Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,898
- 5,020
Series ya "The Chi" pia ina scene kama hiyoSikumbuki jina la movie ila kuna movie demu na mchizi wako kwemye mHusiano ya namna hiyo mwishowe mmoja yakamshinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Series ya "The Chi" pia ina scene kama hiyoSikumbuki jina la movie ila kuna movie demu na mchizi wako kwemye mHusiano ya namna hiyo mwishowe mmoja yakamshinda.
Wapo kwenye open marriage..Mkewe analiwa meanwhile na yeye anamkula mwingineWill naye anazingua tu, ana moyo wa kustahimili mke wake kuliwa lakini anashindwa kustahimili utani tu kwa mkewe [emoji1787][emoji1787]
Chris itabdi naye akamle tu Jada apunguze uchungu
Yataka moyo wajuba wana roho ngumu kwakweli itabdi pia walete open childrenWapo kwenye open marriage..Mkewe analiwa meanwhile na yeye anamkula mwingine
Shukrani mdada mjuri mjuri(mzuri mzuri)Series ya "The Chi" pia ina scene kama hiyo
@Prishaz katusaidia series ya "the chi" nikipata jina la ile movie nitakupasia, ila kuna minyanduano humo.Kumbuka bwana unitajie jina niitafute
Sasa minyanduano si ndio fresh@Prishaz katusaidia series ya "the chi" nikipata jina la ile movie nitakupasia, ila kuna minyanduano humo.
Kwani shida nn? Si wee na mkeo makubaliano yenu tyuuhYataka moyo wajuba wana roho ngumu kwakweli itabdi pia walete open children
Hayo makubaliano sasa. Tena kwa mwafrika hasa mtanzania kuyakubali ngumu. Wanaume wa TZ ukizaa na mwanamke usimuoe, ila ukawa watoa matumizi na umempangia, ukisikia ana mahusiano unakata huduma, ije kuwa mke wa ndoa 🤣🤣.Kwani shida nn? Si wee na mkeo makubaliano yenu tyuuh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Will anakuambia kuna muda mapenzi yanakufanya ufanye vitu vya kijinga na machoni kaloa machozi [emoji16][emoji16] huzuni sana.Hayo makubaliano sasa. Tena kwa mwafrika hasa mtanzania kuyakubali ngumu. Wanaume wa TZ ukizaa na mwanamke usimuoe, ila ukawa watoa matumizi na umempangia, ukisikia ana mahusiano unakata huduma, ije kuwa mke wa ndoa [emoji1787][emoji1787].
Kwakweli willy ana moyo wa pekee
Willy anajilizaliza 🤣🤣🤣 ila jada mgunu kwanza hacheki chekiWill anakuambia kuna muda mapenzi yanakufanya ufanye vitu vya kijinga na machoni kaloa machozi [emoji16][emoji16] huzuni sana.
Hahahahah will anampenda sana jadaJamani n mapenzi tu [emoji23] jamaa kapenda kweli hatak utani na mke wake.
Ndio nachokiona...nimpe tu pole mana kupenda kwa namna ile ni kujitafutia tu mabalaa.Hahahahah will anampenda sana jada
Na uzuri wake hata yeye alisema haitaji watu wengine wafuate mtindo wao wa maisha, ko wamuache tyuuh.Hayo makubaliano sasa. Tena kwa mwafrika hasa mtanzania kuyakubali ngumu. Wanaume wa TZ ukizaa na mwanamke usimuoe, ila ukawa watoa matumizi na umempangia, ukisikia ana mahusiano unakata huduma, ije kuwa mke wa ndoa [emoji1787][emoji1787].
Kwakweli willy ana moyo wa pekee
YeahHivi Jada pinket ndo mama mzazi wa kina willow na Jaden Smith?
Yani hujui sasa mwanaume hapa ni nani na mwanamke ni nani.Willy anajilizaliza [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila jada mgunu kwanza hacheki cheki
Huu n wivu tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]Yani hujui sasa mwanaume hapa ni nani na mwanamke ni nani.
[emoji1][emoji1][emoji1] sasa mwanaume kulialia huku mwanamke kakaza ni nini hiko?Huu n wivu tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi ya dhati na kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1] sasa mwanaume kulialia huku mwanamke kakaza ni nini hiko?
Hahaa.. Unapenda mchezo kunyanduana?Sasa minyanduano si ndio fresh
Thanx.