Landcruiser
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,805
- 599
hao woote kna Masogange na Melisa Wabanwe na kupewa mkong'oto wamtaje Kigogo anaehusika na Diamond naona kama hausiki hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbukeni katiba..
mwanzo mlisema niza freemanson leo tena niza unga huyu bwana mdogo kumiliki huu ukwasi ni halali yake hebu tujaribu kufikiri daimond kwa wiki ana fanya show ngapi na anaingiza kiasi cha shilingi ngapi kwa wiki kwanini asimiliki huu ukwasi alionao
hivi ni waimbaji wangaji wanapiga show kili siku ukamsikia ana 1b ktk account yake? hivi wewe tangu uanze kazi au biashara unakiasi gani ktk account yako? tusidanganyane fikiri chukua hatua, hivi show moja wanalipwa sh ngapi? anawatumishi wangapi? mpaka aweze kukusanya 1b?mwanzo mlisema niza freemanson leo tena niza unga huyu bwana mdogo kumiliki huu ukwasi ni halali yake hebu tujaribu kufikiri daimond kwa wiki ana fanya show ngapi na anaingiza kiasi cha shilingi ngapi kwa wiki kwanini asimiliki huu ukwasi alionao
Nchi ya kitu kidogo hii...
kwani ndio wanajua leo? Mbona safari zake za mara kwa mara magogoni awasemi? Diamond ni punda wa kubeba sembe kama Sepetu na Wema zake na wakimkamata na WAKILI RIZ NAE AKAMATWE najua jf tumevamiwa na modes ambao ni mamluki hii thread wataitoa mda wowote tunaomba muiache huu uzi.
Cc invisible,paw,mike,maxence melo.