Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
We Dada ujapata mbongo wakukupiga miti vizuri Hadi leo, fuatilia ya kwenu Rwanda kwa dikteta KagameMbona Sakata la Mafuta na Wananchi Kulalamika / Kulilalamikia ni rahisi sana Kulifafanua kwa Watanzania ( Wananchi ) na Wakalielewa hata kuliko lile la Spika Mstaafu Ndugai kukupa Ukweli wako kuhusu 'Kukopakopa' hovyo sasa iweje tena leo unataka Watu wakusaidie Kukusemea ili Watanzania wasikulaumu na wasikuone upo upo tu Dar es Salaam, Zanzibar na Dodoma?
Lini future za vijana wengi zikieleweka?Hahaha...
Hawa wa sasa hivi wanaua watu wengi kupitia rushwa na miundombinu mibovu inayosababishwa na watu kula kwa urefu wa kamba zao.
Mateja wanaongezeka, future za vijana wengi sasa hivi hazieleweki, ila kwa kuwa hawana wa kuwasemea kila mtu yupo kimya.
Hata hii ripoti ya sasa inamhusu kidogo sana kwa sababu inahusu 1.7.2020 hadi 30.6.2021Mwaka jana baada ya kupokea report ya CAG ilifuatiwa na press conference ambayo ilitumika vizuri sana kuchambua uozo uliogunduliwa na CAG. Vipi, mwaka huu inafanyika lini?
Ndio watuwekee press conference sasa kama mwaka jana.Hata hii ripoti ya sasa inamhusu kidogo sana kwa sababu inahusu 1.7.2020 hadi 30.6.2021
Kuna yule alisema, "sisi mi matajiri, tunakopesheka"Ndio shida ya kukumbatia mafisadi na wauza madawa ya kulevya, hakuna mtu anamuelewa sahivi.
Huwa sipendi hii kauli ya maumbile ya kike mbele ya mkutano.Nani asiyejua kuwa kuwa anamaumbile hayo.Kiafrika na kiutamaduni ni aibuNaona hata deni ka taifa si haba βDeni la Serikali limeongezeka kwa TZS trilioni 7.76, sawa na asilimia 13.7.β
Akiambiwa ukweli anakuwa mkali kuwa anaonewa kwa kuwa ana maumbile ya kike.
Sukuma gang mtapata tab sanaInasikitisha sana.Tanzania imepoteza mwelekeo
Kwa maoni yako ulitaka na apewe nchi? Tumpe msukuma tena tujute kama awali?Kuna mtu alitabiri humu mama atakua Rais then CHADEMA kuchukua nchi itakua kama mserereko nimeanza kuona dalili. .....
Na kweli "mnadunda" maana mambo hayaendi kabisa.sisi tunadunda
Mkianza kuvyekelewa mbali kila mkikosoa kama alivyokuwa anafanya Jiwe, mtashika adabu zenu nyie sukuma gang. Jiwe alipandisha sukari mpaka 5,000/= na hakuna aliyesema lolote.Hahaha...
Hawa wa sasa hivi wanaua watu wengi kupitia rushwa na miundombinu mibovu inayosababishwa na watu kula kwa urefu wa kamba zao.
Mateja wanaongezeka, future za vijana wengi sasa hivi hazieleweki, ila kwa kuwa hawana wa kuwasemea kila mtu yupo kimya.
Alikuwa sahihi.Kuna yule alisema, "sisi mi matajiri, tunakopesheka"
Hiyo 5,000 uliinunulia wapi?Mkianza kuvyekelewa mbali kila mkikosoa kama alivyokuwa anafanya Jiwe, mtashika adabu zenu nyie sukuma gang. Jiwe alipandisha sukari mpaka 5,000/= na hakuna aliyesema lolote.
Acha kujifanya chizi, hukumbuki hilo Sakata pale alipojaribu, kupambana na wafanyabiashara wa sukari. Baadae akalikimbia kama lile la korosho.Hiyo 5,000 uliinunulia wapi?
Sukari haikuwahi kuzidi 3,500 Tanzania nzima.Acha kujifanya chizi, hukumbuki hilo Sakata pale alipojaribu, kupambana na wafanyabiashara wa sukari. Baadae akalikimbia kama lile la korosho.
MR POPOMA , nje ya mada kidooogo nasikia kafara letu la jumapili limmeenda vizuri COWS 6 WAMECHINJWA???πππYou're out of Content and Context please just hurry up to visit a Psychiatrist around your area of Residence.
Mbona Sakata la Mafuta na Wananchi Kulalamika / Kulilalamikia ni rahisi sana Kulifafanua kwa Watanzania ( Wananchi ) na Wakalielewa hata kuliko lile la Spika Mstaafu Ndugai kukupa Ukweli wako kuhusu 'Kukopakopa' hovyo sasa iweje tena leo unataka Watu wakusaidie Kukusemea ili Watanzania wasikulaumu na wasikuone upo upo tu Dar es Salaam, Zanzibar na Dodoma?
Mbona Sakata la Mafuta na Wananchi Kulalamika / Kulilalamikia ni rahisi sana Kulifafanua kwa Watanzania ( Wananchi ) na Wakalielewa hata kuliko lile la Spika Mstaafu Ndugai kukupa Ukweli wako kuhusu 'Kukopakopa' hovyo sasa iweje tena leo unataka Watu wakusaidie Kukusemea ili Watanzania wasikulaumu na wasikuone upo upo tu Dar es Salaam, Zanzibar na Dodoma?