Sakata la Unga: Mwakyembe aagiza msanii Diamond achunguzwe

Sakata la Unga: Mwakyembe aagiza msanii Diamond achunguzwe

Hata BongoFlava wakati inaanza ilikuwa ngoma ya wahuni, sio taabu leo kusikia ni walewale wauza ngano
 
Kuna vijana wanakuwa na utajiri wa shaka sana.Kuna utajiri kwa uchumi wetu na hali halisi lazima ujiulize.Ukiona kijana jumba alilojenga,investment anazomiliki,historia ya familia yake,elimu yake, unakosa connection kabisa.

Wapo vijana matajiri kwa namna ya kueleweka lakini hali ya sasa inatisha! Unakuta kijana mdogo lakini ana utajiri unaoshangaza!!

Anyway kila mtu na maisha yake lakini effects za haya tunayopuuzia ndio vinavyoharibu uchumi na kuleta impact kwa majority.Madhara ya madawa ya kulevya yanaeleweka lakini pia njia zingine za utajiri kama Ufisadi na ujambazi/Dhuluma zinaishia kuwaumiza maskini walio wengi (refer yule mjane aliyetaka kuporwa kiwanja chake na akina Papaa Msofe hadi Pinda akaingilia kati,I mean mtu kama Pinda kuingilia baada ya system nzima kushindwa kutenda haki).

Nyie viongozi wenye dhamana ya hii nchi hata kama hamjali kinachoendelea lakini adhabu ya kupuuzia kwenu mtaipata hapa hapa duniani maana wanaokuja kuumia ni wasio na hatia.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Hatutaki porojo kama hizi, serikali iko wapi ituonyeshe wahusika? Najua hili ni upepo tu litaishia hewani yatakuja mengine.[ Huyu ni punda tu kama wengine. Mabwana wapo ... ni kwa vile tu serikali kwa sababu inazozijua haitaki kulishughulikia jambo hili. Kumbuku Hakuna anayesingizia mtu wenye ukwasi wa kutokana na jasho lao wanajulikana na wala hawatatajwa. dogo aache kujiuma uma ni mbebaji mzuri tu.
 
Haiwezekani kukawa na watu kwa mamia kwenye magereza ya nchi za nje wakitumikia vifungo vifupi na vilefu huku wangine wakisubiri kunyongwa lakini kusiwezekane kuwafahamu 'vinara' wa biashara hii chafu nchini.

Siamini kama Taifa limefikia kiwango cha juu cha unafiki kiasi kwamba wananchi wake wanapata kigugumizi kuusema ukweli hadharani kuhusu waliopo ndani ya biashara hii chafu.

Waswahili wanasema, Ukweli mara zote humuweka binadamu huru na uhuru ni matokeo ya kutokuwepo unafiki katika jamii.

Kamba mara nyingi huanza kukatikia sehemu ambayo siyo imara na hata sakata hili litaanza kuwakatikia wale ambayo siyo imara katika maficho yao.

Kila kitu kina mwanzo na mwisho na hapa mpanda ngazi lazima ashuke.
 
diamonzzz.jpg
 
Cd zenyewe zinauzwa buku buku mtaani halafu mtu uee na ukwasi uishi maisha ya anasa dizaini ile kweli?
Masisiem mtawamaliza hawa vijana jamani maana nao wana tamaa kishenzi..
 
huu ni wivu wa maendeleo ya diamond! gazeti la mtanzania halijamtendea haki. habari imekaa kiudaku kuliko kiueledi! upuuzi

Kwa jinsi watanzania tulivyo wavivu wa kutafiti ukweli wa mambo, tutarajie majibu kama haya!
 
Oohooo! Jamaa FREEMASON kumbe wapi!!!!!!!!!

WATU WANAUZA MADAWA YA KULEVYA NYIE MNAWAPA CHEO CHA UFREEMASON.

HAKUNA FREEMASON BONGO.

WOTE MUWAITAO FREEMASON NI WAUZA UNGA.
trust me
 
Mafanikio ya wasanii kiuchum hapa Tz ni kama vile kila Mtz ni mnunuzi wa kazi zao!
 
oohooo! Jamaa freemason kumbe wapi!!!!!!!!!

Watu wanauza madawa ya kulevya nyie mnawapa cheo cha ufreemason.

Hakuna freemason bongo.

Wote muwaitao freemason ni wauza unga.
trust me


kaka umemaliza...ni wendawazimu kujifanya eti kuna freemason...watu wauza unga wote wanasingizia sisi ni dini ya freemason...ili wananchi wa kawaida wasijue...
 
Mimi nailaumu sana serikali kwa hili,. huyu mwanamziki anakiri mwenyewe ana ukwasi wa kutosha kuishi maisha atakayo na hata safari yake moja tuu ya Afrika kusini imemgharimu dola 30,000/ sasa TRA watuambia huyu kijana analipa kodi kiasi ganiii?!!!

MAELEZO YA DIAMOND YANANIPA PICHA MOJA TUUU ANAFAIDIKA SANAA NA UKWEPAJI KODI WAKATI WENGINE TUNAUMIA NA KODI WENGINE WANAPATA HELA ZA KUFANYIA KUFURU... PAYE INATUUMIZA JAMANI NA MZIGO HUU UNGEPUNGUA SANAA KWA WAFANYAKAZI KAMA SEKTA ISIYO RASMI INGEBANWA NA IKALIPA KODIII.. MFANYAKAZI MWENYE PATO LA MILIONI MOJA NA NUSU NALIPA LAKI TATU SAWA SAWA NA MJASIRIAMALI ANAYEINGIZA FAIDA YA MILIONI TANO KWA MWEZI...

TRA EBU AMKENI BANA MKUSANYE HII HELA MTUPUNGUZIE UGUMU WA MAISHA NA CHUKI DHIDI YA SERIKALI YETUU....

TRA TUAMBIE DIAMOND ANALIPA KODI TSH NGAPI!!!!!???????
 
sasa hivi utasikia na comedian kingwendu nae anauza sembe :tongue:
 
Washaanza kumchafua mtoto wa watu,wivu tu
 
Back
Top Bottom