Sijaelewa kabisa mkuu.Huyu mama kashachelewa mwanae ameamuwa kuwa msagaji na chaguo lake ni Diana, asimpige diana tu awapeleke kwenye ushauri nasaha waache kusagana, maskini Diana tangu danga lake la moshi liwekwe magereza anapata taabu sana, lile danga lilikuwa linamsaga vyema mtoto alitulia na skendo hakuwa nazo.
Anadekezwa mpaka sasa.Sijaelewa kabisa mkuu.
Sependa atakuwa na laana sio bure au alidekezwa sana utotoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!!!nimemwona mkuu,ni mrembo halafu mabinti wa chuga ni wapambanaji kuna mishe zingine hata watoto wa kiume wanaweza gwaya kufanya watoto wa kike chuga wanaingia mzigoni.
Yaani Diana amfundishe Wema tabia mbaya??!?! Maajabu hayataisha nchi hii!!
Sent using Jamii Forums mobile app
??????Hivi kuna tabia mbaya asiyoijua Wema?
Kama Kaitlyn jenner vileOkay ikitokea Wema amepata mimba baba mtarajiwa Diana[emoji2]
Wamama wengi wana tabia hii niamini mimi hata kama sio kwa mtindo wa mama Wema!...Sidhani kama Ana umia kama mzazi, Mzazi anaye jielewa hawezi kumwambia binti mwanaume huyu akufai hana pesa tafuta mwengine.
Lile jamaaa ni buree asee [emoji848]....pale mzazi kala hasara kaliHuyu fyucha nae nadhani ni fyatu, kuna siku kamjibu Wolper jibu kuntu baada ya wolper kumwmbia amlipe wema hela zake alizo mkopa, Fyucha akajibu nae arudishiwe shaha...w. zake wema alizokuwa ANABUGIA kwa wiki mbili mfululizo..eti huyu nae ana mke..mjini kumejaa vituko.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]...umeumiza kichwa eeh?Oddo umeniweza hii mawater mpk kuja kui decode! imenipa tab sanaaaa!
aseeeeeeeeh!
umekwivaaaa!
mnoooooo!
Hakuna cha laana pale mkuu...Sijaelewa kabisa mkuu.
Sependa atakuwa na laana sio bure au alidekezwa sana utotoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kushangaa mkuuYaani mama ana muamini petit ambae ni mwanaume kuliko diana ambae ni mwana mke mwenzake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama denda live live vile je papuchi vepe?Wema anapenda kunyonya papuch?