Sakata la Unga: Mwakyembe aagiza msanii Diamond achunguzwe

Sakata la Unga: Mwakyembe aagiza msanii Diamond achunguzwe

Diamond ana pesa gani kuwa zungu la unga hivyo vijumba viwili na kigari mtu yoyote anaweza kuvipata hata kwa mkopo kama alikuwa punda zamani haijamsaidia leo hii pesa ya shoo zake haikaribii malipo ya punda kumi kwanini sasa afanye hiyo? Kupakana matope na wivu vitawauwa
 
Kila mtu sasa muuza poda! Na mimi basi niko kwenye mtandao, najihusisha...teh Wabongo bwana
 
Diamond ana pesa gani kuwa zungu la unga hivyo vijumba viwili na kigari mtu yoyote anaweza kuvipata hata kwa mkopo kama alikuwa punda zamani haijamsaidia leo hii pesa ya shoo zake haikaribii malipo ya punda kumi kwanini sasa afanye hiyo? Kupakana matope na wivu vitawauwa
zikija story za kutoa pesa kujenga nyumba za ibada, kukagua 'vioski' vyake na mambo ya kusema ana zaidi ya Billion kwenye accounts zake mnasifia kuwa anatisha na ni 'billionea' lakini akishakuwa linked na hii biashara ndio mnasema hana pesa! Kweli bongo kuna mambo.
 
Lisemwalo lipo dogo alisema ana zaidi ya B Kwenye acc,alivyonunua prado ni sawa na wewe unavyoenda kununua sandals kwa wachaga k/koo,diamond kanunua mtat mzima k/nyama kaunga nyumba sita anataka kujenga hotel,njoo m/nyamala kanunua mijengo kama mi4 hv,njoo tegeta ana nyumba ya mil 260,njoo kimara ana ghorofa bado halijaisha! Ni kweli show hz hz?
 
Lisemwalo lipo dogo alisema ana zaidi ya B Kwenye acc,alivyonunua prado ni sawa na wewe unavyoenda kununua sandals kwa wachaga k/koo,diamond kanunua mtat mzima k/nyama kaunga nyumba sita anataka kujenga hotel,njoo m/nyamala kanunua mijengo kama mi4 hv,njoo tegeta ana nyumba ya mil 260,njoo kimara ana ghorofa bado halijaisha! Ni kweli show hz hz?
 
Picha limeanza ivi aya mafanikio ni ya kwake to kwenye mziki au na wengine anasema ana zaidi ya bilion kwenye acc anasema safari yake ya south imemgarimu dola 30,000. Iyo ni safari moja kuna njia mbadala anayotumia ndo iyo ya sembe
 
T.R.A mapato hayoooo kwa diamond....mpigeni kitu cha PAYE kama hajaacha sifa za kujitangaza ana kipato kikubwa!
 
siku hizi hata ukisafiri mara kwa mara toka dar kwenda mtwara lazima utahusishwa na sembe kwa hiyo tusiende kununua korosho?

jana nilikwenda mombasa asubuh kufka boda wakakagua kibegi chagu wakakuta shati 1 na kikaango cha vitumbua, mimi ni mpishi kulikua na harusi so nilikwenda pika jioni nikarud ila pale nigongesha paspot nakaa wiki 1 so ikawa kosa mbona umekuja asubuh na kurud jioni afisa uhamian akauliza wafanya biashara wa njia hii wanajulikana ww ulifata nn na kwa nn umerud haraka!
 
Kama habari imekaa kiudaku si uweke ile iliyokaa kieueledi??? Wanaintelligensia kazi kwenu msafishe huyu kwa kutuletea wale wanaohusika.
 
Lisemwalo lipo dogo alisema ana zaidi ya B Kwenye acc,alivyonunua prado ni sawa na wewe unavyoenda kununua sandals kwa wachaga k/koo,diamond kanunua mtat mzima k/nyama kaunga nyumba sita anataka kujenga hotel,njoo m/nyamala kanunua mijengo kama mi4 hv,njoo tegeta ana nyumba ya mil 260,njoo kimara ana ghorofa bado halijaisha! Ni kweli show hz hz?

Kaka vp wale unaowasiaga kina mziray
 
aisee katika hili sakata kuna mambo mengi yamejificha na inaonesha Diaomond ni suspect na kusafiri hakuwezi kuwa ushahidi wa kuuza unga. Tunajua polisi watakanusha kumfatilia maana hii habari haina official statement kabisa.

Lakini kuna swali na jiuliza kama ni kweli au lah, kutokana na hilo gazeti wanasema Diamond amekuwa akipita uwanja wa ndege bila kukaguliwa sasa sijui kwa nini hakakugiliwi kama ni kweli?

Na isije ikawa ni njama ya kutusahulisha vigogo wanao jihusisha na madawa ya kulevya.

cc heaven on desert
 
Last edited by a moderator:
Wadau,

Nimeshtushwa sana na taarifa zilizoandikwa na gazeti la mtanzania kuhusu tuhuma za kuhusika na dawa za kulevya kwa mwanamuziki wa bongo fleva maarufu kama Diamond. Hivi hizi tuhuma zina ukweli gani? kama kuna ukweli basi uchunguzi wa kina ufanyike ili kubaini na kuutokomeza mtandao mzima.
 
383459_363945167026219_579139644_n.jpg
 
Hapa naona mambo mawili.

Moja inawezekana gazeti limeamua tu kumfanyia dogo promo.

.....au wameamua tu kukatia pembamba, sidhani kama ni Diamond pekee anaweza kuwa suspect wakati hapa Dar kuna watu kibao wanamiliki mali ambazo hazina maelezo yanayojitosheleza kuhalalisha utajiri wao.

.....wote tunajua jinsi ambavyo dogo anafanya show mara kwa mara na anacharge ghali labda kuliko wasanii wengine.

Ni juzi tu zilikuja taarifa kuwa alizenguana na promota kule Mombasa kwa ajili ya malipo.......MALIZIENI MALIPO NDIO NIPANDE JUKWAANI.....wasanii wangapi wanatamani wapate hata show za bure.

Hebu tuacheni mambo ya kufikirika.

Na nyie Mtanzania basi kesho mje na majina ya hao tunaowaona wanaishi peponi bila hata shughuli inayoeleweka (mkione cha moto), kama kweli mnao ujasiri huo kama si tu kumsumbua Diamond.
 
Diamond ni rafiki wa mkubwa wa J.K na CCM kwa hiyo wanajuana hadi kupewa hadhi ya kupita VIP duh kweli serikali ya kishikaji
 
Back
Top Bottom