Sakata la Wema Sepetu na Diana lafikia pazito

Sakata la Wema Sepetu na Diana lafikia pazito

Halafu umri ushamtupa Kiki awaachie watoto
Weeee hapendi kukua huyooo[emoji849][emoji848]....yaan miaka inavyozidi kusogea ndivyo kichefuchefu kinazidi kumpanda[emoji1787][emoji1787][emoji16]...wema anapenda sana utoto!

Siku ile ya mechi hebu ona alivyokuwa anajichetua kwa Jokate![emoji1787][emoji16][emoji16]...michezo gani ile utafikiri mtoto wa darasa la tatu anacheza kimamama mama haaahaaa....Wema atabaki kileleni juu mawinguni chiiiii [emoji867]

.
.
.
Bongo kufa kwa stress ni umejitakia asee haki vile[emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo 'fyucha hazibandi' kaachia ile video yao ya madenda.....Basi kichechefu kitupu huko insta!

Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaaahaaaaaa, kweli fyucha.. jamani, halafu wema inaonekana anapenda sana madenda unakumbuka alivyotolewa gerezani na mama ake baada ya kumuwekea dhamana alivyovunja kioo cha gari cha kanumba wakati huo wema anaishi na Jumbe, kutoka lupango tu kwenye viwanja vya mahakama akamvaa Jumbe na kumpa madenda hovyo hovyo na kutaka kuondoka nae, mama akapagawa akatishia kufuta dhamana, wema yuko baby , baby huku anakula denda tu Jumbe kabaik na aibu, cha eti leo afundishwe tabia mbaya na Diana? Litakuwa ajabu jipya la dunia.
 
Diana daah..
Sjui why aliamua kua lesbo..
Back then she was sweet and polite,alkua so caring full wivu akipenda,
Maybe alitendwa sana.
Miss the old diana

Sent using Brain
 
Back
Top Bottom