Sakata la Spika Mstaafu Ndugai kukupa 'Ukweli' wako ulilikabili Mwenyewe 'Kimadaha' kwanini leo hii Sakata la Mafuta unataka usaidiwe Kusemewa?

Sakata la Spika Mstaafu Ndugai kukupa 'Ukweli' wako ulilikabili Mwenyewe 'Kimadaha' kwanini leo hii Sakata la Mafuta unataka usaidiwe Kusemewa?

Mbona Sakata la Mafuta na Wananchi Kulalamika / Kulilalamikia ni rahisi sana Kulifafanua kwa Watanzania ( Wananchi ) na Wakalielewa hata kuliko lile la Spika Mstaafu Ndugai kukupa Ukweli wako kuhusu 'Kukopakopa' hovyo sasa iweje tena leo unataka Watu wakusaidie Kukusemea ili Watanzania wasikulaumu na wasikuone upo upo tu Dar es Salaam, Zanzibar na Dodoma?
We Dada ujapata mbongo wakukupiga miti vizuri Hadi leo, fuatilia ya kwenu Rwanda kwa dikteta Kagame
 
Huyu jamaa hana hema hata kidogo

Ila huyu?

IMG_20220328_113812_659.jpg
 
Hahaha...

Hawa wa sasa hivi wanaua watu wengi kupitia rushwa na miundombinu mibovu inayosababishwa na watu kula kwa urefu wa kamba zao.

Mateja wanaongezeka, future za vijana wengi sasa hivi hazieleweki, ila kwa kuwa hawana wa kuwasemea kila mtu yupo kimya.
Lini future za vijana wengi zikieleweka?
 
Mwaka jana baada ya kupokea report ya CAG ilifuatiwa na press conference ambayo ilitumika vizuri sana kuchambua uozo uliogunduliwa na CAG. Vipi, mwaka huu inafanyika lini?
Hata hii ripoti ya sasa inamhusu kidogo sana kwa sababu inahusu 1.7.2020 hadi 30.6.2021
 
Naona hata deni ka taifa si haba “Deni la Serikali limeongezeka kwa TZS trilioni 7.76, sawa na asilimia 13.7.”

Akiambiwa ukweli anakuwa mkali kuwa anaonewa kwa kuwa ana maumbile ya kike.
Huwa sipendi hii kauli ya maumbile ya kike mbele ya mkutano.Nani asiyejua kuwa kuwa anamaumbile hayo.Kiafrika na kiutamaduni ni aibu
 
Kuna mtu alitabiri humu mama atakua Rais then CHADEMA kuchukua nchi itakua kama mserereko nimeanza kuona dalili. .....
Kwa maoni yako ulitaka na apewe nchi? Tumpe msukuma tena tujute kama awali?
 
sisi tunadunda
Na kweli "mnadunda" maana mambo hayaendi kabisa.

Mama anatawala kwa dharau kubwa akiamini watanganyika ni wasahaulifu kiasi kwamba hata uwafanyie ubaya kiasi gani baada ya muda mfupi wameshasahau.

Historia inamwonesha hivyo...ila atambue shida na taabu ni mwalimu.
 
Hahaha...

Hawa wa sasa hivi wanaua watu wengi kupitia rushwa na miundombinu mibovu inayosababishwa na watu kula kwa urefu wa kamba zao.

Mateja wanaongezeka, future za vijana wengi sasa hivi hazieleweki, ila kwa kuwa hawana wa kuwasemea kila mtu yupo kimya.
Mkianza kuvyekelewa mbali kila mkikosoa kama alivyokuwa anafanya Jiwe, mtashika adabu zenu nyie sukuma gang. Jiwe alipandisha sukari mpaka 5,000/= na hakuna aliyesema lolote.
 
Mkianza kuvyekelewa mbali kila mkikosoa kama alivyokuwa anafanya Jiwe, mtashika adabu zenu nyie sukuma gang. Jiwe alipandisha sukari mpaka 5,000/= na hakuna aliyesema lolote.
Hiyo 5,000 uliinunulia wapi?
 
Acha kujifanya chizi, hukumbuki hilo Sakata pale alipojaribu, kupambana na wafanyabiashara wa sukari. Baadae akalikimbia kama lile la korosho.
Sukari haikuwahi kuzidi 3,500 Tanzania nzima.

Tuambie wewe hiyo 5,000 ulinunulia wapi?
 
You're out of Content and Context please just hurry up to visit a Psychiatrist around your area of Residence.
MR POPOMA , nje ya mada kidooogo nasikia kafara letu la jumapili limmeenda vizuri COWS 6 WAMECHINJWA???👍👍👍
 
Punguza ukali wa Maneno
Mbona Sakata la Mafuta na Wananchi Kulalamika / Kulilalamikia ni rahisi sana Kulifafanua kwa Watanzania ( Wananchi ) na Wakalielewa hata kuliko lile la Spika Mstaafu Ndugai kukupa Ukweli wako kuhusu 'Kukopakopa' hovyo sasa iweje tena leo unataka Watu wakusaidie Kukusemea ili Watanzania wasikulaumu na wasikuone upo upo tu Dar es Salaam, Zanzibar na Dodoma?
 
Punguza ukali wa Maneno
Mbona Sakata la Mafuta na Wananchi Kulalamika / Kulilalamikia ni rahisi sana Kulifafanua kwa Watanzania ( Wananchi ) na Wakalielewa hata kuliko lile la Spika Mstaafu Ndugai kukupa Ukweli wako kuhusu 'Kukopakopa' hovyo sasa iweje tena leo unataka Watu wakusaidie Kukusemea ili Watanzania wasikulaumu na wasikuone upo upo tu Dar es Salaam, Zanzibar na Dodoma?
 
Leo hii Mheshimiwa Rais wetu anaitwa yupoyupo!Haiwezekani aisee.Mods piga ban mtoa mada
 
Back
Top Bottom