Hiv ww unahisi una sifa za kuwa na mond hata kama hujawai vutiwa nae hakujui na wala hana time na ww iv ukipelekwa mbele na madem aliopitia mond na ww utaonekana..... watu kwa kujipa matumaini et cjawai vutiwa yaan yeye ndo usiseme hata hajawai kosea ata kukuona tu....!!!
Hahahahaaa huko Insta jamani watu wamemshambulia hadi anatia huruma.Zari naye anabisha nini mbona hizi chupi za makalio zipo kibaoo, nenden pale casandra jaman mtazikuta ukivaa mtu haweza tambua, ni kama skintight tu, hata demu wangu anayo. Kazi unayo zarii, maana sasa itabid usiivue haaaahaaaaa tutakufuatilia like everyday babe. Dah yani tako feki😱😱😱
Njoo tuangalie lupela hapa,nairudia rudia hapa,Adam Juma mwenyewe kaikubaliHahhahahaaaa uwiiiiiii!
Wiki ya kwanza tu nakala kama hela ya escrowhuu uzi lazima ugonge platnum, teh!
Haaaaaaaaaahaa boss lady hana hata assistant wa kumanage insta yake walau apunguze uswahili dah, wabongo tutamzeesha jamaniHahahahaaa huko Insta jamani watu wamemshambulia hadi anatia huruma.
Na ameharibu alivyopanic na kupost mipicha na micaptions kisha akaifuta.
Teh teh teh watu hawajui mapovu yawatoka bure MTU ukishakua na flat screen hata unenepa ile haiongezekiZari naye anabisha nini mbona hizi chupi za makalio zipo kibaoo, nenden pale casandra jaman mtazikuta ukivaa mtu haweza tambua, ni kama skintight tu, hata demu wangu anayo. Kazi unayo zarii, maana sasa itabid usiivue haaaahaaaaa tutakufuatilia like everyday babe. Dah yani tako feki😱😱😱
Haaaaaaaaaahaaaa halafu tako la kulia limekaza duhNavomjua zari ni flat screen inchi 28,nashangaa,nazidi kushangaa
Hahaaa huyu atakua mpenda wanaume type ya dai ndo mana anafikiri wote wako hivowe kama unamzimikia Sana diamond hadi unamtamani Ni wewe,Kuna wanaume zaidi ya diamond bana,we itakua unapenda wanaume maarufu,je kina Mengi,Mo dewj je ,bakhresa hao utatuambiaje sasa Daimond WA kawaida mno
Sasa hajui tu,angekaa kimya ingemsaidia na hata huku kushambuliwa kungepungua,ila hivi anavyojibu na kufuta anaharibu kabisa.Haaaaaaaaaahaa boss lady hana hata assistant wa kumanage insta yake walau apunguze uswahili dah, wabongo tutamzeesha jamani
Kaaazi kweli kweli yani kuna watu wamuona domo na zari miungu watu, kweli we differ in perceiving issuesAnamuona Diamond wa maana mwenyewe kila mwanamke atamtetemekea.
Hivi diamond ni nani hasa hapa Tz kwamba kila mwanamke anavutiwa nae?? Alafu nyie watoto wa kimbiji mna shida sana... Huyo diamond kamiliki mtoto gani classic hapa mjini zaidi ya hao hao ambao watu tunawala bila shidaHiv ww unahisi una sifa za kuwa na mond hata kama hujawai vutiwa nae hakujui na wala hana time na ww iv ukipelekwa mbele na madem aliopitia mond na ww utaonekana..... watu kwa kujipa matumaini et cjawai vutiwa yaan yeye ndo usiseme hata hajawai kosea ata kukuona tu....!!!
Sasa mtu anakaa na mama mkwe, wifi zake na marafiki wa wifi zake humohumo nyumbani ataacha kuwa mswahili?? Maisha yenyewe wanayoishi ni uswahili mtupuHuyu mwanamke hajiamini aache kuweke vile vidude kuongeza hips na kalio au ile picha ya wema alivobinjuka ilimuzuzua yani uswahili umemzidi naye
wee nawe hujasoma hili ni jukwaa gani au kujitia ujuajii kaa umetiwa dole..hayaa fastaaa nenda kwenye forum ya siasa..inteligensia...au international forums utawakuta magreater thinker wenzio!!! huku waachie wambea wafanye yaoDuh! Great Thinkers mnajadili makalio ya Zarina Hassan