWATA wakaukana na kusema huo sio Waraka wa Waislamu!!!
 
Badilisha heading hiyo isomeke"Sheikh ponda Vs Mashehe wa bakwata"
Mashehe rasmi ndio kitu gani?
 
Back
Top Bottom