Tetesi: Sakata la vyeti feki latua Polisi

Tetesi: Sakata la vyeti feki latua Polisi

Kuna watu mawazo yao mgando, wanaamini kuwafukuza askari wenye vyeti feki ni hatari kwa taifa hili, huku wakisahau kuwa;
1.Hawatimuliwi na bunduki wakiwa nazo mfukoni.
2. Tanzania maduka ya silaha hayazidi 3, na kumiliki silaha ni mlolongo mrefu mpaka ukome na maskini haruhusiwi.
3. Wanaofukuzwa si wengi ukilinganisha na wanaobaki ambao wanalipwa mshahara,posho, na wanaidhini ya kutumia silaha.
4.Wanaofukuzwa hawataishi ndani ya familia moja, watatawanyika na kila mmoja kuelekea kwake.
5.Nguvu ya askari iko katika kitambulisho/idhini na silaha.

I know what am talking about.
Kaka upo vizuri, uwezo wako wa fikra nimeukubari, hapa watu wanatishana tu eti wakiondolewa watakuwa majambazi, kwani majambazi waliopo ndo waliostaafu, kuacha au kufukuzwa. Nguvu ya hayo yote ni kitambulisho, silaha na gwanda. Ila ukishafukuzwa unalowa kama umefuniwa na mwenye mke.
 
Kuna mtendaji wa kijiji kimoja cha mkenge bagamoyo hayumo kwenye orodha ya watumishi waliohakikiwa sijui katoka nduki mwenyewe maana hali huku mbaya, Yule jamaa alitumia jina la dada anaitwa Sijapata wakati yeye ni Saidi sasa sijui amehof kuhakiki. Huu mwaka ni adabu kwel kwel
 
Mmhh. Hawawekwi Mtandaoni? Je Wakivaa Magwanda Wakarudi tena Mtaani. Tutawajuaje Yupi ni Askari Ni Feki na Yupi ni Halisi?
Watatajwa majina na picha zao, feki utamjua tu huwa ni mnoko we angalia hata manesi na walimu feki wanakuaga wanoko, hivyo ukimuona kiherehere na anapenda mukwara jua hilo feki.
 
Ila mm nafikiria askari aliyekukamata au kupepeleza kesi yako amebainika ana cheti fake na wewe ulishafungwa hv huwezi kuchomoka kwenye hiyo kesi kwa kukomalia kua kama alifoji cheti basi na upelelezi au ushahidi alifoji!?
 
Kuna watu mawazo yao mgando, wanaamini kuwafukuza askari wenye vyeti feki ni hatari kwa taifa hili, huku wakisahau kuwa;
1.Hawatimuliwi na bunduki wakiwa nazo mfukoni.
2. Tanzania maduka ya silaha hayazidi 3, na kumiliki silaha ni mlolongo mrefu mpaka ukome na maskini haruhusiwi.
3. Wanaofukuzwa si wengi ukilinganisha na wanaobaki ambao wanalipwa mshahara,posho, na wanaidhini ya kutumia silaha.
4.Wanaofukuzwa hawataishi ndani ya familia moja, watatawanyika na kila mmoja kuelekea kwake.
5.Nguvu ya askari iko katika kitambulisho/idhini na silaha.

I know what am talking about.
Hapo kwenye Mkia wa Uzi wako tu.
Kujua na kumaanisha unachoongea na kuwa SAHIHI ni vitu viwili tofauti.

Au zidumu fikra zako?
 
Kaka upo vizuri, uwezo wako wa fikra nimeukubari, hapa watu wanatishana tu eti wakiondolewa watakuwa majambazi, kwani majambazi waliopo ndo waliostaafu, kuacha au kufukuzwa. Nguvu ya hayo yote ni kitambulisho, silaha na gwanda. Ila ukishafukuzwa unalowa kama umefuniwa na mwenye mke.
 
Kama kweli ntaamini uncle yupo serious, na taifa litakaa vizuri maana myoyo ya watu yaingia kinyongo na kusema afadhali ningeenda kuajiriwa na ufeki wangu ule upande usioguswa.
hata marekani vyeti fake vipo na Taifa linasonga
 
Kwenye vyombo vya Dola hamna vyeti feki na ndo maana wao wanaambiwa wavitafute. Wewe hujiulizi uhakiki umafanyika lakini hawakupeleka vyeti lakini bado wanaambiwa wavitafute iv watumishi wengine walifanyiwa hivyo? Akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Ni Kweli
Na Hakuna Jiwe Litasalia Juu Ya Jiwe Jingine
Kila Jiwe Litaguswa
Majeshi Yote Kwasasa Mguu Sawa
Asikwambie Mtu Hapo Ndiyo Utajua Neno
Fair Play

Mchezo Wa Kiungwana
 
Waliopo Moshi waulize vituo vya polisi wapate uhakika, unafikiri utaweka list hapa jaribu uone watakushukia kwa kuwaanika wenzio wanapokea kimyakimya ww una waanika, ndo maana nilisema kama unamfahamu aliyeko kituo chochote kwa kuanzia kilimanjaro fuatilia ila usiende na kiherehere unaweza ukamkuta unayemuuliza ni mhusika sasa sijui itakuwaje hapo fuatilia tayari, wilaya moja wapo kituo kinao wasio pungua 9
Niende kuuliza vinanihusu nini mpk niache kazi zangu niende kuuliza majina ya vyeti fake? Huo ni ushambenga wa kiwango degree.
 
Kuna watu mawazo yao mgando, wanaamini kuwafukuza askari wenye vyeti feki ni hatari kwa taifa hili, huku wakisahau kuwa;
1.Hawatimuliwi na bunduki wakiwa nazo mfukoni.
2. Tanzania maduka ya silaha hayazidi 3, na kumiliki silaha ni mlolongo mrefu mpaka ukome na maskini haruhusiwi.
3. Wanaofukuzwa si wengi ukilinganisha na wanaobaki ambao wanalipwa mshahara,posho, na wanaidhini ya kutumia silaha.
4.Wanaofukuzwa hawataishi ndani ya familia moja, watatawanyika na kila mmoja kuelekea kwake.
5.Nguvu ya askari iko katika kitambulisho/idhini na silaha.

I know what am talking about.
We ndo una mawazo mgando na hakuna ulijualo about security issues. Ni bora ukae kimya tu.
 
Back
Top Bottom