Sakata la Wema Sepetu na Diana lafikia pazito

Sakata la Wema Sepetu na Diana lafikia pazito

Huyu mama kashachelewa mwanae ameamuwa kuwa msagaji na chaguo lake ni Diana, asimpige diana tu awapeleke kwenye ushauri nasaha waache kusagana, maskini Diana tangu danga lake la moshi liwekwe magereza anapata taabu sana, lile danga lilikuwa linamsaga vyema mtoto alitulia na skendo hakuwa nazo.
Sijaelewa kabisa mkuu.

Sependa atakuwa na laana sio bure au alidekezwa sana utotoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mama ni wale wale tuu Diana mtoto mdogo atalifundisha nini hilo gume gume............ Wachagga poleni hii mbegu imepatikana wapi kiruuu
 
Sidhani kama Ana umia kama mzazi, Mzazi anaye jielewa hawezi kumwambia binti mwanaume huyu akufai hana pesa tafuta mwengine.
Wamama wengi wana tabia hii niamini mimi hata kama sio kwa mtindo wa mama Wema!...

Ukitaka kuujua ukweli peleka mchumba kwenu halafu mama aje ajue kuwa jamaa hana kitu, utanyaliwa mpaka basi!

Halafu peleka home mchumba mwenye hela hiyoo shobo, sio ya dunia hii[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu fyucha nae nadhani ni fyatu, kuna siku kamjibu Wolper jibu kuntu baada ya wolper kumwmbia amlipe wema hela zake alizo mkopa, Fyucha akajibu nae arudishiwe shaha...w. zake wema alizokuwa ANABUGIA kwa wiki mbili mfululizo..eti huyu nae ana mke..mjini kumejaa vituko.
Lile jamaaa ni buree asee [emoji848]....pale mzazi kala hasara kali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom