Wema ana msongo wa mawazo pia na vilevi anavyotumia vinamtoa nishaiMungu anusuru vizazi vyetu maana dah!its too much Wema hana kutulia jamani sasa ile press conference ya kusema amekua ndo amekua msagaj?
Halafu team Wema wanamharibu sana!kama yule Wema memes anamsifia ujinga tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
dahAlikamatwa na mirungi kwenye gari yake akaswekwa ndani ila bado hajahukumiwa, ni dada tu alikuwa anasaka pesa za kumtuliza Diana.
Loh, yule dada somebody Anitha?Alikamatwa na mirungi kwenye gari yake akaswekwa ndani ila bado hajahukumiwa, ni dada tu alikuwa anasaka pesa za kumtuliza Diana.
Shangaa na ww na wkt wema ni mkubwa kuliko diana.Yaani Diana amfundishe Wema tabia mbaya??!?! Maajabu hayataisha nchi hii!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan linakua mwili tu ila akili kichwani hakuna.Wema anapenda kujifanya mtoto sana khaaa!
Lkn nishajua sababu kumbe mamaake ndo anamuendekeza!
Eti Diana anamfundisha tabia mbaya[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeishia kusoma hapa kwani hapo kwenye red ndio kwenye maajabu na kuonesha uwezo wa kufikiri wa mama huyo ambavyo unavyokinzana na umri wake.kufuatilia mama Wema akagundua Wema kaongozana na Diana Kimaro na jamaa mwingine anayetajwa Kwa jina la Kenneth Sepetu ambaye Mama Wema anashangaa jamaa huyo kalipata wapi jina la Sepetu kwakuwa sio ndugu yao.
Okay ikitokea Wema amepata mimba baba mtarajiwa Diana😃Kwa muda huu Dayana ndo mume!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ananogesha penzi tu sio mbaya[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Diana wa mitindo, itakuwa anakula hata vitu vichafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama Ana umia kama mzazi, Mzazi anaye jielewa hawezi kumwambia binti mwanaume huyu akufai hana pesa tafuta mwengine.Naelewa maumivu anayopitia huyo Mama kama mzazi, lkn atapiga wangapi???Atafute njia ya kumsaidia mtoto wake kama kweli kawa msagaji na si kupiga watoto wa wenzake, yy mwenyewe alimwachia sana binti yake, nadhani hakuplay part yake vzr km mama
May beSidhani kama Ana umia kama mzazi, Mzazi anaye jielewa hawezi kumwambia binti mwanaume huyu akufai hana pesa tafuta mwengine.
Ilikuwa mirungi tafuta picha iliyorushwa wakati kakamatwa na mzingo uangalie
Huyu fyucha nae nadhani ni fyatu, kuna siku kamjibu Wolper jibu kuntu baada ya wolper kumwmbia amlipe wema hela zake alizo mkopa, Fyucha akajibu nae arudishiwe shaha...w. zake wema alizokuwa ANABUGIA kwa wiki mbili mfululizo..eti huyu nae ana mke..mjini kumejaa vituko.Leo 'fyucha hazibandi' kaachia ile video yao ya madenda.....Basi kichechefu kitupu huko insta!
Sent using Jamii Forums mobile app
Oddo umeniweza hii mawater mpk kuja kui decode! imenipa tab sanaaaa!Bibi kaamua kujilelea wanae tu....humuoni alivyo na hasira Tukinao coz ni ile kashajifanya bab kubwa so kulia hadharani child support ni bonge moja la damage kwake....kifuatacho kaamua kuwapiga madale family buloku na watoto kapewa kingbae[emoji16]
Mawater hatoi hata mia ndo maana kastuli full kusuka twende kilioni na Kilimanjaro chezea[emoji16]
Hapo mama anatamani amchomoe kastuli amuuze wapi sijui, mama kazoea bia na kitimoto daily, sasa kwa water-zo ni mwendo wa ugali harage[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app