Sakata la Wema Sepetu na Diana lafikia pazito

Sakata la Wema Sepetu na Diana lafikia pazito

Yes siku 14..alivyotoka tu akaenda mla denda jule teja wake Jumbe na mama ake akishuhudia mahakamani

Wema hajaanza vituko leo eti, watu toka tuko secondary huko anatupunguzia stress za mitihani ya necta[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kweli enzi hizo na mimi niko secondary 😄😄😄😄
 
Diana daah..
Sjui why aliamua kua lesbo..
Back then she was sweet and polite,alkua so caring full wivu akipenda,
Maybe alitendwa sana.
Miss the old diana

Sent using Brain
Asilimia kubwa ya lasbina ni Wale walio twendwa kihisia na kukimbilia kuangalia porn
 
Haaaaahaaaaaa, kweli fyucha.. jamani, halafu wema inaonekana anapenda sana madenda unakumbuka alivyotolewa gerezani na mama ake baada ya kumuwekea dhamana alivyovunja kioo cha gari cha kanumba wakati huo wema anaishi na Jumbe, kutoka lupango tu kwenye viwanja vya mahakama akamvaa Jumbe na kumpa madenda hovyo hovyo na kutaka kuondoka nae, mama akapagawa akatishia kufuta dhamana, wema yuko baby , baby huku anakula denda tu Jumbe kabaik na aibu, cha eti leo afundishwe tabia mbaya na Diana? Litakuwa ajabu jipya la dunia.
Hivi huyu Jumbe yuko wapi now, yule dada yake Asha Jumbe uigizaji umemshinda
 
Weeee hapendi kukua huyooo[emoji849][emoji848]....yaan miaka inavyozidi kusogea ndivyo kichefuchefu kinazidi kumpanda[emoji1787][emoji1787][emoji16]...wema anapenda sana utoto!

Siku ile ya mechi hebu ona alivyokuwa anajichetua kwa Jokate![emoji1787][emoji16][emoji16]...michezo gani ile utafikiri mtoto wa darasa la tatu anacheza kimamama mama haaahaaa....Wema atabaki kileleni juu mawinguni chiiiii [emoji867]

.
.
.
Bongo kufa kwa stress ni umejitakia asee haki vile[emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wema mjanja sana alivyoona Jumbe anamfungia ndani hakuna kufanya issue yoyote na mawifi wanamzunguka asitoke, akapanga dili kamadnganya Jumbe gari mbovu naipeleka gereji jumbe nae akaingia kwenye gari waende wote kufika gereji jumbe kashuka wema katimua vumbi na gari yake hadi sinza kwa mama pa global wakatoa picha wema kalala mapajani mwa mama ake eti mama anampa pole mtoto, kweli wana fanana.
 
Haaaaahaaaaaa, kweli fyucha.. jamani, halafu wema inaonekana anapenda sana madenda unakumbuka alivyotolewa gerezani na mama ake baada ya kumuwekea dhamana alivyovunja kioo cha gari cha kanumba wakati huo wema anaishi na Jumbe, kutoka lupango tu kwenye viwanja vya mahakama akamvaa Jumbe na kumpa madenda hovyo hovyo na kutaka kuondoka nae, mama akapagawa akatishia kufuta dhamana, wema yuko baby , baby huku anakula denda tu Jumbe kabaik na aibu, cha eti leo afundishwe tabia mbaya na Diana? Litakuwa ajabu jipya la dunia.
Huyu mama ndio kamuharibu mtoto wake PERIOD!

toka zamani anatetea ujinga wake, yaan mitoto ya mwisho ukiidekeza bila fimbo inakuwaga mitahira[emoji848]....nayaona haya mtaani!

Toto chapa fimbo mpaka linyoooke!...mamaake ndo anamuharibu eti now anatafuta sympathy kwa walimwengu! Khaaa

Apambane na kitinda mimba wake asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila wema mjanja sana alivyoona Jumbe anamfungia ndani hakuna kufanya issue yoyote na mawifi wanamzunguka asitoke, akapanga dili kamadnganya Jumbe gari mbovu naipeleka gereji jumbe nae akaingia kwenye gari waende wote kufika gereji jumbe kashuka wema katimua vumbi na gari yake hadi sinza kwa mara pa global wakatoa picha wema kalala mapajani mwa mama ake eti mama anampa pole mtoto, kweli wana fanana.
😄😄😄😄😄Kichwani hamna kitu mule we muache fainali uzeeni
 
Huyu mama ndio kamuharibu mtoto wake PERIOD!

toka zamani anatetea ujinga wake, yaan mitoto ya mwisho ukiidekeza bila fimbo inakuwaga mitahira[emoji848]....nayaona haya mtaani!

Toto chapa fimbo mpaka linyoooke!...mamaake ndo anamuharibu eti now anatafuta sympathy kwa walimwengu! Khaaa

Apambane na kitinda mimba wake asee

Sent using Jamii Forums mobile app
Na apambane haswa, hakumtaka kanumba wala Jumbe anataka kumuuza kwa madanga ili waendeshe magari mjini sasa sijui nani alaumiwe?
 
Huyu mama ndio kamuharibu mtoto wake PERIOD!

toka zamani anatetea ujinga wake, yaan mitoto ya mwisho ukiidekeza bila fimbo inakuwaga mitahira[emoji848]....nayaona haya mtaani!

Toto chapa fimbo mpaka linyoooke!...mamaake ndo anamuharibu eti now anatafuta sympathy kwa walimwengu! Khaaa

Apambane na kitinda mimba wake asee

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu mtoto ukimuonesha unampenda mno kiasi akifanya kosa unafikilia kumuuliza matokeo yake ni ya Si Wema
 
Back
Top Bottom