Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Feki?Pascal Mayalla alisema nyinyi mkaja Kama mazuzu kufurahia hukumu feki sas tulieni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Feki?Pascal Mayalla alisema nyinyi mkaja Kama mazuzu kufurahia hukumu feki sas tulieni
Iweje wawe m2 na mmewe wakati wote ni wanamama? Ni marafiki wa karibu sana[emoji23][emoji23]Ester Bulaya na Halima Mdee ni mtu na mume? Nifafanulie mkuu
Mkuu kindly kama una nakala ya hukumu lete hapa plzWamefungua upya kesi nyingine acha upotoshaji. Kurekebisha ni kwenye kesi hiyo hiyo.
kwo walokaa ndo waume,wake wamewapisha viti ama ipoje mkuu??Kati yao kuna mme na mke mme na mke.
Wanapoteza muda tena.. Nchi hii ina raha sana..
...Na Wanakula Bure Fedha za Watanzania kupitia jina la CHADEMA! Aibu....!Haki gani?. Ya kulipwa mshahara. CHADEMA wanachotaka wale Covid 19 wasitumie jina la chama , Kama ubunge waendelee nao ila watafute jina la chama kingine. Leo wakisema Ni CCM au ACT hakuna atakaye shughulika nao, tatizo ni kwamba bado wanatumia jina la CHADEMA wakati CHADEMA haikuwateua.
Iliizi wali iliizi.kwo walokaa ndo waume,wake wamewapisha viti ama ipoje mkuu??